bizzle for shizzle
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 1,012
- 741
Mk*nd* buku ipo wapi mkuu mbona wantamanisha [emoji39]Kilichoipa umaarufu kwa mpalange ni uwepo wa malaya wa bei rahisi ni sawa na pale tandika mk*nd* buku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mk*nd* buku ipo wapi mkuu mbona wantamanisha [emoji39]Kilichoipa umaarufu kwa mpalange ni uwepo wa malaya wa bei rahisi ni sawa na pale tandika mk*nd* buku.
So mperange au morperangeInawezekana mbona yule wa Wikeliks anaitwa Julian Asange na Manchester utd Kuna beki anaitwa Harry Maguire kwa mswahili asingetamka/ Asanji/wala /Maghwaya/
Hapoyaaani mzungu anaitwa mpalange[emoji1787][emoji1787]
Tope Kama tope au...???Sifa kuu ya kwa mparange ilikuwa ni barabara za tope .
Watu wamehusisha tope ndo wakaja na usemi huo
Tope la mfinyanzi kama unaujua udongo huoTope Kama tope au...???
Huyo mpaka kusema hivyo,tayari neno 'kwa mpalange' walishalihusianisha na tendo kinyume Na maumbile.
Kuna dada video yake ilisambaa akisaidiwa na majirani kupelekwa hospitali baada ya jamaa (mpemba)kumfumua rinda kweli kweli.kuna sauti kwenye video hiyo ikasikika ikisema 'huku ndiyo buza Kwa mpalange Sasa'.baada ya hapo Sasa,utani ukaanza wa kuambiana nitakupeleka Kwa mpalange wakimaanisha tendo kinyume.na limeshaenea nchi nzima baada ya kusikika kwenye wimbo,ingawa wengine hawaelewi maana yake.
🤔Tope Kama tope au...???
Kama sio mzungu pori basi ni yule mzungu kichaayaaani mzungu anaitwa mpalange[emoji1787][emoji1787]
BUZAMpalange ni jina la wazungu wa wapi?
Mitaa flani ya tandika katikati ya foma na mangoMk*nd* buku ipo wapi mkuu mbona wantamanisha [emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kilichoipa umaarufu kwa mpalange ni uwepo wa malaya wa bei rahisi ni sawa na pale tandika mk*nd* buku.
Kwa mpalange ni jina la eneo lililotokana na mzee mmoja MWINYI enzi hizo alimiiki eneo kubwa Sana na alikuwa na watumishi wengi Sana, eneo hili limeoakana na miinuko miwili mmoja unaelekea mwanagati na mwingine buza na pia Kuna mto mkubwa, MTO MZINGA.Labda kwa sababu kuna bonde
🙏🙏🙏Kwa mpalange ni jina la eneo lililotokana na mzee mmoja MWINYI enzi hizo alimiiki eneo kubwa Sana na alikuwa na watumishi wengi Sana, eneo hili limeoakana na miinuko miwili mmoja unaelekea mwanagati na mwingine buza na pia Kuna mto mkubwa, MTO MZINGA.
Chanzo Cha kuharibiwa jina la eneo hili na wahuni ni baada ya tukio la jamaa kuuwawa na kuja kutupwa kando kando ya mto MZINGA eneo la kwa mpalange, Hy maiti iligundulika iliingiliwa kinyume na maumbile na kuharibiwa vibaya
Baada ya tukio hilo ikawa sehemu ya utani au watu wakikwazana kuambiana kuwa nitakupeleka kwa mpalange, wakimaanisha kuwa atamfanyia Kama alivyofanyiwa huyo jamaa aliyeuwawa na kutupwa hapo kwa mpalange. KWA MPALANGE ni jina tuu Kama vile sinza kwa remmy, kwa warioba, kwa Aziz Ally n.k Ila kumeharibiwa baada ya tukio Hilo la kutupwa maiti hapo.