Ndo ujirani mwema....Kinachonifurahisha siku kinapokuwepo kigodoro mtaani kwetu, ukisahau sufuria, ndoo, nguo au chochote nje ya nyumba ujue hukipati. Jamaa wanapekua kila kona ya nje ya nyumba. Wanachokutana nacho saizi yao. Asubuhi kila mtu analalama nimeibiwa hiki yule nimeibiwa kile. Ila issue zooote za wizi hakuna kwenda polisi posti, unatulia kimya!
Ahh, saaana mkuu, na ole wako usipotoka siku ya ngoma yako wanakususia!Ndo ujirani mwema....
Ndo maisha ya huku kwetu, tumeyazoea na tunasikia raha saaana!Mkuu swaga zako zinaonyesha ni Mswaz mwenzetu....
Chumvi hamuombani, sisi kwetu raha saaana, wakipika wali na nyama inabidi mlinde kivaranda mkijitusu makasau, wajomba wanabeba sufuria na chakulaSio km Uzunguni fensi km gereza ht hufurahii laifu
Mkuu unanivunja mbavu...halafu kuna paka sijui huwa wanatumwa,kuna siku nimetoka kupiga misele nikakuta homu kuna ndizi + samaki halafu kwetu ni nadra sn huu mnuso...sasa kuweka kibarazani ili ninawe si paka kajisevia yaan dk 1 tu dadeki..hadi leo namtAfuta nimnyongeChumvi hamuombani, sisi kwetu raha saaana, wakipika wali na nyama inabidi mlinde kivaranda mkijitusu makasau, wajomba wanabeba sufuria na chakula
Halafu mipaka yenyewe myeusiiii, ukimfukuza anakutolea macho kwanzaMkuu unanivunja mbavu...halafu kuna paka sijui huwa wanatumwa,kuna siku nimetoka kupiga misele nikakuta homu kuna ndizi + samaki halafu kwetu ni nadra sn huu mnuso...sasa kuweka kibarazani ili ninawe si paka kajisevia yaan dk 1 tu dadeki..hadi leo namtAfuta nimnyonge
Kumbe hao ni maarufu kwa kucheza kigodoro..Duh!! Hongera yaoWapi Mshana Jr...@rubi njooni tuweke kigodoro
Basi sawaaa.....Step to step mpaka uelewe...