Chimbuko la amani na utulivu Tanzania ni uimara wa CCM

Chimbuko la amani na utulivu Tanzania ni uimara wa CCM

Chimbuko la Amani na utulivu ni Uzezeta wa Watanzania.
gentleman,
ni kosa la kimaadili kuwahadaa na kuwabeza wa Tanzania namna hiyo.

vipo vyama vya siasa mpaka leo wanajuta na kuteseka na dhihaka kama hizo huku field.

wagombea wao katika chaguzi huonekana kama wezi au misukule tu wakijaga field kwa wananchi. Acha kujizolea laana ambazo si Lazima🐒
 
Macho, masikio na akili zako una uhakika vinafanya kazi yake sawa sawa?.
mihemko na makasiriko dhidi ya ukweli ni utumwa mbaya sana aise tena wa kiwango cha kishirikina.

hata hivyo,
amani na umoja wa waTanzania ulalindwa kwa gharama na nguvu zote chini ya utawala wa serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan 🐒
 
Hakuna hata amani kuna utulivu pekee watu wanatekwa kila mara
umendee mke wa wenyewe kisirisiri, halafu unyakwe na wenyewe, halafu uje kumbwelambwela hapa eti ng'weee ng'weee ng'weee,

kumbafu sana, alaaa !🐒
 
Ulaaniwe wewe na uzao wako wote
kwa Neema na Baraka za Mungu tutaendelea kueleza ukweli kila tunapopata nafasi, licha ya upinzani dhaifu dhidi ya ukweli huo.

zaidi sana tutaendelea kuwaombea wapinzani waliopoteza uelekeo na ambao hawaelewani nchini, ili wawe kitu kimoja.

hata hivyo,
serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan itaendelea kuwekeza katika Amani na Utulivu wa waTanzania, ili hatimae wananchi wote waweze kufanya kazi na majukumu yao kisiasa, kijamii na kiuchumi kwa usalama wa uhakika 🐒
 
Uimara na umadhubuti wa CCM, chini ya mwenyekiti wa chama na mkuu wa nchi mwanamke ndiyo hasa msingi mkuu wa amani, umoja na mshikamano miongoni mwa waTanzania.

CCM ndicho chama kilichobeba hatma, matumaini na mustakabali mwema, wa uhakika na salama wa umoja, amani na utulivu wa waTanzania.

Kukubalika na kuaminika kwa sera na mipango mikakati yake ya maendeleo, kumewaunganisha waTanzania, kuwaleta pamoja na kua kitu kimoja.

Ama kwa hakika bila CCM madhubuti, nchi itayumba.
Nia na dhamira njema za viongozi waandamizi wa chama na serikali, hasa kiongozi mkuu wa nchi Dr.Samia Suluhu Hassan, vimeendelea kuliunganisha taifa, kuifungua nchi miongoni mwa mataifa ya ulimwengu na kuifanya Tanzania madhubuti zaidi, inayoaminika na kuheshimika ndani na nje ya mipaka ya Tanzania kwa kiwango cha juu sana.

Tunapoelekea uchaguzi mkuu 2025, ni muhimu sana wananchi wote, kufahamu na kuelewa kwamba, ushindi wa kishindo wa CCM, ni ushindi wa wananchi na waTanzania wote, dhidi ya vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, wenye nia ovu binafsi za kutugawanya kwa maslahi yao binafsi.

Kama Taifa inafaa kuungana,
na tuendelee kuiamini CCM na kuipa nafasi zaidi ya kuongoza, ili hatimae tuendelee kufurahia matunda ya dhamira na nia njema ya Rais Dr.Samia Suluhu Hassan katika kuulinda umoja wetu, na kwa gharama yoyote ile kuitunza amani na utangamano miongoni mwa waTanzania.🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Sijui hii nchi kama watu hawapendi kutumia akili zao au hawana akili kabisa?!
 
mihemko na makasiriko dhidi ya ukweli ni utumwa mbaya sana aise tena wa kiwango cha kishirikina.

hata hivyo,
amani na umoja wa waTanzania ulalindwa kwa gharama na nguvu zote chini ya utawala wa serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan 🐒
Nimekuuliza swali ni bora ujibu swali kabla ya judgement ya kukwepa uhalisia.
Narudia una uhakika macho, masikio na akili zako vinafanya kazi sawa sawa?. Hayo ya mihemko na asira sijui nini ni kuprove uwezo wako ulivyo.
 
Kwahiyo utekaji wenu usio wa drama ni ule uliochukua Maisha ya Mzee Kibao? Kwamba na yeye ilikua drama
Narudia kusema tena acheni kutengeneza Matukio kwa lengo la kuleta taharuki na kuchafua Taswira nzuri ya Nchi yetu. Halafu zote ulizokuwa umenitag jana na juzi nilikuwa nimeziona ila nakuwa nimetingwa na mambo ya shambani .kwa hiyo nakosa muda mzuri wa kutulia na kujibu kwa utulivu.Si unajuwa sisi wakulima ndio muda wetu wakulima huu ili huko mjini mpate chakula na msije kufa kwa njaa kwenye vibaraza vya majirani mnakoshinda mnapiga umbeya😀😀.
 
Kwahiyo utekaji wenu usio wa drama ni ule uliochukua Maisha ya Mzee Kibao? Kwamba na yeye ilikua drama
epuka tamaa, dhuluma na kiburi..

chairman wenu alishaga onya,
usithubutu kuonja sumu kwa ulimi hamsikii. haya, endeleeni kuchezea sharubu zake mtasingizia kila kitu mpaka vishe nanyi muishe 🐒
 
Uimara na umadhubuti wa CCM, chini ya mwenyekiti wa chama na mkuu wa nchi mwanamke ndiyo hasa msingi mkuu wa amani, umoja na mshikamano miongoni mwa waTanzania.

CCM ndicho chama kilichobeba hatma, matumaini na mustakabali mwema, wa uhakika na salama wa umoja, amani na utulivu wa waTanzania.

Kukubalika na kuaminika kwa sera na mipango mikakati yake ya maendeleo, kumewaunganisha waTanzania, kuwaleta pamoja na kua kitu kimoja.

Ama kwa hakika bila CCM madhubuti, nchi itayumba.
Nia na dhamira njema za viongozi waandamizi wa chama na serikali, hasa kiongozi mkuu wa nchi Dr.Samia Suluhu Hassan, vimeendelea kuliunganisha taifa, kuifungua nchi miongoni mwa mataifa ya ulimwengu na kuifanya Tanzania madhubuti zaidi, inayoaminika na kuheshimika ndani na nje ya mipaka ya Tanzania kwa kiwango cha juu sana.

Tunapoelekea uchaguzi mkuu 2025, ni muhimu sana wananchi wote, kufahamu na kuelewa kwamba, ushindi wa kishindo wa CCM, ni ushindi wa wananchi na waTanzania wote, dhidi ya vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, wenye nia ovu binafsi za kutugawanya kwa maslahi yao binafsi.

Kama Taifa inafaa kuungana,
na tuendelee kuiamini CCM na kuipa nafasi zaidi ya kuongoza, ili hatimae tuendelee kufurahia matunda ya dhamira na nia njema ya Rais Dr.Samia Suluhu Hassan katika kuulinda umoja wetu, na kwa gharama yoyote ile kuitunza amani na utangamano miongoni mwa waTanzania.🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Kweli?
 
Uimara na umadhubuti wa CCM, chini ya mwenyekiti wa chama na mkuu wa nchi mwanamke ndiyo hasa msingi mkuu wa amani, umoja na mshikamano miongoni mwa waTanzania.

CCM ndicho chama kilichobeba hatma, matumaini na mustakabali mwema, wa uhakika na salama wa umoja, amani na utulivu wa waTanzania.

Kukubalika na kuaminika kwa sera na mipango mikakati yake ya maendeleo, kumewaunganisha waTanzania, kuwaleta pamoja na kua kitu kimoja.

Ama kwa hakika bila CCM madhubuti, nchi itayumba.
Nia na dhamira njema za viongozi waandamizi wa chama na serikali, hasa kiongozi mkuu wa nchi Dr.Samia Suluhu Hassan, vimeendelea kuliunganisha taifa, kuifungua nchi miongoni mwa mataifa ya ulimwengu na kuifanya Tanzania madhubuti zaidi, inayoaminika na kuheshimika ndani na nje ya mipaka ya Tanzania kwa kiwango cha juu sana.

Tunapoelekea uchaguzi mkuu 2025, ni muhimu sana wananchi wote, kufahamu na kuelewa kwamba, ushindi wa kishindo wa CCM, ni ushindi wa wananchi na waTanzania wote, dhidi ya vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, wenye nia ovu binafsi za kutugawanya kwa maslahi yao binafsi.

Kama Taifa inafaa kuungana,
na tuendelee kuiamini CCM na kuipa nafasi zaidi ya kuongoza, ili hatimae tuendelee kufurahia matunda ya dhamira na nia njema ya Rais Dr.Samia Suluhu Hassan katika kuulinda umoja wetu, na kwa gharama yoyote ile kuitunza amani na utangamano miongoni mwa waTanzania.🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Kijana kama wewe unamchango mdogo sana taifani.
images (2).jpeg
 
Nimekuuliza swali ni bora ujibu swali kabla ya judgement ya kukwepa uhalisia.
Narudia una uhakika macho, masikio na akili zako vinafanya kazi sawa sawa?. Hayo ya mihemko na asira sijui nini ni kuprove uwezo wako ulivyo.
uchaguzi wa kihistoria wa serikali za mitaa na ushindi wa kishindo kwa CCM ni ishara wazi kwamba,

CCM ni imara na dhamira yake katika kuiongoza Tanzania ni njema na wanainchi wote wanaimani na CCM pekee na si vinginevyo.

Na kwa hakika CCM imara imejipanga vizuri sana kwenye hilo 🐒
 
uchaguzi wa kihistoria wa serikali za mitaa na ushindi wa kishindo kwa CCM ni ishara wazi kwamba,

CCM ni imara na dhamira yake katika kuiongoza Tanzania ni njema na wanainchi wote wanaimani na CCM pekee na si vinginevyo.

Na kwa hakika CCM imara imejipanga vizuri sana kwenye hilo 🐒
Unaweza jibu swali langu na kuweka vioja pembeni?.
 
Back
Top Bottom