Naunga mkono hoja alafu inakuwaje nyayo ya miaka iyo iwepo wakati mimi nikikanyaga upepo tu unafuta achana !!! Tofauti na iyo mvuaimekaa vibaya!, imekalia tackle Moja hiyo, haijatulia..Kuhusu calenda achana nayo wewe anza kuhesabu pale tu ulipozaliwa mpaka sasa mengine yatakuzidi kimo mkuu, jali harakati zako achana na Historia, historia ni lwa ajili ya Mind Games
[emoji3][emoji3]sawa me boya okay, kati ya yesu na history ipi sasa inayozungumzia kweli?We boya huna akili na umeweka picha ya mwamba la chemia rais wangu bora mwenye msimamo...iko hivi miaka 2000 imeanza kuhesabiwa tangu yesu aje duniani..usinichoshe rudi shule
Historia inasema kuwa binadamu