Si umesema unatafuta dumu la petrol? Lazima waendelee kukufuatilia kwa karibu.Siwezi kumdhuru mtu.
Wapo watakaoenda mbali kuleta fujo DHULUMA ikifanyika.
Wakitenda HAKI hamna uvunjifu wa amani utajitokeza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si umesema unatafuta dumu la petrol? Lazima waendelee kukufuatilia kwa karibu.Siwezi kumdhuru mtu.
Wapo watakaoenda mbali kuleta fujo DHULUMA ikifanyika.
Wakitenda HAKI hamna uvunjifu wa amani utajitokeza.
Sasa umma upi wa CCM au Chadema?Sio kweli,.nguvu ya umma ni kiboko ya serikali nchi zote zenye machafuko zina serikali
Sasa umma upi wa CCM au Chadema?
Sasa umma upi wa CCM au Chadema?
Ficha ujinga we pisiSasa umma upi wa CCM au Chadema?
tunaomba majina ya OCD wa hapoChief kalumana inasemekana amakamatwa na polisi akiwa eneo la kuapishwa mawakala na mawakala wa chadema hawajaapishwa hadi sasa.
Comment za hovyo hazitakiwi kipindi hiki kikinuka wataanzia humu tuwe makini kwa kila unachochangia@Maxence Melo comment za namna hii ziangalieni sana, hakuna mtu au taasisi yenye nguvu kuliko Serikali mahali popote duniani.
Hakuna taasisi? Ilikuaje Moi akaangushwa? Serikali nzima ina watumishi laki 5 ila wananchi ni million 60!!!@Maxence Melo comment za namna hii ziangalieni sana, hakuna mtu au taasisi yenye nguvu kuliko Serikali mahali popote duniani.
Jibu swali acha blabla!Ficha ujinga we pisi
Kwa hiyo hao million 60 wote wako upande wa saccos ya Chadema pia ni watu wazima wote hakuna watoto wala wazee??Hakuna taasisi? Ilikuaje Moi akaangushwa? Serikali nzima ina watumishi laki 5 ila wananchi ni million 60!!!
Ni hvi, hakuna nguvu zaidi ya UMMA ukiwa na umoja. Hyo serikali inapewa jeuri sababu ndio pekee ina miliki Vifaru na mabomu otherwise haina kingine cha kuzuia nguvu ya raia.
Kma kipo kitaje
Nahisi umejinyeaWe mwenyewe ulivyo muoga ukiona mende unajificha uvunguni
Wewe bi dada usiwe unaniquote hapa jamvini tafadhaliHaa wapi,ni hamasa tu za mitandaoni.
wafanya wakweli huwa awasemagi.
Chomoweni battery ndio mtajuwa@Maxence Melo comment za namna hii ziangalieni sana, hakuna mtu au taasisi yenye nguvu kuliko Serikali mahali popote duniani.
Mkuu mfano wapiga kura wa CHADEMA walikua million 6 sasa imagine wagu 6m wanaweza shindwa na watumishi laki 5??Kwa hiyo hao million 60 wote wako upande wa saccos ya Chadema pia ni watu wazima wote hakuna watoto wala wazee??
Nenda wewe na familia yako. Mwenye chama mwenyewe hawezi huo mtihani. Kafinywa kule hai, hamu hana kabisa.Nguvu ya umma ifanye kazi yake kukomesha huu uhuni.
Kumbe hujui hao million 6 walikuwa washabiki wa Lowassa wakiwemo wanaCCM na wengi wao wamesharudi CCM. Tarehe 28/10/2020 utaamini mkuuMkuu mfano wapiga kura wa CHADEMA walikua million 6 sasa imagine wagu 6m wanaweza shindwa na watumishi laki 5??
Tofauti ni bunduki tu na vifaru ila serikali ni watu kma sisi tu hawana jingine la kutisha au miujiza kwamba wanayeyuka au kutembea angani!!
Otherwise Kina Compaore wasinge kimbia ikulu
Tanguliza magolori yako wewe kwanza. Sio kuhamasisha watoto wa wenzioNguvu ya umma ifanye kazi yake kukomesha huu uhuni.
Ukiona mtu anatetea ualifu jua na yeye mualifuTanguliza magolori yako wewe kwanza. Sio kuhamasisha watoto wa wenzio