Chimbuko la amani na utulivu Tanzania ni uimara wa CCM

Chimbuko la amani na utulivu Tanzania ni uimara wa CCM

Unaweza jibu swali langu na kuweka vioja pembeni?.
waTanzania wanahitaji amani na usalama wa uhakika zaidi ya kitu kingine.

CCM imara imedhamiria kulitimiza hilo bila mbambamba yoyote 🐒
 
Uimara na umadhubuti wa CCM, chini ya mwenyekiti wa chama na mkuu wa nchi mwanamke ndiyo hasa msingi mkuu wa amani, umoja na mshikamano miongoni mwa waTanzania.

CCM ndicho chama kilichobeba hatma, matumaini na mustakabali mwema, wa uhakika na salama wa umoja, amani na utulivu wa waTanzania.

Kukubalika na kuaminika kwa sera na mipango mikakati yake ya maendeleo, kumewaunganisha waTanzania, kuwaleta pamoja na kua kitu kimoja.

Ama kwa hakika bila CCM madhubuti, nchi itayumba.
Nia na dhamira njema za viongozi waandamizi wa chama na serikali, hasa kiongozi mkuu wa nchi Dr.Samia Suluhu Hassan, vimeendelea kuliunganisha taifa, kuifungua nchi miongoni mwa mataifa ya ulimwengu na kuifanya Tanzania madhubuti zaidi, inayoaminika na kuheshimika ndani na nje ya mipaka ya Tanzania kwa kiwango cha juu sana.

Tunapoelekea uchaguzi mkuu 2025, ni muhimu sana wananchi wote, kufahamu na kuelewa kwamba, ushindi wa kishindo wa CCM, ni ushindi wa wananchi na waTanzania wote, dhidi ya vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, wenye nia ovu binafsi za kutugawanya kwa maslahi yao binafsi.

Kama Taifa inafaa kuungana,
na tuendelee kuiamini CCM na kuipa nafasi zaidi ya kuongoza, ili hatimae tuendelee kufurahia matunda ya dhamira na nia njema ya Rais Dr.Samia Suluhu Hassan katika kuulinda umoja wetu, na kwa gharama yoyote ile kuitunza amani na utangamano miongoni mwa waTanzania.🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Uimara au ujambazi? Tanzania hatuna amani
 
Uimara na umadhubuti wa CCM, chini ya mwenyekiti wa chama na mkuu wa nchi mwanamke ndiyo hasa msingi mkuu wa amani, umoja na mshikamano miongoni mwa waTanzania.

CCM ndicho chama kilichobeba hatma, matumaini na mustakabali mwema, wa uhakika na salama wa umoja, amani na utulivu wa waTanzania.

Kukubalika na kuaminika kwa sera na mipango mikakati yake ya maendeleo, kumewaunganisha waTanzania, kuwaleta pamoja na kua kitu kimoja.

Ama kwa hakika bila CCM madhubuti, nchi itayumba.
Nia na dhamira njema za viongozi waandamizi wa chama na serikali, hasa kiongozi mkuu wa nchi Dr.Samia Suluhu Hassan, vimeendelea kuliunganisha taifa, kuifungua nchi miongoni mwa mataifa ya ulimwengu na kuifanya Tanzania madhubuti zaidi, inayoaminika na kuheshimika ndani na nje ya mipaka ya Tanzania kwa kiwango cha juu sana.

Tunapoelekea uchaguzi mkuu 2025, ni muhimu sana wananchi wote, kufahamu na kuelewa kwamba, ushindi wa kishindo wa CCM, ni ushindi wa wananchi na waTanzania wote, dhidi ya vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, wenye nia ovu binafsi za kutugawanya kwa maslahi yao binafsi.

Kama Taifa inafaa kuungana,
na tuendelee kuiamini CCM na kuipa nafasi zaidi ya kuongoza, ili hatimae tuendelee kufurahia matunda ya dhamira na nia njema ya Rais Dr.Samia Suluhu Hassan katika kuulinda umoja wetu, na kwa gharama yoyote ile kuitunza amani na utangamano miongoni mwa waTanzania.🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Nathani ni ukimya wa watanzania na uvumilivu wao. Siku watanzania wakichoka na mambo ya ovyo yanayoendelea hata hayo mnaiba mtayakimbia na kuyaacha. Wewe bwabwaja tu hapo ukidhani haya yataendelea milele.
 
Nafikiria swala la amani ni jambo la kihistoria zaidi.kama Kila siku watu wanatekwa ni amani ipi unayoizungumzia mkuu?
Nazungumzia amani katika ujumla wake.

sio kwa tamaa zako ufumaniwe ukistareheka na mkwe wa mtu huko, upigwe ngeu za kichwa halafu uje useme sijui eti amani imefanya.

Na for your,
information amani ya waTanzania italindwa kwa nguvu zote na gharama yoyote ile bila mbambamba ya mtu au watu wowote wale 🐒
 
Uimara au ujambazi? Tanzania hatuna amani
wewe pekee ndio huna amani kwasabb vikoba na kausha damu wanakudai mikopo Kibao ulokopa.

But waTanzania wote katika umoja na ujumla wao wataendelea kuinjoy amani na utulivu ambao daima utalindwa kwa nguvu na gharama yoyote ile.

Maliza madeni binafsi upate amani sawa sawa na waTanzania wachapakazi wengine 🐒
 
Nathani ni ukimya wa watanzania na uvumilivu wao. Siku watanzania wakichoka na mambo ya ovyo yanayoendelea hata hayo mnaiba mtayakimbia na kuyaacha. Wewe bwabwaja tu hapo ukidhani haya yataendelea milele.
mkimya ni wewe pekee yako gentleman.
Na for your information, uoga wako ndiyo umasikini wako.

Nov 27,
waTanzania wote walipaza sauti na kuamua kuchagua viongozi wa serikali za mitaa na vijiji wa CCM.

Hiyo sio sauti ya waTanzania gentleman? ukimya uko wapi hapo?

CCM itaendelea kuongoza nchi na kulinda amani kwa maslahi mapana ya waTanzania wote 🐒
 
kwa Neema na Baraka za Mungu tutaendelea kueleza ukweli kila tunapopata nafasi, licha ya upinzani dhaifu dhidi ya ukweli huo.

zaidi sana tutaendelea kuwaombea wapinzani waliopoteza uelekeo na ambao hawaelewani nchini, ili wawe kitu kimoja.

hata hivyo,
serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi na kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan itaendelea kuwekeza katika Amani na Utulivu wa waTanzania, ili hatimae wananchi wote waweze kufanya kazi na majukumu yao kisiasa, kijamii na kiuchumi kwa usalama wa uhakika 🐒
Jinga sn wewe
 
sasa wewe mjanja na huna pwainti halafu una mbwelambwela tu humu jukwaani, dah! :pedroP:
Shetani wewe unaua kizazi chako sababu ya tamaa, wewe kuongozwa na mzanzibar inakusaidia nini? nenda kule kama utakuwa hata Mwenyekiti wa mtaa. Shituka mjinga wewe
 
sasa wewe mama Ima,
na BAWACHA kwa ujumla, mna akili kweli zaidi ya kuchoma vitenge tu?

nje ya hapo nyinyi ni useles na nonsense kabisa aise dah!:pulpTRAVOLTA:
UWT mmeambiwa mjiunge kwenye vikundi mikopo inaanza kutoka January mlifanya kazi kubwa sn kwenye kampeni za SM
 
Shetani wewe unaua kizazi chako sababu ya tamaa, wewe kuongozwa na mzanzibar inakusaidia nini? nenda kule kama utakuwa hata Mwenyekiti wa mtaa. Shituka mjinga wewe
yaani ukweli umesababisha upate mawenge dah :pedroP:

nazungumzia wajibu wa CCM imara kwa mustakabali wa amani kwa waTanzania wote na si vinginevyo,

mimi ni mTanzania kamili,
masuala ya kibaguzi muyafanye huko huko kwenye chama chenu chenye uhasama na migawanyiko sijui ya kikaskazini na wapi huko.

Serikali sikivu ya ccm inawajibika kulinda na kudumisha amani na utulivu wa waTanzania wote na sio huo ushirikina uanpojaribu kuuleta hapa:pulpTRAVOLTA:
 
yaani ukweli umesababisha upate mawenge dah :pedroP:

nazungumzia wajibu wa CCM imara kwa mustakabali wa amani kwa waTanzania wote na si vinginevyo,

mimi ni mTanzania kamili,
masuala ya kibaguzi muyafanye huko huko kwenye chama chenu chenye uhasama na migawanyiko sijui ya kikaskazini na wapi huko.

Serikali sikivu ya ccm inawajibika kulinda na kudumisha amani na utulivu wa waTanzania wote na sio huo ushirikina uanpojaribu kuuleta hapa:pulpTRAVOLTA:
Jinga wewe, nenda Zanzibar kama utapewa hata kitambulisho cha mkazi
 
Uimara na umadhubuti wa CCM, chini ya mwenyekiti wa chama na mkuu wa nchi mwanamke ndiyo hasa msingi mkuu wa amani, umoja na mshikamano miongoni mwa waTanzania.

CCM ndicho chama kilichobeba hatma, matumaini na mustakabali mwema, wa uhakika na salama wa umoja, amani na utulivu wa waTanzania.

Kukubalika na kuaminika kwa sera na mipango mikakati yake ya maendeleo, kumewaunganisha waTanzania, kuwaleta pamoja na kua kitu kimoja.

Ama kwa hakika bila CCM madhubuti, nchi itayumba.
Nia na dhamira njema za viongozi waandamizi wa chama na serikali, hasa kiongozi mkuu wa nchi Dr.Samia Suluhu Hassan, vimeendelea kuliunganisha taifa, kuifungua nchi miongoni mwa mataifa ya ulimwengu na kuifanya Tanzania madhubuti zaidi, inayoaminika na kuheshimika ndani na nje ya mipaka ya Tanzania kwa kiwango cha juu sana.

Tunapoelekea uchaguzi mkuu 2025, ni muhimu sana wananchi wote, kufahamu na kuelewa kwamba, ushindi wa kishindo wa CCM, ni ushindi wa wananchi na waTanzania wote, dhidi ya vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, wenye nia ovu binafsi za kutugawanya kwa maslahi yao binafsi.

Kama Taifa inafaa kuungana,
na tuendelee kuiamini CCM na kuipa nafasi zaidi ya kuongoza, ili hatimae tuendelee kufurahia matunda ya dhamira na nia njema ya Rais Dr.Samia Suluhu Hassan katika kuulinda umoja wetu, na kwa gharama yoyote ile kuitunza amani na utangamano miongoni mwa waTanzania.🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Trash
 
UWT mmeambiwa mjiunge kwenye vikundi mikopo inaanza kutoka January mlifanya kazi kubwa sn kwenye kampeni za SM
BAWACHA mnakaa kama kamati kuu wiki nzima, na mnakuja kutoka na uamuzi wa kuchoma vitenge tu.

hivi mna akili kweli mama Ima na wenzako?

wiki nzima mnajadili kuchoma vitenge kweli? :pedroP:
 
BAWACHA mnakaa kama kamati kuu wiki nzima, na mnakuja kutoka na uamuzi wa kuchoma vitenge tu.

hivi mna akili kweli mama Ima na wenzako?

wiki nzima mnajadili kuchoma vitenge kweli? :pedroP:
UWT sahivi mnalipa madeni bila kudaiwa asee naona maza alimwaga pesa haswa
 
Back
Top Bottom