baada ya kuchoma vitenge,UWT sahivi mnalipa madeni bila kudaiwa asee naona maza alimwaga pesa haswa
Mbona wewe huna akili mpaka unashindwa kutofautisha jinsia za watu na kuona watu wote ni Wanawake kama wewe.UWT hamnaga akili nyie
Sawa CHAWA, kapokee mgao wako.mkimya ni wewe pekee yako gentleman.
Na for your information, uoga wako ndiyo umasikini wako.
Nov 27,
waTanzania wote walipaza sauti na kuamua kuchagua viongozi wa serikali za mitaa na vijiji wa CCM.
Hiyo sio sauti ya waTanzania gentleman? ukimya uko wapi hapo?
CCM itaendelea kuongoza nchi na kulinda amani kwa maslahi mapana ya waTanzania wote 🐒
Unashinda kwa uongo? Unajua kinachoendelea msumbiji muda huu?Gentleman,
dhumuni la chama cha siasa ni kushinda uchaguzi, kushika dola, kuunda serikali na kuongoza nchi..
Chimbuko la uimara wa vyombo vya ulinzi na usalama nchini ni kutokana na umadhubuti na uimara wa CCM chini ya Rais Dr Samia Suluhu Hassan 🐒
kua muungwana gentleman,Unashinda kwa uongo? Unajua kinachoendelea msumbiji muda huu?
Wewe endelea kujitekenya na kucheka mwenyewe
Fuatilia kinachoendelea huko acha kuropoka kama chizi aliyeona jalala jipya.kua muungwana gentleman,
unaenjoy amani kwa gharama ya CCM.
Msumbiji hali ni shwari kwa sasa, baada ya ccm kuingilia kati na kuwaweka sawa wenye tofauti zao kisiasa.
hakuna gumu kwa ccm hasa kuhusu amani
kama chama kimewajibika ipasavyo tayari,Fuatilia kinachoendelea huko acha kuropoka kama chizi aliyeona jalala jipya.