Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,262
Kwa Mpalange
Ni neno maarufu sana nyakati hizi ukizingatia utandawazi umekuwa kwa kasi sana
Neno Kwampalange limekuwa likitafsiriwa kwa maana chanya na hasi
Kwa upande chanya Kwampalange ni sehemu ya
Buza ikiwa kama kata ya Wilaya ya Temeke katika Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania yenye postikodi namba 15125
Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ina wakazi wapatao zaidi ya 55,082 waishio humo.
Huku upande hasi likihusishwa na kitendo cha kufanya mapenzi haramu
Ukweli ni kuwa chimbuko la neno Kwampalange limetokana na mzungu aliyekuwa akiitwa Mpalange na alikuwa akiishi Buza miaka ya 1968 kurudi nyuma,
Mzungu huyo alikuwa akijishughulisha na kilimo kata ya Buza na mnamo mwaka 1968 alirudi kwao na kumuzia mzee mmoja eneo hilo 1968,
Mzee aliyenunua eneo hilo alikuwa akiishi Magomeni Mwembechai.
Article hii haijakamilika hivyo basi kama una taarifa zaidi kuhusu Kwampalange unaweza kutushirikisha"
Ni neno maarufu sana nyakati hizi ukizingatia utandawazi umekuwa kwa kasi sana
Neno Kwampalange limekuwa likitafsiriwa kwa maana chanya na hasi
Kwa upande chanya Kwampalange ni sehemu ya
Buza ikiwa kama kata ya Wilaya ya Temeke katika Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania yenye postikodi namba 15125
Kata ya Buza | |
| Nchi | Tanzania |
|---|---|
| Mkoa | Dar es Salaam |
| Wilaya | Temeke |
| Idadi ya wakazi | ∆55,082 |
| - |
Huku upande hasi likihusishwa na kitendo cha kufanya mapenzi haramu
Ukweli ni kuwa chimbuko la neno Kwampalange limetokana na mzungu aliyekuwa akiitwa Mpalange na alikuwa akiishi Buza miaka ya 1968 kurudi nyuma,
Mzungu huyo alikuwa akijishughulisha na kilimo kata ya Buza na mnamo mwaka 1968 alirudi kwao na kumuzia mzee mmoja eneo hilo 1968,
Mzee aliyenunua eneo hilo alikuwa akiishi Magomeni Mwembechai.
Article hii haijakamilika hivyo basi kama una taarifa zaidi kuhusu Kwampalange unaweza kutushirikisha"