Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Pale panasema zilifutwa kwenye recitation , ndio nikauliza nani anaweza kufuta aya, ukajibu allah , nikauliza unajua mpaka muhammad amekufa aya zilikuwepo? na walikuwa wanafanya kitendo cha kunyonyesha mtu mzima
Kama jibu ni ndio, nani kazifuta? na alipata wapi muongozo wa kuzifuta?
Kitendo cha kunyonyesha mtu mzima kwenye qur-an? Hebu weka hiyo aya
 
Hakuna kitu kinaitwa "Qur'aan according to Hafs".

Hapa unataka kupotosha na kuonyesha kama kuna Qur'aan nyingi jambo ambalo si kweli.

Kingine unaonyesha ya kuwa hujui viraa (visomo) vya Qur'aan,huu ni ujinga mwingine unao kupelekea ukosee katika kujenga hoja yaani unajenga hoja ya uongo.

Ungekuwa sahihi endapo ungejenga hoja katika usomaji lakini si katika maana,sababu hivyo viraa vyote kumi kikiwepo cha riwaya ya Imaamu Hafs kutoka kwa Imaam Aaswim na viraa vingine kama vya Ibn Kathir, Yaquob,Ja'afar na vingine vyote vina maana moja ila usomwaji ni tofauti.
Koran according to recitation of Hafs according to Aasim according to Abu according to Uthaman according to Muhammad na kuna aya zilipotea kwa Muhammad
 
Kitendo cha kunyonyesha mtu mzima kwenye qur-an? Hebu weka hiyo aya
It was narrated that 'Aishah said:
“The Verse of stoning and of breastfeeding an adult ten times was revealed1, and the paper was with me under my pillow. When the Messenger of Allah died, we were preoccupied with his death, and a tame sheep came in and ate it.” Sunan Ibn Majah 1944
  • verses zote za kupiga mawe na kumnyonyesha mtu mzima mara 10 zilipotea kwa kuliwa na mbuzi
Lakini kipindi cha Muhammad walikuwa wana practice
Sahih-Muslim 1453e:
....I see in the face of Abu Hudhaifa (the signs of disgust) on account of entering of Salim (in the house), whereupon Allah’s Messenger said Suckle him. She (Sahla bint Suhail) said: He has a beard. But he (again) said: Suckle him, ....

Verse zilikuwepo
Sahih Muslim 1452b
...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings).

Sahih Muslim 1452a
'A'isha (Allah be pleased with, her) reported that it had been revealed in the Holy Qur'an that ten clear sucklings make the marriage unlawful, then it was abrogated by five sucklings and Allah's Apostle (ﷺ) died and it was before that time (found) in the Holy Qur'an (and recited by the Muslims).
 
Chukua tuition hii:

(Qur'an 6:19-23)

19. Sema: Kitu gani ushahidi wake mkubwa kabisa? Sema: Mwenyezi Mungu. Yeye ndiye shahidi baina yangu na nyinyi. Na nimefunuliwa Qur'ani hii ili kwayo nikuonyeni nyinyi na kila inayo mfikia. Ati kweli nyinyi mnashuhudia kuwa pamoja na Mwenyezi Mungu wapo miungu wengine? Sema: Mimi sishuhudii hayo. Sema: Hakika Yeye ni Mungu mmoja tu, nami ni mbali na mnao washirikisha. 19

[https://www]
20. Wale Tulio wapa Kitabu wanayajua haya kama wanavyo wajua watoto wao. Wale walio zikhasiri nafsi zao hawaamini.20

[https://www]
21. Na nani dhaalimu zaidi kuliko anaye mzulia uwongo Mwenyezi Mungu, na akazikanusha Ishara zake? Hakika madhaalimu hawafanikiwi. 21

[https://www]
22. Siku tutapo wakusanya wote pamoja, kisha tuwaambie walio shirikisha: Wako wapi washirikishwa wenu mlio kuwa mnadai? 22

[https://www]
23. Kisha hautakuwa udhuru wao ila ni kusema: Wallahi! Mola wetu Mlezi! Hatukuwa washirikina. 23


Ukisikia neno "sema" maana yake kuna muamurishaji na mpokea amri.
Sasa katika Aya ya 19 hapo ni Malaika akimuamuru mtume.
Na Malaika ndiyo nafsi ya kwanza hapo na mtume ni nafsi ya 2.

Aya ya 20 neno "wale" ndiyo linawakilisha nafsi ya tatu.


Aya ya 22 neno "tutapo") na neno ("wakusanya") ni maneno yenye
Tofauti kabisa kimantiki.
Neno "tutapo" ni neno la umiliki na neno "wakusanya" ni nafsi
ya 3.

Sasa kwa ujumla ni kwamba, maagizo ya Mwenyezi Mungu kwenda kwa mtume yalipitia kwa malaika ambaye ni nafsi ya kwanza kwenda kwa mtume ambaye ni nafsi ya pili na kwenda kwa watu ambao ni nafsi ya tatu.

Hapo Mwenyezi Mungu anabaki katika kuwakilishwa na malaika.
Naona maneno mengi point hakuna
rudi kwenye aya hizi na uniambie wapi kuna uliyosema, yani kuna neno hilo "sema" jibu kwa kutulia usikurupuke

48:2 That allah may forgive you your sins of the past and the future ,
Hana uhakika kwamba atasamehe au hata samehe

Hapa allah akisema na Mwenyezi Mungu awaangamize! ameshindwa ku switch 1st to 3rd au allah anamuomba mungu mwingine?
AT-TAWBA - 30 ................ Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!
 
Haya masanamu allah aliyaweka kwenye msikiti wa suleimani wake , je unaweza kuniambia lini allah alikuja kukataza kuweka masanamu msikitini? weka na aya
Kwanza tuonyeshe wapi kumeandikwa yalikuwa yanawekwa kwenye msikiti wa Suleyman ?

Yaani tuambie lini Allah aliruhusu masanamu yawekwe misikitini ? Sababu katika kaida ya kiusuli ni kuwa kila ibada asili ni kutokufanywa au ni haramu mpaka uje ushahidi wa kuonyesha kufaa kwa jambo hilo.
Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,
Hii nukuu haionyeshi ibada au kuabudu masanamu.
Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu,
Hii aya iko wazi sana,nashangaa unapoleta uhusiano na kuabudiwa kwa masanamu au tupe ushahidi lini wafuasi wa nabii Suleyman waliabudu masanamu ?
Naona amekuomba uje umsaidie ,
Waislamu walikuwa wanayaangalia masanamu ya malaika , mitume na watumishi watiifu ili wamuabudu allah
Hajaomba msaada bali nimeona unampotezea muda na huna hoja bali ujinga mwingi na uootoshaji.
 
Koran according to recitation of Hafs according to Aasim according to Abu according to Uthaman according to Muhammad na kuna aya zilipotea kwa Muhammad
Hahaha nimecheka sana jibu maswali niliyo kuuliza.

Hoja yako iko wapi kwenye maana au matini ?
 
Kwanza tuonyeshe wapi kumeandikwa yalikuwa yanawekwa kwenye msikiti wa Suleyman ?

Yaani tuambie lini Allah aliruhusu masanamu yawekwe misikitini ? Sababu katika kaida ya kiusuli ni kuwa kila ibada asili ni kutokufanywa au ni haramu mpaka uje ushahidi wa kuonyesha kufaa kwa jambo hilo.

Hii nukuu haionyeshi ibada au kuabudu masanamu.

Hii aya iko wazi sana,nashangaa unapoleta uhusiano na kuabudiwa kwa masanamu au tupe ushahidi lini wafuasi wa nabii Suleyman waliabudu masanamu ?

Hajaomba msaada bali nimeona unampotezea muda na huna hoja bali ujinga mwingi na uootoshaji.
Suleiman wa allah alikua anajengewa msikiti na umewekwa masanamu na walikuwa wanamjengea ni majini
synagogues maana yake ni sehemu ya kuabudia embu uwe unatumia akili kijana
Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu,
Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,

Kwa hiyo muanzilishi wa masanamu ni Allah tumemaliza hilo, yeye allah aliyaweka ili waislamu wakiingia kwenye syagogue la suleiman wayaangalie ili kumuabudu allah
 
Hahaha nimecheka sana jibu maswali niliyo kuuliza.

Hoja yako iko wapi kwenye maana au matini ?
Usicheki , umeona huo mtiririko yani hakuna matini iliyoandikwa kipindi cha muhhamad zote ni recitation according to
na mwisho wa siku aisha kasema kuna aya 2 kubwa zililiwa na mbuzi
It was narrated that 'Aishah said:
“The Verse of stoning and of breastfeeding an adult ten times was revealed1, and the paper was with me under my pillow. When the Messenger of Allah died, we were preoccupied with his death, and a tame sheep came in and ate it.” Sunan Ibn Majah 1944
 
It was narrated that 'Aishah said:
“The Verse of stoning and of breastfeeding an adult ten times was revealed1, and the paper was with me under my pillow. When the Messenger of Allah died, we were preoccupied with his death, and a tame sheep came in and ate it.” Sunan Ibn Majah 1944
  • verses zote za kupiga mawe na kumnyonyesha mtu mzima mara 10 zilipotea kwa kuliwa na mbuzi
Lakini kipindi cha Muhammad walikuwa wana practice
Sahih-Muslim 1453e:
....I see in the face of Abu Hudhaifa (the signs of disgust) on account of entering of Salim (in the house), whereupon Allah’s Messenger said Suckle him. She (Sahla bint Suhail) said: He has a beard. But he (again) said: Suckle him, ....

Verse zilikuwepo
Sahih Muslim 1452b
...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings).

Sahih Muslim 1452a
'A'isha (Allah be pleased with, her) reported that it had been revealed in the Holy Qur'an that ten clear sucklings make the marriage unlawful, then it was abrogated by five sucklings and Allah's Apostle (ﷺ) died and it was before that time (found) in the Holy Qur'an (and recited by the Muslims).

Pitia hapo kwanza .
 
Suleiman wa allah alikua anajengewa msikiti na umewekwa masanamu na walikuwa wanamjengea ni majini
synagogues maana yake ni sehemu ya kuabudia embu uwe unatumia akili kijana
Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu,
Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,

Kwa hiyo muanzilishi wa masanamu ni Allah tumemaliza hilo, yeye allah aliyaweka ili waislamu wakiingia kwenye syagogue la suleiman wayaangalie ili kumuabudu allah
Jibu swali nililo kuuliza.
 
Usicheki , umeona huo mtiririko yani hakuna matini iliyoandikwa kipindi cha muhhamad zote ni recitation according to
na mwisho wa siku aisha kasema kuna aya 2 kubwa zililiwa na mbuzi
It was narrated that 'Aishah said:
“The Verse of stoning and of breastfeeding an adult ten times was revealed1, and the paper was with me under my pillow. When the Messenger of Allah died, we were preoccupied with his death, and a tame sheep came in and ate it.” Sunan Ibn Majah 1944
Kijana unachekesha sana,sasa ulifikiri zingetufikia vipi sisi bila hizo chain ? Huoni kwenye Ukristo wenu hamna cheni ndiyo maana habari za dini yenu Kuna uongo mwingi ?
 
Kijana unachekesha sana,sasa ulifikiri zingetufikia vipi sisi bila hizo chain ? Huoni kwenye Ukristo wenu hamna cheni ndiyo maana habari za dini yenu Kuna uongo mwingi ?
Issue ni kwamba hakuna matini ya Muhammad wala uthuman ,tumemaliza
Zilizopo ni Hadith ambazo zina chain kutoka Hafs kurudi nyuma
 
Jibu swali nililo kuuliza.
Unajifanyaga una swali wakati huna swali
Nilichotaka ku prove ni kwamba Allah ndie muanzilishi wa masanamu na nime prove, kama Allah kaweka masanamu msikitini kwa Suleiman na waislamu wakabadili matumizi wakaanza kayaabudu hiyo ni mana nyingine

Suleiman wa allah alikua anajengewa msikiti na umewekwa masanamu na walikuwa wanamjengea ni majini
synagogues maana yake ni sehemu ya kuabudia embu uwe unatumia akili kijana
Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu,
Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,

Kwa hiyo muanzilishi wa masanamu ni Allah tumemaliza hilo, yeye allah aliyaweka ili waislamu wakiingia kwenye syagogue la suleiman wayaangalie ili kumuabudu allah
 
Kijana unachekesha sana,sasa ulifikiri zingetufikia vipi sisi bila hizo chain ? Huoni kwenye Ukristo wenu hamna cheni ndiyo maana habari za dini yenu Kuna uongo mwingi ?
Hii ya kusema Kuna uongo ni kichaka Cha watoto wadogo, unawezaje kujua uongo wa maandishi kama huna original na fake,
Embu tu debate kama watu wazima
 
Kijana unachekesha sana,sasa ulifikiri zingetufikia vipi sisi bila hizo chain ? Huoni kwenye Ukristo wenu hamna cheni ndiyo maana habari za dini yenu Kuna uongo mwingi ?
Nina swali hili nijibu
Haya maneno Muhammad aliyatowa wapi , embu nipe chain na nani anayaongea

Koran 5:110 Na pale Mwenyezi Mungu atapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Kumbuka neema yangu juu yako, na juu ya mama yako, nilipo kutia nguvu kwa Roho Takatifu, ukazungumza na watu katika utoto na utuuzimani....
 

Pitia hapo kwanza .

Ila Allah! Yani leo hii ingekuwa ukienda kwa Muslim women mtu mzima unanyonya mara Tano Yani alibadili ile mara 10 ikawa mara 5 , Yani alikuwa hajui kabisa Kuna kipindi mwanamke yupo kwenye joto

Sahih Muslim 1452b
...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings)
 
Kijana unachekesha sana,sasa ulifikiri zingetufikia vipi sisi bila hizo chain ? Huoni kwenye Ukristo wenu hamna cheni ndiyo maana habari za dini yenu Kuna uongo mwingi ?
Issue kijana inayokuja ni kwamba kilicho andikwa, unaweza kuaminini kilicho andikwa ni kweli kinakuwa kimeandikwa kweli na unayemuabudu ndio katamka, je alicho kitamka ni kweli?

Mfano Allah kasema Jua linazama kwenye matope , je kialisia leo hii unaamini Jua linazama kwenye chem chem matopeni

18:86
Till, when he reached the setting-place of the sun, he found IT SETTING IN a muddy spring…
 
Issue ni kwamba hakuna matini ya Muhammad wala uthuman ,tumemaliza
Zilizopo ni Hadith ambazo zina chain kutoka Hafs kurudi nyuma
Kijana ujinga mzigo sana hadithi zenye ndiyo zina matini yenyewe,yaani chaina ndiyo imebeba matini. Ndiyo maana dini yetu ipo cream kama ilivyo.

Upande wa pili mna habari za Yesu na nyingi za uongo sababu hamna chain. Maana ya chain (Sanadi) ni adhimu mno na ndiyo imebeba matini.

Kingine unaposema hakuna matini ya Muhammad wala Uthmani huu ni ujinga mwingine Qur'aan ni moja ilinakiliwa tangu Mtume yuko hai ikaja kuwekwa kwenye kitabu kimoja zama za swahiba Abubakr na swahaba Uthman akainakili zikandikwa nakala tano baada ya wazo la swahaba Hudhaifa kisha zikasambazwa miji mitano Makka,Madina,Kufa,Basra na Shamu. Sasa unaposema hakuna matini ya Muhammad wala Uthman unadhihirisha ujinga wako juu ya hili jambo.

Kwani Chain ya Imam Hafs inaishia kwa nani ?
 
Unajifanyaga una swali wakati huna swali
Nilichotaka ku prove ni kwamba Allah ndie muanzilishi wa masanamu na nime prove, kama Allah kaweka masanamu msikitini kwa Suleiman na waislamu wakabadili matumizi wakaanza kayaabudu hiyo ni mana nyingine

Suleiman wa allah alikua anajengewa msikiti na umewekwa masanamu na walikuwa wanamjengea ni majini
synagogues maana yake ni sehemu ya kuabudia embu uwe unatumia akili kijana
Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu,
Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,

Kwa hiyo muanzilishi wa masanamu ni Allah tumemaliza hilo, yeye allah aliyaweka ili waislamu wakiingia kwenye syagogue la suleiman wayaangalie ili kumuabudu allah
Acha stori jibu swali nililo kuuliza.

Na uthibitisho kauli yako.
 
Back
Top Bottom