Chief Godlove ni mtu wa wapi?

Chief Godlove ni mtu wa wapi?

Ni mshamba mmoja hv alieziotea hela kiasi za 'masharti' anawavimbia wajinga na washamba wenzie huko isnta na tiktok... yaan kiufup ni limbukeni ! Sio kwamba nna muonea wivu hapana nyie fatilieni video zake huko mtajiridhisha.. unakuta kabeba mbwa wake kawafunga na minyororo ya kuvutia gari au mikanda ya mabegi alafu anawavimbia watu kuwa anaenda kuwanunulia mbwa wake gari crown kwa ajili ya kuendea beach au kwenda kuoga!! Nilichoka siku ingne kapost vyakula flan vya mbwa ambavyo ni very cheap food kwa mtu kama yeye anaevimba... watu walimchana sana aache ushamba... kiufupi ni jamiii ya kina kinasa msukuma ... yaan ni ile mtu hajawah kuwa exposure na maisha ya mjini alafu yupo huko uswekeni kaziotoe kaamua kuja nazo mjini so kila anachokiona cha thaman anawavimbia watu bila kujua kuna wengine wanakichukulia very cheap sana!!

Mwisho: Jamaa hela zake ni za masharti kuwa haruhusiwi kuwa na mahusiano na mwanamke ndo maana sio rahisi kumuona ana hang na wanawake katika mtindo wa kutaka kuchakata mbususu... yaan yeye akichakata mbususu tu kaisha! Sasa utajiri bila kuchakata mbususu ni u mbululazzzz!!
LMAO...

Umejuaje kama masharti ndo hayo?
 
kuna kitu kinamtesa hayupo vizuri saikolojia yake.
hilo tu ndo nakubaliana na wewe, mambo ya ushirikina hayana uhakika. Huyu jamaa kuna kitu hakiko sawa kwenye saikolojia yake inampelekea kudhani kujianika hvo na kupata attention ndio tiba. Inaweza kuwa ni trauma au sideeffect ya kwenye harakati za kuzisaka hizo noti
 
Video moja anacheza ngoma ya kienyeji nyuma ya kifremu kinasema, "Godlove Phone Accessories". Anashangaza kuitwa Godlove wakati anaposti video kavaa kama Muislamu na anatoa dua kabla ya kula na kadhalika. Huyu jamaa nilimshangaa sana. Hayupo sawa kichwani. Atakuwa anatumia madawa ya kulevya. Yupo "hyper" sana na anatumia nguvu nyingi sana na kujikakamua kuonyesha yeye ni "kidume cha mbegu", kitu ambacho mwenye ukwasi kama anavyojidai hamna haja kabisa kuhangaika.
 
Ni mshamba mmoja hv alieziotea hela kiasi za 'masharti' anawavimbia wajinga na washamba wenzie huko isnta na tiktok... yaan kiufup ni limbukeni ! Sio kwamba nna muonea wivu hapana nyie fatilieni video zake huko mtajiridhisha.. unakuta kabeba mbwa wake kawafunga na minyororo ya kuvutia gari au mikanda ya mabegi alafu anawavimbia watu kuwa anaenda kuwanunulia mbwa wake gari crown kwa ajili ya kuendea beach au kwenda kuoga!

Nilichoka siku ingne kapost vyakula flan vya mbwa ambavyo ni very cheap food kwa mtu kama yeye anaevimba... watu walimchana sana aache ushamba... kiufupi ni jamiii ya kina kinasa msukuma ... yaan ni ile mtu hajawah kuwa exposure na maisha ya mjini alafu yupo huko uswekeni kaziotoe kaamua kuja nazo mjini so kila anachokiona cha thaman anawavimbia watu bila kujua kuna wengine wanakichukulia very cheap sana!!

Mwisho: Jamaa hela zake ni za masharti kuwa haruhusiwi kuwa na mahusiano na mwanamke ndo maana sio rahisi kumuona ana hang na wanawake katika mtindo wa kutaka kuchakata mbususu... yaan yeye akichakata mbususu tu kaisha! Sasa utajiri bila kuchakata mbususu ni u mbululazzzz!!
Wew ni mmoja wa ao maboya wanaomfatilia umejuaje stor zake kama umfatilii kiaz ww
 
Back
Top Bottom