Chief Godlove ni mtu wa wapi?

Chief Godlove ni mtu wa wapi?

Mkuu nimewaza,lakini zile nyumba na range rovers anapiga misele tusemaje?kwenye hela tumempata, Yule jamaa kuna something wrong ,ila kufanya show off na mbao kweli?zile hela anaziazima?
Wote hao hamna kitu mkuu kelele tu nyingi
Sahvi bongo mtu anakuambia bilionea
Huku source ya income yake haijulikani
Mtu yuko mtandaoni kuanzia asubuhi mpk usiku kaZi anafanya saa ngapi?
Matajiri mabilionea hawanaga kelele

Ova
 
Chief godilove
20231001_154552.jpg
 
Hao wauza sura tu,
unamfahamu papaa msofe wewe? Pdg katunzi?
James kilinda,Chacha,Ndama etc
Hao watu wna hela sio za nchi hii.
Ila wamepiga kimya tu
 
Mtoto mdogo mwenye pesa nyingi ,kiongozi wa chama na serikali.

Pesa kidogo mbao nyingi.

Juzi aliingia "SHELI" akaweka mafuta ya laki 6 kwenye gari tatu ,Benzi ,Alphad na bmw akasema kama anaigiza basi na wewe igiza.

Kwasasa anashow off mabegi yamejaa hela.
 
Mtoto mdogo mwenye pesa nyingi ,kiongozi wa chama na serikali.

Pesa kidogo mbao nyingi.

Juzi aliingia "SHELI" akaweka mafuta ya laki 6 kwenye gari tatu ,Benzi ,Alphad na bmw akasema kama anaigiza basi na wewe igiza.

Kwasasa anashow off mabegi yamejaa hela.
Pesa hainaga maigizo
 
Hi
Jamaa kisaikolojia hayuko vizuri coz mara achome nyama ikiiva anaitoa then anaanza kushika shika na mikono..... Wakati wa kula mara achukuea ang'ate ARUDISHE ashike shike tena. All in all unaona hayuko sawa alafu ana ushamba flani hv...

Cjui amekuweje mnyakyusa huyu mbona anatudhalilisha sana but angekua msukuma it's ok
Hivi wasukuma mnatuchulia poa sana ...
 
Mtoto mdogo mwenye pesa nyingi ,kiongozi wa chama na serikali.

Pesa kidogo mbao nyingi.

Juzi aliingia "SHELI" akaweka mafuta ya laki 6 kwenye gari tatu ,Benzi ,Alphad na bmw akasema kama anaigiza basi na wewe igiza.

Kwasasa anashow off mabegi yamejaa hela.
Utapeli tu hapo hakuna lolote.
 
Nimepitia thread hii na kusoma comments zote, lakini kwa bahati mbaya sana hakuna kitu Cha maana ambacho nimekibaini. Isipokuwa nilichogundua no kwamba Watanzania wengi Sana bado wako na fikra za enzi za ujima, wanapenda Sana kujihusisha na mambo ya Kiswahili-swahili ya kufuatilia maisha binafsi ya watu wengine huku maisha yao binafsi yakiwashinda. Hali hii iko tofauti sana mfumo wa maisha ya wenzetu ktk nchi zingine ambako watu wapo busy Sana ktk kukimbizana na muda kwenye utafutaji wa riziki.,
In fact, an idle mind is the devil's workshop!
 
Back
Top Bottom