eksielo
Member
- Mar 21, 2022
- 17
- 7
Historia inasema kuwa binadamu wa kwanza alianza kuonekana hapa Tanzania huko Arusha laitoria na kuna nyayo ambazo utafiti unaonesha ni miaka milioni 4 sasa tangu kuwepo kwa binadamu.
Lakini kalenda tuliyonayo kwasasa hesabu yake inasema ni miaka 2000, sasa je hii inakaaje?
Lakini kalenda tuliyonayo kwasasa hesabu yake inasema ni miaka 2000, sasa je hii inakaaje?