Chimbuko la amani na utulivu Tanzania ni uimara wa CCM

Unaweza jibu swali langu na kuweka vioja pembeni?.
waTanzania wanahitaji amani na usalama wa uhakika zaidi ya kitu kingine.

CCM imara imedhamiria kulitimiza hilo bila mbambamba yoyote πŸ’
 
Uimara au ujambazi? Tanzania hatuna amani
 
Nathani ni ukimya wa watanzania na uvumilivu wao. Siku watanzania wakichoka na mambo ya ovyo yanayoendelea hata hayo mnaiba mtayakimbia na kuyaacha. Wewe bwabwaja tu hapo ukidhani haya yataendelea milele.
 
Nafikiria swala la amani ni jambo la kihistoria zaidi.kama Kila siku watu wanatekwa ni amani ipi unayoizungumzia mkuu?
Nazungumzia amani katika ujumla wake.

sio kwa tamaa zako ufumaniwe ukistareheka na mkwe wa mtu huko, upigwe ngeu za kichwa halafu uje useme sijui eti amani imefanya.

Na for your,
information amani ya waTanzania italindwa kwa nguvu zote na gharama yoyote ile bila mbambamba ya mtu au watu wowote wale πŸ’
 
Uimara au ujambazi? Tanzania hatuna amani
wewe pekee ndio huna amani kwasabb vikoba na kausha damu wanakudai mikopo Kibao ulokopa.

But waTanzania wote katika umoja na ujumla wao wataendelea kuinjoy amani na utulivu ambao daima utalindwa kwa nguvu na gharama yoyote ile.

Maliza madeni binafsi upate amani sawa sawa na waTanzania wachapakazi wengine πŸ’
 
Nathani ni ukimya wa watanzania na uvumilivu wao. Siku watanzania wakichoka na mambo ya ovyo yanayoendelea hata hayo mnaiba mtayakimbia na kuyaacha. Wewe bwabwaja tu hapo ukidhani haya yataendelea milele.
mkimya ni wewe pekee yako gentleman.
Na for your information, uoga wako ndiyo umasikini wako.

Nov 27,
waTanzania wote walipaza sauti na kuamua kuchagua viongozi wa serikali za mitaa na vijiji wa CCM.

Hiyo sio sauti ya waTanzania gentleman? ukimya uko wapi hapo?

CCM itaendelea kuongoza nchi na kulinda amani kwa maslahi mapana ya waTanzania wote πŸ’
 
Jinga sn wewe
 
sasa wewe mjanja na huna pwainti halafu una mbwelambwela tu humu jukwaani, dah!
Shetani wewe unaua kizazi chako sababu ya tamaa, wewe kuongozwa na mzanzibar inakusaidia nini? nenda kule kama utakuwa hata Mwenyekiti wa mtaa. Shituka mjinga wewe
 
sasa wewe mama Ima,
na BAWACHA kwa ujumla, mna akili kweli zaidi ya kuchoma vitenge tu?

nje ya hapo nyinyi ni useles na nonsense kabisa aise dah!
UWT mmeambiwa mjiunge kwenye vikundi mikopo inaanza kutoka January mlifanya kazi kubwa sn kwenye kampeni za SM
 
Shetani wewe unaua kizazi chako sababu ya tamaa, wewe kuongozwa na mzanzibar inakusaidia nini? nenda kule kama utakuwa hata Mwenyekiti wa mtaa. Shituka mjinga wewe
yaani ukweli umesababisha upate mawenge dah

nazungumzia wajibu wa CCM imara kwa mustakabali wa amani kwa waTanzania wote na si vinginevyo,

mimi ni mTanzania kamili,
masuala ya kibaguzi muyafanye huko huko kwenye chama chenu chenye uhasama na migawanyiko sijui ya kikaskazini na wapi huko.

Serikali sikivu ya ccm inawajibika kulinda na kudumisha amani na utulivu wa waTanzania wote na sio huo ushirikina uanpojaribu kuuleta hapa
 
Jinga wewe, nenda Zanzibar kama utapewa hata kitambulisho cha mkazi
 
Trash
 
UWT mmeambiwa mjiunge kwenye vikundi mikopo inaanza kutoka January mlifanya kazi kubwa sn kwenye kampeni za SM
BAWACHA mnakaa kama kamati kuu wiki nzima, na mnakuja kutoka na uamuzi wa kuchoma vitenge tu.

hivi mna akili kweli mama Ima na wenzako?

wiki nzima mnajadili kuchoma vitenge kweli?
 
BAWACHA mnakaa kama kamati kuu wiki nzima, na mnakuja kutoka na uamuzi wa kuchoma vitenge tu.

hivi mna akili kweli mama Ima na wenzako?

wiki nzima mnajadili kuchoma vitenge kweli?
UWT sahivi mnalipa madeni bila kudaiwa asee naona maza alimwaga pesa haswa
 
Jinga wewe, nenda Zanzibar kama utapewa hata kitambulisho cha mkazi
niende zanzibar halafu wananchi hapa jimboni nimuachie nani?

zanzibar nakwenda kutembelea ndugu jamaa na marafiki zangu,

hata hivyo kijana wangu ni mkazi wa huko na huku jimboni ana mji wake pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…