amakyasya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 3,480
- 914
Chikawe amesema haya kwenye mkutano wa wanasheria Dodoma.Anasema yeye haoni tatizo lolote katika mswada uliopitishwa wa kuunda bunge maalumu la katiba na kwamba siyo lazima kukubaliana na kila kitu cha wapinzani na kama wana hoja basi waseme bungeni siyo kwenye mikutano ya hadhara.
My take:Namshangaa Huyu Chikawe hajui kwamba katiba si ya bunge ni ya wananchi.Na kama katiba ni mali ya wananchi basi mahali pekee pa kueleza kasoro hizo ni kwa wenye mali yaani wananchi na hawa wanapatikana kwenye mikutano ya hadhara.
Macho ya Chikawe,Lukuvi na Wasira yana matatizo,kwa sababu watu wengi pamoja na wasomi waliobobea na wanasheria wanaona mapungufu mengi katika mswada uliopitishwa lakini hawa watatu hawaoni mapungufu yoyote.Nawahurumia sana.
My take:Namshangaa Huyu Chikawe hajui kwamba katiba si ya bunge ni ya wananchi.Na kama katiba ni mali ya wananchi basi mahali pekee pa kueleza kasoro hizo ni kwa wenye mali yaani wananchi na hawa wanapatikana kwenye mikutano ya hadhara.
Macho ya Chikawe,Lukuvi na Wasira yana matatizo,kwa sababu watu wengi pamoja na wasomi waliobobea na wanasheria wanaona mapungufu mengi katika mswada uliopitishwa lakini hawa watatu hawaoni mapungufu yoyote.Nawahurumia sana.