Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Unanipotezea muda.
Kwisho habari Yako najua kwa nini huweki link , na najua unatamia uongo alikufundisha Allah kwamba ukibanwa kwenye dini Yako danganya , kama umeshindwa kuweka link ni wazi unaogopa ukweli kujilikana

Na kwahivyo tutabaki na link ya Jordan

Stupidity is amazing
 
Unanipotezea muda.
Issue nimesha maliza ila nina maswali ya ziada kwako
-Kwa nini unawatuhumu waislamu wenzako kuwa ni waongo
-Na kwa nini waislamu wanaweka tafsiri za uongo na dunia nzima inazisoma

Nimeweka link ya Jordan ambayo ni website inayoaminika dunia nzima na wewe umewatuhumu ni waongo jibu maswali hapo
 
Unachanganya kuhubiri na kuthibitisha.

Nimekuuliza kuhusu kuthibitisha, si kuhubiri.

Unaweza kuthibitisha Allah yupo kweli na kwamba habari za kuwapo kwake si kamba za watu tu?

Hujathibitisha hili.

Siku zote unapokutana na hoja za waislamu unakwama/feli mzee, unabaki kurudia yale yale wakati tayari ushapewa majibu yake. ,subiri ukifa utajua sasahivi pumzi inakuhadaa.

Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.” Qur’an, Familia ya Imran (Aal-i Imran); 19 (3: 19)
 
Alie ongea (Koran 3:19) hayo maneno ni nani? Ni Muhammad , Jibril au Allah
 
Poa.
 
Poa.
 
Aisee!
 
Uislamu ni ku submit, ukisha submit huna hoja.

Utaletaje hoja kwenye dini ya ku submit?

Quran imesema Allah kawatia uzito wa moyo waja wake, kawafumba macho na masikio wasimjue.

Halafu atawapa hukumu kubwa sana, kwa sababu hawakumjua.

Hapo hapo unaambiwa Allah ni mwingi wa rehema na huruma.

Yani baba anakataza wanawe kwenda shule kujifunza kusoma, anawafungia ndani, anawazuia kujifunza.

Halafu anawaadhibu vibaya sana, kwa kuwa hawajui kusoma.

Huyo Allah yupo kweli jamani?

Au mnamzusha tu?
 
Ogopa sana dini inayosema jino kwa jino Allah ukimkosea ni jino kwa jino ,allah yeye hawez kujipambania mpaka atume watu wajitoe muhanga,ukishaona kitu kinatetewa kwa nguvu namna hii lazima uwe na maswali

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Walikuwa wana zaa pacha wa kike na kiume. Kisha kaka wa pacha wa kwanza anamuoa dada wa pacha wa pili.
Hilo haliwezi kuwa sababu ya kuhalalisha mahusiano ya ndugu kwa ndugu kwasababu Mungu ni muweza wa yote hivyo alikuwa anaweza kuwaumba binadamu wengi wa jinsia mbili mbili tofauti kwa wakati mmoja ili kuepuka mahusiano ya ndugu kwa ndugu.
 
Hilo haliwezi kuwa sababu ya kuhalalisha mahusiano ya ndugu kwa ndugu kwasababu Mungu ni muweza wa yote hivyo alikuwa anaweza kuwaumba binadamu wengi wa jinsia mbili mbili tofauti kwa wakati mmoja ili kuepuka mahusiano ya ndugu kwa ndugu.
Unahoji mambo kitoto sana. Kama unajua Mola ni muweza wa yote kwanini ukatae kama hii haikuwa sababu ?

Katika utaratibu alio uweka kwa wao ni kuwa watazaliwa mapacha na atawaoza kwa ndugu zao,na angetaka kuwa kinyume chake angefanya,sababu akitaka jambo kuwa linakuwa.
 
Mwenyezi Mungu
  • Mwenyezi Mungu anaongea alafu anasema dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu, Je huyu Mwenyezi Mungu alijasahau kwamba Yeye ndio Mwenyezi Mungu au? swali lipo bado haya ni maneno ya nani? kwa nini hajaseama mbele yangu au ishara zangu?
    • 3:19 Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.”
 
Hapa unafundishwa jinsi muhammad alivyouzindua uislam,halafu unasema uislam umekuwepo tokea adam?kwa hiyo Mohammad alikuwepo kabla ya Adam?tulia,soma,elewa.
Hata kalenda zenyewe za Kiislam zinaonesha uislamu hauna hata miaka 1500 halafu mwarabu wa Mwitongo anakuja kutudanganya kwamba eti uislamu ulikuwepo tokea enzi za kina Adam, tusidanganyane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…