Ni mshambuliaji wa pembeni na kati.....Anacheza nafasi gani uwanjani? Rekodi yake ikoje huko atokako?
Weka na za Chama aliyefeliTaarifa zake tunazo
View attachment 2083266
Leo vinatambulishwa vyuma viwili.Stay tuned kazi mnayo.Rekodi za vyuma hivyo Huwezi kufananisha na rekodi za waliofeliTaarifa zake tunazo
View attachment 2083266
Unataka kumlinganisha Chama na mambo ya mijinga.Weka na za Chama aliyefeli
Weka na za Chama aliyefeli
Vyuma vya mikopoLeo ni vyuma viwili kwa mpigo sio kurudisha waliofeli kama huko kwa mudi
Yanga SC wamekurupuka ma Kuhemka katika Kumsajili huyu kwani nimemfuatilia kutoka kwa Waandishi wa Habari za Michezo Congo DR na Rwanda na wanadai si mzuri kivile na alichonacho ni Miguvu tu isiyo na Tija sana.CHIKO USHINDI[emoji1078] ATUA DAR ES SALAAM
Mchezaji Mpya wa klabu ya Yanga[emoji617] Ambaye atatambulishwa mda wowote kuanzia sasa Amewasili Nchini Mda huu akitokea Congo Dr[emoji1078]
.
Yanga[emoji617] imekamilisha Usajili wa chico[emoji1078] ushindi Toka Klabu ya Tp Mazembe[emoji246]View attachment 2083133
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
we toka lini ukwatajia mema yanga,Yanga SC wamekurupuka ma Kuhemka katika Kumsajili huyu kwani nimemfuatilia kutoka kwa Waandishi wa Habari za Michezo Congo DR na Rwanda na wanadai si mzuri kivile na alichonacho ni Miguvu tu isiyo na Tija sana.
Kwa Maoni yangu ( ambayo naomba yaheshimiwe ) ni kwamba 'technically' sidhani kwa jinsi Yanga SC ilivyosajili vizuri na inavyofanya vyema katika Ligi Kuu ya NBC ilikuwa na haja sana ya Wao kutaka Kusajili kwani Yanga SC imekamilika na hata bila ya huyu Chico Ushindi bado walikuwa na Jeuri ya Kupambana na hata Kutwaa Ubingwa.
Kinachowagharimu / Kilichowagharimu Yanga SC ni Siasa zetu za Simba na Yanga za Kujambishana ( Kutishana ) katika Usajili kwa Kipindi hiki ili tu Kuwaridhisha Mashabiki ili kuondoa Lawama ya kwanini Wapinzani wanasajili na Wao hawasajili?
Kwa Simba SC kujitosa katika Usajili ( hasa dirisha hili dogo ) Kwangu Mimi ilikuwa ni lazima kwani pamoja na kwamba Simba SC ina Wachezaji wazuri na mahiri ila ilipungukiwa Mtu Mmoja muhimu ambaye ni Mchezeshaji ( Playmaker ) kama ilivyo kwa Yanga SC kwa kuwa na Wao Khalid Aucho.
Hivyo Kumrejesha ( Kumsajili ) Kiungo Mchezeshaji ( Playmaker ) Mzambia Clatous Chota Chama kwa 99% Simba SC imeshatibu tatizo na kama Chama atacheza katika ile 'rythm' yake tuliyoizoea nina uhakika akina Sakho, Kagere, Kibu na Morrison Watafunga Magoli mpaka Watachoka kama pia si Kuyakinai kutokana na 'Pasi za Ubarikio' na 'Pasi za Upendo' za Clatous Chota Chama.
Mkuu kumbe hujagundua kuwa pale mbele Yanga inamtegemea Mayele tu. So akiwa injury au kadi mbadala wake ni Makambo ambaye ni kama kaishakata tamaa. Wale madogo wazawa bado sana.Yanga SC wamekurupuka ma Kuhemka katika Kumsajili huyu kwani nimemfuatilia kutoka kwa Waandishi wa Habari za Michezo Congo DR na Rwanda na wanadai si mzuri kivile na alichonacho ni Miguvu tu isiyo na Tija sana.
Kwa Maoni yangu ( ambayo naomba yaheshimiwe ) ni kwamba 'technically' sidhani kwa jinsi Yanga SC ilivyosajili vizuri na inavyofanya vyema katika Ligi Kuu ya NBC ilikuwa na haja sana ya Wao kutaka Kusajili kwani Yanga SC imekamilika na hata bila ya huyu Chico Ushindi bado walikuwa na Jeuri ya Kupambana na hata Kutwaa Ubingwa.
Kinachowagharimu / Kilichowagharimu Yanga SC ni Siasa zetu za Simba na Yanga za Kujambishana ( Kutishana ) katika Usajili kwa Kipindi hiki ili tu Kuwaridhisha Mashabiki ili kuondoa Lawama ya kwanini Wapinzani wanasajili na Wao hawasajili?
Kwa Simba SC kujitosa katika Usajili ( hasa dirisha hili dogo ) Kwangu Mimi ilikuwa ni lazima kwani pamoja na kwamba Simba SC ina Wachezaji wazuri na mahiri ila ilipungukiwa Mtu Mmoja muhimu ambaye ni Mchezeshaji ( Playmaker ) kama ilivyo kwa Yanga SC kwa kuwa na Wao Khalid Aucho.
Hivyo Kumrejesha ( Kumsajili ) Kiungo Mchezeshaji ( Playmaker ) Mzambia Clatous Chota Chama kwa 99% Simba SC imeshatibu tatizo na kama Chama atacheza katika ile 'rythm' yake tuliyoizoea nina uhakika akina Sakho, Kagere, Kibu na Morrison Watafunga Magoli mpaka Watachoka kama pia si Kuyakinai kutokana na 'Pasi za Ubarikio' na 'Pasi za Upendo' za Clatous Chota Chama.