Chiko Ushindi tumemuona ni mchezaji wa kawaida mno wakati tuliambiwa atasimamisha nchi

Chiko Ushindi tumemuona ni mchezaji wa kawaida mno wakati tuliambiwa atasimamisha nchi

Venus Star

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
26,519
Reaction score
78,311
Screenshot_20220123-182620.png

Wahenga walisema la kuvunda halina ubani. Hata upambe vipi kwa matarumbeta na vifijo kama kibovu kibovu tu.

Mazembe huwa hawawezi kutoa mchezaji kizembekizembe. Kuiona mchezaji anatoka mazembe anakuja timu ambayo haipo hata kwenye shindano hata la kuku kimataifa, ujue mchezaji huyo ni mzigo.

Mchezaji anayejua boli akiingia hata sekunde 7 unamjua tu. Namna anavyokimbia na ku turn.

Kiwango cha makelele yaliyopigwa na uhalisia ni kama mbingu na ardhi. Yaani kwa kifupi huyo hawezi hata kumfikia Nchimbi yaani kwa Kaseke huyu Chiko akasome.

Maoni yangu ni kwamba kwa sifa tulizoambiwa na akina Manara na genge lake la propaganda za kishamba, tulitegemea tuone moto na nyasi kuungua na miguu ya Chiko. Kumbe mazee tumeuziwa mbuzi kwenye gunia.
 

Wahenga walisema la kuvunda halina ubani. Hata upambe vipi kwa matarumbeta na vifijo kama kibovu kibovu tu.

Mazembe huwa hawawezi kutoa mchezaji kizembekizembe. Kuiona mchezaji anatoka mazembe anakuja timu ambayo haipo hata kwenye shindano hata la kuku kimataifa, ujue mchezaji huyo ni mzigo.

Mchezaji anayejua boli akiingia hata sekunde 7 unamjua tu. Namna anavyokimbia na ku turn.

Kiwango cha makelele yaliyopigwa na uhalisia ni kama mbingu na ardhi. Yaani kwa kifupi huyo hawezi hata kumfikia Nchimbi yaani kwa Kaseke huyu Chiko akasome.

Maoni yangu ni kwamba kwa sifa tulizoambiwa na akina Manara na genge lake la propaganda za kishamba, tulitegemea tuone moto na nyasi kuungua na miguu ya Chiko. Kumbe mazee tumeuziwa mbuzi kwenye gunia.
Amekuwa mbovu Kama timu yako vile, ebu anzia kwenye timu yako kwanza kuwataja wabovu bila unafiki ukimaliza uko ndo urudi kwa mabingwa wa kihistoria wanaoongoza ligi kwa tofauti ya point 10 na anaesindikiza mwenge
 
Amekuwa mbovu Kama timu yako vile, ebu anzia kwenye timu yako kwanza kuwataja wabovu bila unafiki ukimaliza uko ndo urudi kwa mabingwa wa kihistoria wanaoongoza ligi kwa tofauti ya point 10 na anaesindikiza mwenge
Oh!! Kumbe umetupita point kumi huku tunamchezo mkononi. Nilidhani unasema yanga imechukua kombe.

Halafu tunaongelea Chiko Ushindi, maoni yako ni yapi kwa kiwango chake!?
 

Wahenga walisema la kuvunda halina ubani. Hata upambe vipi kwa matarumbeta na vifijo kama kibovu kibovu tu.

Mazembe huwa hawawezi kutoa mchezaji kizembekizembe. Kuiona mchezaji anatoka mazembe anakuja timu ambayo haipo hata kwenye shindano hata la kuku kimataifa, ujue mchezaji huyo ni mzigo.

Mchezaji anayejua boli akiingia hata sekunde 7 unamjua tu. Namna anavyokimbia na ku turn.

Kiwango cha makelele yaliyopigwa na uhalisia ni kama mbingu na ardhi. Yaani kwa kifupi huyo hawezi hata kumfikia Nchimbi yaani kwa Kaseke huyu Chiko akasome.

Maoni yangu ni kwamba kwa sifa tulizoambiwa na akina Manara na genge lake la propaganda za kishamba, tulitegemea tuone moto na nyasi kuungua na miguu ya Chiko. Kumbe mazee tumeuziwa mbuzi kwenye gunia.
Mechi mbili tayari ushatoa hukumu Rage hakukosea kuwaita Mbumbumbu FC
 
Kacheza mechi mpaka umehitimisha hana kiwango? Kacheza kwenye uwanja wa aina gani? Kwanini usijipe muda kwanza kwa mechi zaidi ya tano?
Tunaangalia Statistics zake akiwa Mazembe. Mchezaji sekunde mbili tu utajua hili ni garasa.
 
Mechi mbili tayari ushatoa hukumu Rage hakukosea kuwaita Mbumbumbu FC
Unataka tumpatie mechi ngapi mzee.
Yani mchezaji katoka TP Mazembe amepoaaaaaa, anazidiwa hata na Nchimbi.
 
Oh!! Kumbe umetupita point kumi huku tunamchezo mkononi. Nilidhani unasema yanga imechukua kombe.

Halafu tunaongelea Chiko Ushindi, maoni yako ni yapi kwa kiwango chake!?
Mchezo mkononi umejuaje Kama utashinda? Na ukishinda linabaki gape la point ngapi vile? Unaongelea chiko ushindi eti basi mpe mechi 5 ndo urudi kumuongelea mpira sio Kama kusonga ugali na kula apo apo utakuja kutafuta pa kujificha autapaona, Ni suala la muda tu atakiwasha
 
Unataka tumpatie mechi ngapi mzee.
Yani mchezaji katoka TP Mazembe amepoaaaaaa, anazidiwa hata na Nchimbi.
Vipi jana chama alicheza mechi moja je tunapaswa kumuhukumu kwa mechi ya jana kuwa kiwango kimeshuka?
 

Wahenga walisema la kuvunda halina ubani. Hata upambe vipi kwa matarumbeta na vifijo kama kibovu kibovu tu.

Mazembe huwa hawawezi kutoa mchezaji kizembekizembe. Kuiona mchezaji anatoka mazembe anakuja timu ambayo haipo hata kwenye shindano hata la kuku kimataifa, ujue mchezaji huyo ni mzigo.

Mchezaji anayejua boli akiingia hata sekunde 7 unamjua tu. Namna anavyokimbia na ku turn.

Kiwango cha makelele yaliyopigwa na uhalisia ni kama mbingu na ardhi. Yaani kwa kifupi huyo hawezi hata kumfikia Nchimbi yaani kwa Kaseke huyu Chiko akasome.

Maoni yangu ni kwamba kwa sifa tulizoambiwa na akina Manara na genge lake la propaganda za kishamba, tulitegemea tuone moto na nyasi kuungua na miguu ya Chiko. Kumbe mazee tumeuziwa mbuzi kwenye gunia.
Kitu pekee nilichokiona kwa Chico ni mwanya, njooni mnipige hapa Bambalaga
 
Mchezo mkononi umejuaje Kama utashinda? Na ukishinda linabaki gape la point ngapi vile? Unaongelea chiko ushindi eti basi mpe mechi 5 ndo urudi kumuongelea mpira sio Kama kusonga ugali na kula apo apo utakuja kutafuta pa kujificha autapaona, Ni suala la muda tu atakiwasha
Tunapoongelea mchezaji tunaangalia na statistics zake akiwa Mazembe. Wewe kubali tu kwamba kwa kiwango alichoonesha kaboronga mno.
 
Vipi jana chama alicheza mechi moja je tunapaswa kumuhukumu kwa mechi ya jana kuwa kiwango kimeshuka?
Nadhani wewe mwenyewe unaona aibu. Hata shetani atakukataa siku ya hukumu.
 
Tunapoongelea mchezaji tunaangalia na statistics zake akiwa Mazembe. Wewe kubali tu kwamba kwa kiwango alichoonesha kaboronga mno.
Kwanini uandikie mate wakati wino upo? Unataka statics akiwa Mazembe wakati tayari yupo Yanga. Subiri acheze mechi kadhaa Yanga kisha uje na statics akiwa Yanga. Haujui kuwa mchezaji anaweza kuwa na profile nzuri lakini akasajiliwa na akafeli. Kumbe bado mpira haujui
 
Kwanini uandikie mate wakati wino upo? Unataka statics akiwa Mazembe wakati tayari yupo Yanga. Subiri acheze mechi kadhaa Yanga kisha uje na statics akiwa Yanga. Haujui kuwa mchezaji anaweza kuwa na profile nzuri lakini akasajiliwa na akafeli. Kumbe bado mpira haujui
Mzee umemuonaje leo!? Amecheza kiwango kizuri au la!?
 
Mara Nyingi Wenye Majina Kama hili Chicco huwa ni Wanamuziki Wazuri Sana....!
Mazembe Wamuachie mchezaji Mzuri hivi hivi?
 
Endelea kutafuta faraja ya moyo wako kwa kujiraji ujinga, wana Yanga tunasonga mbele, Chiko mbovu ndio na wachezaji wote wa Yanga wabovu haya kaongeze point tatu kwenye Simba yako
Hii ni ligi mwanangu. Subiri mwisho wa ligi.
By the way usihamishe mada. Tunaongelea Chiko haoa
 
Back
Top Bottom