Nafikiri ungejibu nondoMungu aliyeshindana mieleka na Yakobo na Mungu wako kushindwa! Huyo Mungu bakinae wewe mshikiwa akili.
Kwa nini allah anashindwa ku switch form 1st person to 3rd person na kwa nini anatumia neno kama may je anajisahau?
48:2 That allah may forgive you your sins of the past and the future ,
Hana uhakika kwamba atasamehe au hata samehe
Hapa allah akisema na Mwenyezi Mungu awaangamize! ameshindwa ku switch 1st to 3rd au allah anamuomba mungu mwingine?
AT-TAWBA - 30 ................ Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!