Chief Kidaha Makwaia alituwakilisha siku ya kuapishwa Malkia Elizabeth II wa Uingereza

Nyerere alifeli kwenye elimu na kuandaa mfumo wa uchumi.
 
Chief Makwaia Baba yake David Makwaia,alikuwa mjomba wa Bob Makani. Mama Yake Bob Makani ni mtoto wa Chief.
For real? Familia kubwa, nilikaa na mtoto mmoja wa Chief David Makwaia alikuwa anamchana Bob Makani kama pretender, alisema kwamba the Makanis ni majirani tu wa kwao kwenye Uchifu lakini wana pass off kama watu wa line ya Uchifu.

Naweza kumtafuta mtu anieleze vizuri hapa.

Halafu hapa JF tunaweza kuwa tunajibizana ndugu.
 
Ni kweli kabisa. Chief Makwaia na mama yake Bob ni mtu na dada yake. Uliza. Hata mama yake Bob alipofariki alizikwa huko Negezi kwenye makazi ya Chief Nhw'aya Makwaia. Pia huyo bibi alikuwa anaitwa Ng'wana Nh'waya. Baba yao alipokufa mzee Kidaha David Makwaia,ambae mwanae yupo pale BOT IT department akawa chief. Baadae na yeye alipokufa Edward makwaia akawa chief,na ndo anaendelea mpaka leo.
Ila si unajua familia za kisukuma watoto wa Ujombani ni kama wa kuja tu.
 
Ha ha ha ha aaaaf unakuta mmoja anaandikia sebuleni na mwingine yupo chumbani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee kumbe unaweza kuandika historia ya nchi vizuri bila kuinasibisha na mambo ya imani!
This is awesome
 
Chief Makwaia Baba yake David Makwaia,alikuwa mjomba wa Bob Makani. Mama Yake Bob Makani ni mtoto wa Chief.

..Major.Makwaia aliyepata kuwa mpambe wa Mwalimu Nyerere ana uhusiano wowote na Chief Makwaia?
 
Hata baba wa babu yangu Chifu Mfaranyaki wa Songea wamemsahau kwenye vitabu vyao, alipigana sana vita ya majimaji kipindi hicho
 
Halafu jitu linatokea mafichoni linasema wasukuma hawajasoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…