Chimala: Basi la Isamilo lapata ajali, linadaiwa kusababisha vifo 3

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
Nimesikia taarifa ya ajali ya Basi la Kampuni ya Isamilo kutoka kwa kanda ya Ziwa kwenda Mkoani Mbeya majira ya kati ya saa Tisa na saa kumi alfajiri baada ya kupita kidogo Chimala.

Iasemekana kuna vifo vya watu 3 akiwemo katoto kadogo, hatuji chanzo cha ajali lakini najiuliza hawa madereva huwa wanabadilishana kuendesha au mmoja ndio ananyoosha masaa yote hayo toka Usukuma mpaka Mbeya?

Hizi gari za usiku kuna usimamizi wa kutosha kama mchana, Na kama hakuna usimamizi kwa nini zinaruhusiwa kutembea muda huo ilhali wasimamizi wamelala?

---
Basi la kampuni ya Isamilo Express linalofanya safari kati ya Mwanza••Mbeya limepata ajali alfajiri ya leo likiwa linaelekea Mbeya.

Ajali imetokea eneo la kati ya Chimala na Igulusi. Taarifa zaidi tunasubiri kutoka Vyombo husika vya usalama. Pole kwa Abiria na kampuni.

 
Ni vizuri sana kama Ile Sheria ya mwisho saa nne usiku ikarudishwa. It is obvious madereva wanachoka na kusinzia. Kumi mpaka kumi na mbili alfajiri ni mida mibaya sana kwa usingizi. You can't withstand.
 
tumeanza tena mambo ya kupigizana, korona inateketeza tena na ajali.
 
Wiki hii nimesikia ajali tatu za mabasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…