Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Unaweza kuthibitisha Allah yupo kweli na si kamba za watu tu?
Naona umeshaelewa,unarudi katika jambo ambalo nimeshalifanya zaidi ya mara moja humu.

Hili naweza na hapa nathbitisha :

32. Au hizo akili zao ndio zinawaamrisha haya, au wao basi ni watu majeuri tu?

33. Au ndio wanasema: Ameitunga hii! Bali basi tu hawaamini!

34. Basi nawalete masimulizi kama haya ikiwa wao wanasema kweli.

35. Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji?

36. Au wao wameziumba mbingu na ardhi? Bali hawana na yakini. (at-Turri : 32 - 36)

Nimethibitisha tayari. Naomba uthibitishe ya kuwa Allah hayupo,au uniambie tu umejuaje kama Allah hayupo ?

Pili,nina uhakika hujui ulicho kiuliza.
 
Unachanganya kuhubiri na kuthibitisha.

Nimekuuliza kuhusu kuthibitisha, si kuhubiri.

Unaweza kuthibitisha Allah yupo kweli na kwamba habari za kuwapo kwake si kamba za watu tu?

Hujathibitisha hili.
 
Wewe una inferiority complex.

Pia una utashi mdogo. Kuna watu wanafurahia kujua maneno mapya na kujenga msamiati wa Kiingereza kupitia kwangu.

Kiingereza kikutatize wewe, lawama unipe mimi?

Nani kakwambia nataka kusaidiwa baada ya kufa?

Sawa mkuu
 
Unachanganya kuhubiri na kuthibitisha.

Nimekuuliza kuhusu kuthibitisha, si kuhubiri.

Unaweza kuthibitisha Allah yupo kweli na kwamba habari za kuwapo kwake si kamba za watu tu?

Hujathibitisha hili.
Umesoma kwanza aya zinasema nini ? Unaujua uhalisia wa mambo ?

Nakushauri uwe unasoma ninachokiandika na utafakari. Ili uthibitishe ya kuwa hayo ni mahubiri kosoa kilicho andikwa humo kwa kuweka kilicho sahihi na kweli. Usikinbilie mahubiri. Hivi nikisema zinaa ni mbaya na kweli zinaa mbaya kisha nikaweka aya,hapa nahubiri au nathibitisha ?

Nimeshathibitisha tayari. Ili niwe sijathibitisha maana yake uonyeshe uongo wa nilicho kiweka hapo. Kinyume na hapo,utakuwa una matatizo ya akili.
 
Unachanganya kuhubiri na kuthibitisha.

Nimekuuliza kuhusu kuthibitisha, si kuhubiri.

Unaweza kuthibitisha Allah yupo kweli na kwamba habari za kuwapo kwake si kamba za watu tu?

Hujathibitisha hili.
 
Unachanganya kuhubiri na kuthibitisha.

Nimekuuliza kuhusu kuthibitisha, si kuhubiri.

Unaweza kuthibitisha Allah yupo kweli na kwamba habari za kuwapo kwake si kamba za watu tu?

Hujathibitisha hili.
Naona unaendelea kujichetua,maneno yako wazi sanya. Kosoa nilichokiandika mzee,usipoteze muda kwenye hakuna.
 
Naona unaendelea kujichetua,maneno yako wazi sanya. Kosoa nilichokiandika mzee,usipoteze muda kwenye hakuna.
Unachanganya kuhubiri na kuthibitisha.

Nimekuuliza kuhusu kuthibitisha, si kuhubiri.

Unaweza kuthibitisha Allah yupo kweli na kwamba habari za kuwapo kwake si kamba za watu tu?

Hujathibitisha hili.
 
  • Unapajua ulipo nikimbia
  • Turudi kwenye Hoja
  • Kama yeye sio Hermaphrodite (Intersex) hiyo US ni kina nani?
    • Koran ( 21:17) " Had We intended to take a pastime (i.e. a wife or a son, etc.), We could surely have taken it from Us.....
  • Maelezo ya scholar wa Kiislam (commentaries)
  • Al- Jalalaynyeye hajapinga wingi uliotumika na kusema ni Allah mwenyewe bali ametaja wingi huo kama ni Allah, Angels na Houris ,
    • Had We desired to find some diversion, that which provides diversion, in the way of a partner or a child, We would have found it with Ourselves, from among the beautiful-eyed houris or angels, were We to do [so].........
  • Ibn ‘Abbâs kasema Hajapinga wingi ila Kasema wingi huo ni Maidens wa Paradise
    • (If We had wished to find a pastime) if We wished to have daughters; and it is said that this means: if We wished to have a wife; and it is also said that this means: if We wished to have children, (We could have found it in Our presence) from Us from among the maidens of Paradise
  • Embu uwe unajaribu kujibu hoja sio kukimbilia maandiko kwamba yamekosewa, embu tuambie kati yako na All-Jalllayn na Ibn Abbas nani Muongo
  • Alafu kumbuka Muhammad alikimbizwa akajificha kwenye pango lililo kuwa na nyumba za buibui (ili naweka pending)
usije akapindisha ingia hapa
 
Haujaelewa nimekwambia hakukuwa na sheria, taratibu wala kanuni za kislam kwa kipindi cha hao unaowasema waislam wa kipindi cha Adam. Hivyo ni uislam wa aina mbili tofauti.
 
Jibu maswali niliyo kuuliza.

Unayo tafsiri ya Jalalayni hapo ulipo uniwekee huo ukurasa ?

Hivi hii aya unaisoma kwenye tafsiri gani maana naona unachokiandika na aya ni vitu viwili tofauti. Allah anaongelea kuhusu uumbaji hapo.
 
Haujaelewa nimekwambia hakukuwa na sheria, taratibu wala kanuni za kislam kwa kipindi cha hao unaowasema waislam wa kipindi cha Adam. Hivyo ni uislam wa aina mbili tofauti.
Kwa Adamu sheria ilikuwepo.
 

embu jitume kusoma acha kuuliza uliza
Kama kusoma hii ni kazi yangu na nitasoma mpaka pumzi yangu ya mwisho.

Niwekee kilichomo humo. Usiruke ruke.

Jibu swali langu na usome aya vizuri. Niambie huo mchezo wa kuwa ni mke,mtoto umeupata wapi katika maelezo ya hiyo aya ya 17 katika sura ya 21.
 
Akili umekalia au nimekuwekea umepinga , nimekuweka link bado unaweweseka ingia kasome tafsir ya Al- Jalalayn na ya Ibn ‘Abbâs

 
Mathalani sheria ya Adamu ilikuwa anawaoza watoto wake wa kiume kwa dada zao, yaani baba mmoja mama mmoja,sheria hii kwetu haipo na ni jambo la haramu ila kwa Adamu lilikuwa jambo linalo faa.
.

Hapa ndipo inakuja kuonesha moja ya udhaifu wa Allah.
Sifa ya Mungu ni kuwa mjuzi wa mambo kwa mapana na kuwa na weledi katika sheria na kanuni, sheria, taratibu zake na sio kuwa kigeugeu. Hili la kuruhusu wahusiano ya ndugu kwa ndigu na kisha kubadili gia baadae linamtoa Mungu kwenye sifa ya kuwa mjuzi kama ilivyo kwenye kutokuwepo sheria, taratibu na msingi ya uislam hapo kabla kabla ya ujio wa Muhammad vile vile linamtoa kwenye sifa ya kuwa mjuzi.
 
Mwalimu Barri alisema hiki...nakielewa sana mkuu
 
Ukipata kitabu kinachoelezea chimbuko na evolution za imani na dini za kiafrika kichambue pia

Inaboa kuchambua na kujadili imani za kigeni kila siku
Tuko pamoja mkuu.... sema wafia dini wanaposikia neno imani za kiafrika akili zao husema hz imani ni ni ushetani uchawi na ujinga
 
Akili umekalia au nimekuwekea umepinga , nimekuweka link bado unaweweseka ingia kasome tafsir ya Al- Jalalayn na ya Ibn ‘Abbâs

Hayo maneno hayapo katika Tafsiri ya asili,wewe niambie umeyatoa wapi.

Soma hiki kitabu,usilete ubabaishaji humu.
 
Hapo kwenye red, umeandika kuwa Kaaba ni eneo lililokuwa takatifu miaka mingi hata kabla ya Uislamu kuanza.
Naomba kujuzwa, utakatifu wa eneo hilo ulitokana na IMANI ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…