princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Ananiacha hoi na followers wake.
wanakwambia pesa kidogo mbao nyingi
wanakwambia pesa kidogo mbao nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote hao hamna kitu mkuu kelele tu nyingiMkuu nimewaza,lakini zile nyumba na range rovers anapiga misele tusemaje?kwenye hela tumempata, Yule jamaa kuna something wrong ,ila kufanya show off na mbao kweli?zile hela anaziazima?
Ananiacha hoi na followers wake.
wanakwambia pesa kidogo mbao nyingi
Yuko kijana huko analipa bill mpka 32m halafu hajawahi kupiga picha na hela,kakuta baba anazo nae anapambania kombeMatajiri hawanaga kelele
Hawanaga mambo ya kupiga
Picha na hela,wala kubeba maburungutu
Ova
Unaishi na machokoMachoko ndowamechoka kuliko makahaba ya kimboka, danganya wengine mm nakaa nao nawajua
😀😀😀Naona wanasema kanyimwa uhuru wa kula mbususu, aisee mimi ninyime vyote usininyime gambe na kyuma, tutapigana ww3
Pesa hainaga maigizoMtoto mdogo mwenye pesa nyingi ,kiongozi wa chama na serikali.
Pesa kidogo mbao nyingi.
Juzi aliingia "SHELI" akaweka mafuta ya laki 6 kwenye gari tatu ,Benzi ,Alphad na bmw akasema kama anaigiza basi na wewe igiza.
Kwasasa anashow off mabegi yamejaa hela.
Hivi wasukuma mnatuchulia poa sana ...Jamaa kisaikolojia hayuko vizuri coz mara achome nyama ikiiva anaitoa then anaanza kushika shika na mikono..... Wakati wa kula mara achukuea ang'ate ARUDISHE ashike shike tena. All in all unaona hayuko sawa alafu ana ushamba flani hv...
Cjui amekuweje mnyakyusa huyu mbona anatudhalilisha sana but angekua msukuma it's ok
Forex ni utapeli acha kuwavizia watu wakufate inboxNIWAMBIE YULE DOGO NI FOREX TRADER KAMA HAMJUI MSIWE WAJINGA FOREX UNAFAnya ukiwa popote ata ndan
Utapeli tu hapo hakuna lolote.Mtoto mdogo mwenye pesa nyingi ,kiongozi wa chama na serikali.
Pesa kidogo mbao nyingi.
Juzi aliingia "SHELI" akaweka mafuta ya laki 6 kwenye gari tatu ,Benzi ,Alphad na bmw akasema kama anaigiza basi na wewe igiza.
Kwasasa anashow off mabegi yamejaa hela.
Mshamba atakuwa wa Mbeya au mhaya