Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

kamuulize babu yako kabla hawajaja ao wahuni mliabudu vip??, kama hauna babu bas fanya research ktk kabila lako miaka ya nyuma mlkuwa mkiabudu nn?, usikalili kuwa kila mila za afrika zilkuwa kuabudu mizim, hiyo ni uongo na uongo mkubwa, maan tukisema tuzchunguze hata hizo dini zao ukrist&uislam miaka5000 bc nyuma uko utagundua asiri za dini hizo ni kutok ktk iman za iafrika sema tu wamebadl mitindo mingi na vitu vingi,,,utumwa umekwisha huna haja yakukumbatia ujinga tenaView attachment 1817858
Bora umemtoa tongotongo..
 
Amri kumi ziko wapi hapa, acha ujinga kijana next time usiandike kitu huna ushaidi nacho yani unataka ujibu kitu kwa kutumia imani za wengine
Usiwe unatajataja vitu kama Allah alafu hana uhakika , mfano hapo Allah kasame alimpa Musa wake torati ,ukimuuliza ipo wapi yeye Allah anakwambia sijui ilipo
Acha ujinga wewe!.Mtoto wa chekechea ufundisha kwa michoro kwa kuwa ndiyo anaanza kufundishwa vitu vipya.Mfano atapotajiwa jina MBWA mbele atawekewa mchoro/picha ya mnyama huyo mbwa.
Lakini mtoto wa darasa la saba anapotajiwa jina hilohilo MBWA mbele yake awekewi mchoro wa mnyama kwa sababu tayari alishamjua toka huko darasa la chekechea.

TORATI,ZABURI NA INJILI ni sawa na vitabu vya Shule za msingi,sekondari na high level.Lakini QUR'AN ni kitabu cha elimu ya juu (chuo kikuu).
Sasa ni mjinga pekee ndiye anaweza hoji eti aoneshwe amri 10 katika QUR'AN ili hali tayari amri hizo zilishawekwa kwenye vitabu vya nyuma huko na QUR'AN ilishavitaja kama rejea.

Alafu bila aibu unasema eti TORATI,ZABURI NA INJILI ni vitabu vya imani yako?Kiaje?.
 
Amri kumi ziko wapi hapa, acha ujinga kijana next time usiandike kitu huna ushaidi nacho yani unataka ujibu kitu kwa kutumia imani za wengine
Usiwe unatajataja vitu kama Allah alafu hana uhakika , mfano hapo Allah kasame alimpa Musa wake torati ,ukimuuliza ipo wapi yeye Allah anakwambia sijui ilipo
"mfano hapo Allah kasame alimpa Musa wake torati ,ukimuuliza ipo wapi yeye Allah anakwambia sijui ilipo"

Unaweza thibitisha dai lako hili?Thibitisha.
 
Koran huwa naitumia kama kituko flani, muhandishi wake alikuwa mjinga Sana , yani Kuna mda alikuwa anasahau kuhama kutoka 1st person kwenda kwenye 3rd person , kuna mda muhandishi ndio anakuwa Allah yani anatumia maneno ya utata kama may au labda, yani Allah anasema may god blessed you anajisahau yeye ndo anatakiwa kuwa god , yani is just a stupid book ambayo nimeweza ikariri yote kwa mda wa miezi mitatu tu
Mungu aliyeshindana mieleka na Yakobo na Mungu wako kushindwa! Huyo Mungu bakinae wewe mshikiwa akili.
 
Wewe wa kupigwa makofi,nani amekwambia kwenye Qur'aan kuna amri kumi ? Ndiyo maana nilikwambia unakurupuka na kuandika upuuzi.

Umetaka ushahidi na nimekuuliza swali hukumu ni sheria si sheria ? Umekimbia. Unapojadiliana na mimi,unatakiwa uwe unakijua unachokijadili.

Pili,Allah hakuna asichokijua,huu uongo mwingine. Allah hakuna kitabu kingine nje ya Qur'aan ambacho aliahidi kukilinda,ndiyo maana leo hii hakuna mwenye Torati,Injili wala Zaburi kama zilivyo shuka. Kwahiyo naona unaendelea kuzua uongo kama ilivyo ada yako.

Nyie mnao dai Injili,au Torati au Zaburi mpaka mnakufa hakuna mwenye nayo wala atakaye kuwa nayo.
Hawa vijana wa chekechea wanalazimisha kupimana na watu wa chuo kikuu (QUR'AN )!Wakuonea huruma tu.
 
Unazidi kuthibisha Allah hajui anacho ongea
Vitabu vyake kavitaja alafu hana ushaidi kama viliwahi kuwepo hata historically hana ushahidi
Usirudie tena kutaja vitu na kujenga hoja na kutete Imani Yako kwa kutaja amri kumi , tumethibitisha Allah hajui amri 10 ni nini


Sisi tunavitabu vyetu ambavyo havimuhusu Allah , usichanganye kijana
Vitabu vyenu nyinyi kina nani?
 
Niambie waandishi wa vitabu vyenu na uweke na ushahidi wa uandishi wao.

Najadili elimu unaleta utoto. Naomba matini ya neno kwa neno ya mafundisho ya Yesu.
Mkuu!Vitabu vyao kina nani?Mi nataka athibitishe kama hivi ni vitabu vyao.TORATI,ZABURI NA INJILI kamwe haviwezi kuwa vitabu vya mazuzu wanaojihita wakristo.
 
Mkuu!Vitabu vyao kina nani?Mi nataka athibitishe kama hivi ni vitabu vyao.TORATI,ZABURI NA INJILI kamwe haviwezi kuwa vitabu vya mazuzu wanaojihita wakristo.
Hivyo vitabu umetaja vya Allah wenzako humu walishindwa kutoa mistari ya moja katika kila kitabu ,

Wewe kwa sababu upo chuo kikuu
Nipe Aya 1 katika kila kitabu Cha Allah
Torati ya Allah weka Aya 1......
Zaburi ya Allah weka Aya 1....
Injili ya issa wa Allah weka Aya 1...

Na mwisho uweke matini ya hivyo vitabu
 
Back
Top Bottom