Chief Odemba na Mtozi Nyanda nani mkali wa kuuliza maswali?

Chief Odemba na Mtozi Nyanda nani mkali wa kuuliza maswali?

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Star tv ina vijana wawili ambao kwasasa ndio manguli wa kuuliza maswali na Wana vipindi vinavyofanana. Chief Odemba na Mtozi Nyanda Nani mkali zaidi?
 
Star tv ina vijana wawili ambao kwasasa ndio manguli wa kuuliza maswali na Wana vipindi vinavyofanana. Chief odemba na Mtozi nyanda Nani mkali zaidi?
Mkuu kiukweli wote bado yaan kama hawa wawili una jaribunkuwa compare ktk wanahabari wadadisi /wa kufunyuaji wa habari basi binafsi maona wote tuwape at least miaka 5 mbele wajenge uwezo ila mtozi anajitahidi
Huyo Odemba ana mihemko hasa ukimkuta kavaa msuti wake ule kama kijana TISS
 
Mkuu kiukweli wote bado yaan kama hawa wawili una jaribunkuwa compare ktk wanahabari wadadisi /wa kufunyuaji wa habari basi binafsi maona wote tuwape at least miaka 5 mbele wajenge uwezo ila mtozi anajitahidi
Huyo Odemba ana mihemko hasa ukimkuta kavaa msuti wake ule kama kijana TISS
Kwanza huyo Odemba hana sifa hata ya uhodari wowote na isitarajiwe hivyo kwa sababu huo uwezo hana.
 
Wanatofauti kubwa sana kiuandishi ktk mahojiano.
1.Odemba ni mdadisi pasipo kujenga hoja ya udadisi wa mwingine kwenye majibu ya mgeni wake.
2.Mtozi ni refa mzuri akiwa na wageni wawili.Mgeni mmoja studio kwa mtozi anabitua.
Mtozi mda wa kipindi haukidhi mahitaji ya;
1.Waalikwa
2.Watazamaji
3.Muongozaji
The big agenda ifikiriwe 2hrs.Siku za agenda futeni hayo marudio ya taarifa ya habari.
 
Wote bado wachanga ktk tasnia ya habari,lakini nachokions kwa mtazamo wangu Nyanda yupo mbele kidogo ya Odemba.
 
Wote pipa na mfuniko tu.Hatuna waandishi wachambuzi wa kisiasa Tanzania .Hakuna journalist wa kufanya uchunguzi na kuleta uchunguzi wao katika mada mbalimbali kama uchumi,siasa,michezo na mazingira.
Kuna wachumia tumbo tu.
 
Wanatofauti kubwa sana kiuandishi ktk mahojiano.
1.Odemba ni mdadisi pasipo kujenga hoja ya udadisi wa mwingine kwenye majibu ya mgeni wake.
2.Mtozi ni refa mzuri akiwa na wageni wawili.Mgeni mmoja studio kwa mtozi anabitua.
Mtozi mda wa kipindi haukidhi mahitaji ya;
1.Waalikwa
2.Watazamaji
3.Muongozaji
The big agenda ifikiriwe 2hrs.Siku za agenda futeni hayo marudio ya taarifa ya habari.
Huyo Nyanda ulimuona akimuhoji Sabaya na Makonda?Huyo ndio alikua anatumika kuwasafisha
 
Wote pipa na mfuniko tu.Hatuna waandishi wachambuzi wa kisiasa Tanzania .Hakuna journalist wa kufanya uchunguzi na kuleta uchunguzi wao katika mada mbalimbali kama uchumi,siasa,michezo na mazingira.
Kuna wachumia tumbo tu.
Habari za kiuchunguzi? Unamfahamu mwandishi Katabaro?Uliza kilichomkuta kwny kufuatilia habari za Uchunguzi za Loliondo.
 
Fuatilia Kenya ukaone waandishi wa kiuchunguzi.Mohamed Ali na Parapanda la uchunguzi mpaka akapata umaarufu akachaguliwa kuwa Mbunge wa Nyali Mombasa.Larry Madowo aliyeko CNN kwa habari za uchumi.Kenya waandishi sio waoga pamoja na vitisho wanavyokutana navyo kila siku
 
Fuatilia Kenya ukaone waandishi wa kiuchunguzi.Mohamed Ali na Parapanda la uchunguzi mpaka akapata umaarufu akachaguliwa kuwa Mbunge wa Nyali Mombasa.Larry Madowo aliyeko CNN kwa habari za uchumi.Kenya waandishi sio waoga pamoja na vitisho wanavyokutana navyo kila siku
Nimekuuliza unamjua mwandishi Katabaro?
 
Ndio mwandishi pekee?Kwa sababu inaelekea kwa mujibu wa jibu lako ndio mwandishi pekee wa kiuchunguzi kwa issue ya Loliondo!!!
 
Back
Top Bottom