Chimbo za gest za bei nafuu

Chimbo za gest za bei nafuu

Pole sana mkuu sema nini yatapita tu hapo unakumbuka mpaka kitanda ulichokuwa unamkunjia alafu unawaza now kuna njemba nyingine inamkunja zaidi yako.

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]mapenzi haya aseee
Dah we acha tu mkuu..
 
Yule demu nilipitaga kitambo kile natalii dodoma ila tangu nilipokuja kukaa mazima na nilisoma habari zake za kukamatwa na mroto nikaona isiwe kesi asije kuniletea ngwesi kijana wa watu.
Mmh......ila cku hz anazid kuwa bonge
 
Mmh......ila cku hz anazid kuwa bonge
Siku hizi limenenepa nilimkosa kosa juzi kati nikaghairi Roho bado inasita kwenda kumtafuna ,

Namba yake ninayo mwenye huitaji aje Pm nimpasie
 
Yea huyo mtoto
Anaitwa Glory mkuu...mtoto mmoja hivi wa kichaga..

Najua huezi mjua, since hayo majina ya Glory wapo wengi.

Mbaya zaidi demu mwingine alo tokea kunipenda tena saivi anaitwa Glory na ni mchaga..
Nmekaa najiuliza,is it coincidence?
Tofauti ni kazi zao tu,

Cc Zero IQ
 
ELGON LODGE ipo hapa Dom jirani na stendi ya sabasaba napakumbuka mnoo..

Nilikuwa nakutana na mtoto nilo mpenda hatari,but unfortunately we are not together now.

Kila nikipita pale pananipa kumbukumbu ambazo zinapelekea kuumia..maana tangu tuachane tuna almost 4 months.

But maisha lazima yaendelee....
Hapa pazuri na pametulia sana, kimsingi ni machinjio safi kabisa.
 
Anaitwa Glory mkuu...mtoto mmoja hivi wa kichaga..

Najua huezi mjua, since hayo majina ya Glory wapo wengi.

Mbaya zaidi demu mwingine alo tokea kunipenda tena saivi anaitwa Glory na ni mchaga..
Nmekaa najiuliza,is it coincidence?
Tofauti ni kazi zao tu,

Cc Zero IQ
Mkuu mimi kuna wakina Priska sijawahi tongoza demu mwenye jina hilo na akachomoa
 
Anaitwa Glory mkuu...mtoto mmoja hivi wa kichaga..

Najua huezi mjua, since hayo majina ya Glory wapo wengi.

Mbaya zaidi demu mwingine alo tokea kunipenda tena saivi anaitwa Glory na ni mchaga..
Nmekaa najiuliza,is it coincidence?
Tofauti ni kazi zao tu,

Cc Zero IQ
Nshampata mkuu.....si mrefu hv?
 
Back
Top Bottom