Yea huyo mtotoHuyo mtoto ama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yea huyo mtotoHuyo mtoto ama
Dah we acha tu mkuu..Pole sana mkuu sema nini yatapita tu hapo unakumbuka mpaka kitanda ulichokuwa unamkunjia alafu unawaza now kuna njemba nyingine inamkunja zaidi yako.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]mapenzi haya aseee
Mmh......ila cku hz anazid kuwa bongeYule demu nilipitaga kitambo kile natalii dodoma ila tangu nilipokuja kukaa mazima na nilisoma habari zake za kukamatwa na mroto nikaona isiwe kesi asije kuniletea ngwesi kijana wa watu.
Anaitwa Glory mkuu...mtoto mmoja hivi wa kichaga..Yea huyo mtoto
Uko vizuri babyBaby kuna nini kwani?
nawe watafuta room za bei cheee...Aisee
Hapa pazuri na pametulia sana, kimsingi ni machinjio safi kabisa.ELGON LODGE ipo hapa Dom jirani na stendi ya sabasaba napakumbuka mnoo..
Nilikuwa nakutana na mtoto nilo mpenda hatari,but unfortunately we are not together now.
Kila nikipita pale pananipa kumbukumbu ambazo zinapelekea kuumia..maana tangu tuachane tuna almost 4 months.
But maisha lazima yaendelee....
haahahah mkuu unakujua hku hata suma lodge bei ni 10 hadi buku 7...viwanachuo vya st. john vinapelekwaga lile chimboHuku kitaa kama toroka uje room ni 5k tu
Mkuu mimi kuna wakina Priska sijawahi tongoza demu mwenye jina hilo na akachomoaAnaitwa Glory mkuu...mtoto mmoja hivi wa kichaga..
Najua huezi mjua, since hayo majina ya Glory wapo wengi.
Mbaya zaidi demu mwingine alo tokea kunipenda tena saivi anaitwa Glory na ni mchaga..
Nmekaa najiuliza,is it coincidence?
Tofauti ni kazi zao tu,
Cc Zero IQ
Nshampata mkuu.....si mrefu hv?Anaitwa Glory mkuu...mtoto mmoja hivi wa kichaga..
Najua huezi mjua, since hayo majina ya Glory wapo wengi.
Mbaya zaidi demu mwingine alo tokea kunipenda tena saivi anaitwa Glory na ni mchaga..
Nmekaa najiuliza,is it coincidence?
Tofauti ni kazi zao tu,
Cc Zero IQ
Unaishi domUko vizuri baby
Hahaa,mkuu ni noma saana.ila prisca karibia wengi sio wazuriMkuu mimi kuna wakina Priska sijawahi tongoza demu mwenye jina hilo na akachomoa
Duuh....sehem gni hyo mkuuhaahahah mkuu unakujua hku hata suma lodge bei ni 10 hadi buku 7...viwanachuo vya st. john vinapelekwaga lile chimbo