Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umetisha mkuuNshampa last warning
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umetisha mkuuNshampa last warning
LMAO...Ni mshamba mmoja hv alieziotea hela kiasi za 'masharti' anawavimbia wajinga na washamba wenzie huko isnta na tiktok... yaan kiufup ni limbukeni ! Sio kwamba nna muonea wivu hapana nyie fatilieni video zake huko mtajiridhisha.. unakuta kabeba mbwa wake kawafunga na minyororo ya kuvutia gari au mikanda ya mabegi alafu anawavimbia watu kuwa anaenda kuwanunulia mbwa wake gari crown kwa ajili ya kuendea beach au kwenda kuoga!! Nilichoka siku ingne kapost vyakula flan vya mbwa ambavyo ni very cheap food kwa mtu kama yeye anaevimba... watu walimchana sana aache ushamba... kiufupi ni jamiii ya kina kinasa msukuma ... yaan ni ile mtu hajawah kuwa exposure na maisha ya mjini alafu yupo huko uswekeni kaziotoe kaamua kuja nazo mjini so kila anachokiona cha thaman anawavimbia watu bila kujua kuna wengine wanakichukulia very cheap sana!!
Mwisho: Jamaa hela zake ni za masharti kuwa haruhusiwi kuwa na mahusiano na mwanamke ndo maana sio rahisi kumuona ana hang na wanawake katika mtindo wa kutaka kuchakata mbususu... yaan yeye akichakata mbususu tu kaisha! Sasa utajiri bila kuchakata mbususu ni u mbululazzzz!!
Wewe ndio umeongea pointiUmasikini mbaya, kijana kajitafuta kajipata wenye wivu wanasema ni mshirikina utasema mlimsindikiza kwa mganga.
hilo tu ndo nakubaliana na wewe, mambo ya ushirikina hayana uhakika. Huyu jamaa kuna kitu hakiko sawa kwenye saikolojia yake inampelekea kudhani kujianika hvo na kupata attention ndio tiba. Inaweza kuwa ni trauma au sideeffect ya kwenye harakati za kuzisaka hizo notikuna kitu kinamtesa hayupo vizuri saikolojia yake.
ThubutuuuuuKwani haziwezi kuwa ni hela zake za halali??
Upoje huo utajiri?utajiri wa ushirikina.
Wa kunyimwa kuchakata mbususu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upoje huo utajiri?
Ngoja akukamate akuminye hizo pumbuThubutuuuuu
Na wa Mbeya atutake radhi pia!Tutake radhi wahaya@ Mo 🤣🤣🤣🤣🤣
Wa kunyimwa kuchakata mbususu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo ni umasikini wa ukoo wenusiku hizi wengi wanaliwa
Ndio mmshauri ajengeDogo ni mshamba ila pesa anazo pesa haijifichi nyumba anayoishi na mazingira anayotembelea kula Bata ni sehemu ghali sana shida haieleweki anafanya kazi gani post zake inaonesha wazi kuna kitu kinamtesa hayupo vizuri saikolojia yake.
Hamna kitu watafanyaKwa wahaya utapotea mdogo wangu, Melo mwenye Jf yake ni mhaya, utakula life ban soon
siku hizi wengi wanaliwa
Du sasa kuna faida hapo...Nijuacho dogo ni mzaliwa wa Ipinda Kyela, familia yake ni wakulima pia baba yake ni muinjilisti. Tangu aje mjini hana miaka mitano. Nisikiavyo ni kuwa dogo pesa yake ni ya Kwa mganga. Sharti alilopewa ni kutopiga tunda hata kimasihara[emoji1787][emoji1787].
Wew ni mmoja wa ao maboya wanaomfatilia umejuaje stor zake kama umfatilii kiaz wwNi mshamba mmoja hv alieziotea hela kiasi za 'masharti' anawavimbia wajinga na washamba wenzie huko isnta na tiktok... yaan kiufup ni limbukeni ! Sio kwamba nna muonea wivu hapana nyie fatilieni video zake huko mtajiridhisha.. unakuta kabeba mbwa wake kawafunga na minyororo ya kuvutia gari au mikanda ya mabegi alafu anawavimbia watu kuwa anaenda kuwanunulia mbwa wake gari crown kwa ajili ya kuendea beach au kwenda kuoga!
Nilichoka siku ingne kapost vyakula flan vya mbwa ambavyo ni very cheap food kwa mtu kama yeye anaevimba... watu walimchana sana aache ushamba... kiufupi ni jamiii ya kina kinasa msukuma ... yaan ni ile mtu hajawah kuwa exposure na maisha ya mjini alafu yupo huko uswekeni kaziotoe kaamua kuja nazo mjini so kila anachokiona cha thaman anawavimbia watu bila kujua kuna wengine wanakichukulia very cheap sana!!
Mwisho: Jamaa hela zake ni za masharti kuwa haruhusiwi kuwa na mahusiano na mwanamke ndo maana sio rahisi kumuona ana hang na wanawake katika mtindo wa kutaka kuchakata mbususu... yaan yeye akichakata mbususu tu kaisha! Sasa utajiri bila kuchakata mbususu ni u mbululazzzz!!