Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Ukipata kitabu kinachoelezea chimbuko na evolution za imani na dini za kiafrika kichambue pia

Inaboa kuchambua na kujadili imani za kigeni kila siku
Afrika hakuwez kuwa na dini au asili ya imani sababu hamkuwa na utaratibu wa kurekodi matukio kwenye maandishi,wala hakuna formula kila mtu na lake. Ndio maana tunasema mila za kiafrika ni za uongo tu.

Wenye Mungu wamefanikiwa kurekodi ili kufundisha vizazi vijavyo
 
So, ni sahihi kuwa walienda Madina mwaka 623. Au sijaelewa hoja yako. [emoji848]
Mkuu Muhammad(s.a.w) sahihi alienda madina mwaka 623.
Ila kabla ya kuhama Muhammad alishaacha kusali mara 2 na kupewa sala 5 .Hii ni baada ya kisa cha ISRAA na MIRAJI ambacho kilitokea October 621 hapo ndipo alipopewa swala 5. (Muhammad hakusali sala 3).
Nahicho kisa cha Israa na Miraji kilianzia ktk Masjid Haraam (Makkah) to Baytul Maqdis(Masjidi Aqswaa) Parestina ktk Mwaka 621
 
Kwa sasa naishia hapa. Ila bado nasoma vitabu vya huyu mama. Hiki cha History of God kimezungumza dini za Uislam, Ukristo na Uyahudi, so naendelea nacho ambapo kinagusa maeneo mengine nje ya Uislam. Baadae nitasoma vitabu vyake viwili ambacho kimoja kimemzungumzia Muhamad na Kingine kimeuelezea Uislam exclusively. So napo nitadonoa mawili matatu nitakayoona yanafaa nitayaweka hapa.
Ww jamaa ni muhimu sana hapa Tanzania. Nimejifunza mengi sana, asante
 
So, ni sahihi kuwa walienda Madina mwaka 623. Au sijaelewa hoja yako.
emoji848.png
Hoja ni kwamba wameanza kusali swala tano tangu 621 kabla hawajaenda Medina 623 tofauti na maelezo uliyowasilisha yaliyosema walisali mara tatu kwa kuiga/kukubalika kutoka kwa wayahudi wa madina
 
Mkuu Muhammad(s.a.w) sahihi alienda madina mwaka 623.
Ila kabla ya kuhama Muhammad alishaacha kusali mara 2 na kupewa sala 5 .Hii ni baada ya kisa cha ISRAA na MIRAJI ambacho kilitokea October 621 hapo ndipo alipopewa swala 5. (Muhammad hakusali sala 3).
Nahicho kisa cha Israa na Miraji kilianzia ktk Masjid Haraam (Makkah) to Baytul Maqdis(Masjidi Aqswaa) Parestina ktk Mwaka 621
Tupe basi kisa kwanini Aqsa?
 
Tuanze polepole.

Hoja yangu ya msingi ni kwamba, mtu anaweza kujua jibu fulani si sahihi, kwa sababu lina contradict basic principle, bila hata ya kujua jibu sahihi ni lipi.

Unakubaliana na hoja hii au unaipinga?
Hoja hii naipinga sababu kuna kitu umeacha na kuna kitu umekiweka ambacho kinavunja msingi wa hoja yako.

Unapoweka tamko "...,kwa sababu lna cntradict basic principle". Hii kauli inazua maswali ya kabla na baada kwa huyo muhusika. Swali la kwanza linalo zuka ni je mtu huyo anakuwa anazijua hizo "basic principle" ?

Kwa maana rahisi ni kuwa mfano wako ulio utoa unamtaka mtu sharti ajue kwanza na si kinyume chake.
 
Uislam una misingi (nguzo) je unao ushahidi wa kimatendo aliyoyafanya Adam kutimiza nguzo zote tano za uislam?
Uislamu umegawanyika sehemu mbili. Uislamu wa ujumla ndiyo huo walio kuwa nao mitume na manabii na Adamu na Uislamu maalumu alio kuja nao mtume.
 
Hoja hii naipinga sababu kuna kitu umeacha na kuna kitu umekiweka ambacho kinavunja msingi wa hoja yako.

Unapoweka tamko "...,kwa sababu lna cntradict basic principle". Hii kauli inazua maswali ya kabla na baada kwa huyo muhusika. Swali la kwanza linalo zuka ni je mtu huyo anakuwa anazijua hizo "basic principle" ?

Kwa maana rahisi ni kuwa mfano wako ulio utoa unamtaka mtu sharti ajue kwanza na si kinyume chake.
Ajue kwanza nini?
 
Wingi huo ni wingi wa kufadhilisha,katika lugha hili lipo sana na si wingi wa kiidadi. Hapo ni Allah pekee.
  • Naona ulinikimbia upo huku, umesema ni Allah pekee anapotumia wingi
  • Katika korana tunaona Allah kasema akitaka mke atamchukua from us , je yeye ni Hermaphrodite
  • Kama yeye sio Hermaphrodite (Intersex) hiyo US ni kina nani?
    • Koran ( 21:17) " Had We intended to take a pastime (i.e. a wife or a son, etc.), We could surely have taken it from Us.....
 
Kiarabu kinaweza kuwa ngumu kwako kueleweka, labda nikueleweshe kupitia kifaransa, neno "Vous" linapotumika huwa na maana ya wewe (umoja) au ninyi, lkn kwenye umoja si kwamba linatumika kwa kila mtu, la hasha. Ikiwa mtu unamheshimu, utatumia " Vous " yaani wewe ninayekuheshimu yaani mtu mwenye cheo, lkn akiwa mtu wa kawaida unasema 'tu '

Kwenye English language, "You " pia humaanisha wewe au nyinyi, je ni wakati gani na mazingira wasomi wa English wapo wengi wataeleza.



Kwa hiyo kwenye kiarabu litumikapo neno نحن "sisi " kwenye nafsi ya umoja humaanisha utukufu au cheo,

Wasio jua huwa wanaingia mzima mzima eti wakiona ni hoja yenye kusupport imani ya Mungu zaid ya mmoja.La hasha sivyo.

Magwiji huwa wanawacheka wakiwaona kama ni wenye upungufu wa elimu.
  • Katika korana tunaona Allah kasema akitaka mke atamchukua from us , je yeye ni Hermaphrodite
  • Kama yeye sio Hermaphrodite (Intersex) hiyo US ni kina nani?
    • Koran ( 21:17) " Had We intended to take a pastime (i.e. a wife or a son, etc.), We could surely have taken it from Us.....
 
Kama hujui square root ya 2 unaweza kusema kwamba square root ya 2 si 10?

Logical non sequitur.

Ila wee jamaa na kiinglishi chako bwana, mtu akishajua kuongea kiingereza anataka aonekane kwa kila mtu anajua, na hii kitu zaidi nimeiona kwa waswahili, anaongea kiswahili anatia na neno la kiingereza 🤣 ila wachache tu hawajionyeshi

Kwa taarifa yako tu, elimu yako ya kidunia/Secular haitakusaidia chochote baada ya kufa kwako, kaa ukijua hilo!
 
Ila wee jamaa na kiinglishi chako bwana, mtu akishajua kuongea kiingereza anataka aonekane kwa kila mtu anajua, na hii kitu zaidi nimeiona kwa waswahili, anaongea kiswahili anatia na neno la kiingereza [emoji1787] ila wachache tu hawajionyeshi

Kwa taarifa yako tu, elimu yako ya kidunia/Secular haitakusaidia chochote baada ya kufa kwako, kaa ukijua hilo!
Wewe una inferiority complex.

Pia una utashi mdogo. Kuna watu wanafurahia kujua maneno mapya na kujenga msamiati wa Kiingereza kupitia kwangu.

Kiingereza kikutatize wewe, lawama unipe mimi?

Nani kakwambia nataka kusaidiwa baada ya kufa?
 
Uislamu umegawanyika sehemu mbili. Uislamu wa ujumla ndiyo huo walio kuwa nao mitume na manabii na Adamu na Uislamu maalumu alio kuja nao mtume.
Kwa kuzingatia jibu lako ni wazi uislam wa Adam na uislam wa Muhammad ni aina mbili tofauti wa uislam.

Kwanini uislam wa ujumla uwe na msingi, sheria na taratibu tofauti na uislam maalumu aliokuja nao Muhammad ili hali sifa ya Mungu ni kuwa na uwezo mkubwa wa kupanga na kujua ya mbele. Alisahau nini kupanga kila kitu katika umma wa kipindi cha hapo kabla?
 
Sababu hiyo ni maana ya Uislamu. Yaani kumnyenyekea na kumtii Allah kwa kumuabudu.
Hapa kuna mambo mawili

Moja ni kwamba swala la unyenyekevu na utii ni swala la kila binadamu aliyejawa imani ya Mungu wake ( anayemuabudu)
Je ukiachana na Quran, ni rejea ipi ama ni kuna uthibitisho gani unaothibitisha kuwa Adam alinyenyekea kwa Allah?

2) je kuabudu kwa Adam mbele ya Allah ilihusisha matendo ya namna gani ambayo alithibitisha kuwa aabudie ni Allah?

3) Allah anatofautiana vipi na miungu mingine?
 
Naona ulinikimbia upo huku, umesema ni Allah pekee anapotumia wingi

Nimecheka sana,huna huna hoja ya kunifanya nikimbie kama ningekuwa nakimbia hoja.

Sijawahi kukimbia katika hoja. Nikumbushe nilikukimbia wapi na ilikuwa lini ?
Katika korana tunaona Allah kasema akitaka mke atamchukua from us , je yeye ni Hermaphrodite
Korana ndiyo nini ? Pili amesema wapi haya na Mtume hiyo aya ameifasiri na maswahaba waliielewa vipi hiyo aya ?
Kama yeye sio Hermaphrodite (Intersex) hiyo US ni kina nani?
  • Koran ( 21:17) " Had We intended to take a pastime (i.e. a wife or a son, etc.), We could surely have taken it from Us.....
Kwa huu ujinga ambao tunawaambia kila siku ndiyo una dai umekimbiwa,yawezekana hujui maana ya kukimbia.

Huo wingi ni maarufu sana na karibu kila lugha wingi huu unatumika,ni wingi wa kufadhilisha jambo kuonyesha upekee au ubora na utukufu,kama napoweza kusema "Kiatu hiki huvaa watu kama sisi" huku nafsi inayorejewa ni nafsi ya kwanza umoja.

Allah anasema :

16. Na hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyo baina yao kwa mchezo.

17. Kama tungeli taka kufanya mchezo tunge jifanyia Sisi wenyewe, lau kwamba tungeli kuwa ni wafanyao mchezo.

18. Bali tunaitupa kweli juu ya uwongo ikauvunja na mara ukatoweka. Na ole wenu kwa mnayo yazua. (al-Anbiyaa : 16 - 18)

Katika hiyo aya ya 17,hayo maneno yako uliyo yaweka katika mabano "...(i.e a wife or a son, etc)" . Haya umeyapata wapi na umejuaje kama huo mchezo unao kusudiwa hapo ni hayo uliyo yataja ?

Uwe na heshima kijana,wewe ni dhaifu kuliko nyumba ya bui bui,huwezi kukimbiwa.
 
Kwa kuzingatia jibu lako ni wazi uislam wa Adam na uislam wa Muhammad ni aina mbili tofauti wa uislam.
Siyo tu Adamu na Mtume,bali kwa manabii wote. Utoafuti ni katika sheria ila imani yao moja na ndiyo maana hakuna Mtume wala nabii wa kweli ambaye hakuwa Muislamu.

Mathalani sheria ya Adamu ilikuwa anawaoza watoto wake wa kiume kwa dada zao, yaani baba mmoja mama mmoja,sheria hii kwetu haipo na ni jambo la haramu ila kwa Adamu lilikuwa jambo linalo faa.
Kwanini uislam wa ujumla uwe na msingi, sheria na taratibu tofauti na uislam maalumu aliokuja nao Muhammad ili hali sifa ya Mungu ni kuwa na uwezo mkubwa wa kupanga na kujua ya mbele. Alisahau nini kupanga kila kitu katika umma wa kipindi cha hapo kabla?
Nani amekwambia Uislamu wa Muhammad hauna msingi na sheria ?

Allah ametakasika na udhaifu,bali Allah anatapanga mambo kulingana na haja na sababu na hekima. Ndiyo maana hafanyi kama tunavyotaka sisi,na ndiyo maana wewe leo hii uko hivyo ulivyo na angetaka kufanya kinyume angefanya.
 
Nimecheka sana,huna huna hoja ya kunifanya nikimbie kama ningekuwa nakimbia hoja.

Sijawahi kukimbia katika hoja. Nikumbushe nilikukimbia wapi na ilikuwa lini ?

Korana ndiyo nini ? Pili amesema wapi haya na Mtume hiyo aya ameifasiri na maswahaba waliielewa vipi hiyo aya ?

Kwa huu ujinga ambao tunawaambia kila siku ndiyo una dai umekimbiwa,yawezekana hujui maana ya kukimbia.

Huo wingi ni maarufu sana na karibu kila lugha wingi huu unatumika,ni wingi wa kufadhilisha jambo kuonyesha upekee au ubora na utukufu,kama napoweza kusema "Kiatu hiki huvaa watu kama sisi" huku nafsi inayorejewa ni nafsi ya kwanza umoja.

Allah anasema :

16. Na hatukuziumba mbingu na ardhi na vilivyo baina yao kwa mchezo.

17. Kama tungeli taka kufanya mchezo tunge jifanyia Sisi wenyewe, lau kwamba tungeli kuwa ni wafanyao mchezo.

18. Bali tunaitupa kweli juu ya uwongo ikauvunja na mara ukatoweka. Na ole wenu kwa mnayo yazua. (al-Anbiyaa : 16 - 18)

Katika hiyo aya ya 17,hayo maneno yako uliyo yaweka katika mabano "...(i.e a wife or a son, etc)" . Haya umeyapata wapi na umejuaje kama huo mchezo unao kusudiwa hapo ni hayo uliyo yataja ?

Uwe na heshima kijana,wewe ni dhaifu kuliko nyumba ya bui bui,huwezi kukimbiwa.
Unaweza kuthibitisha Allah yupo kweli na habari za kuwepo kwake si kamba za watu tu?
 
Back
Top Bottom