Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Ndiyo

Hili nimshalujibu zaidi ya mara moja. Huna hoja zaidi ya upotoshaji wa maana na matini ya Kiarabu nilikupa.

Punguza ujinga na usipoteze muda kwenye hamna.

Hili kadhalika nimeshakujibu na huna hoja ya kupinga ya kielimu kama unataka kupoteza muda endelea.

Kukataa miujiza japo wanaonyesha watu wa zamani hii ilikuwa ndiyo tabia yao mfano wa karibu wa Mayabudi mpaka wakamuomba nabii Musa kama yeye ni mkweli basi amuombe Mola wake awashushie chakula toka mbinguni na ikawa hivyo.

Sasa unapokosa hoja usipoteze muda zaidi na bora kwako kukaa kimya sababu unazidi kudhihirisha ujinga wako.q

Huu ujinga mwingine mwezi ulipasuka lino ? Na unaandika nini ? Sababu ua kushuka aya hiyo katika sura ya 54 ni hup muujiza wa kupasuka kwa mwezi.

Kukaribia kwa siku ya mwish kuko karibu si kwa maana ya kesho,kuna karibu karibu katika lugha na karibu kwa mbali kote ni kukaribia.

Aya imeongelea suala la mwezi kupasuka ni suala moja na kukaribia kwa siku ya mwisho ni suala lingine.

Naona umeshiwa cha kuandika.

Ndiyo maana nikakupa marejeo ukasome katika Tafsiri ya Ibn kathiri tukio zima,mwezi ulipasuka na ukarejea katika hali ya kawaida.

Hapakuwa na haja ya kuelezwa hilo sababu ya ufasaha wa lugha,yaani mwezi ulipasuka na ukarudi vile vile kuna haja gani ya wewe kuelezwa tena kwamba akaurudisha vile vile wakati walio shuhudia tukio hilo waliona umepasuka na ukarudi vile vile kwa mwanzo bali na sisi tunaona mwezi uko vile vile kama ulivyo mwanzo.

Umeuliza swali la uongo,sababu mpaka Mtume anakufa kila kitu kuhusu Qur'aan alishakimaliza isipokuwa kukusanywa na kuwekwa pamoja.

Mtume ndiyo alizipanga aya mtume ndiyo akazipa majina sura,na lile limefanyika si kwa rai ya Mtume bali ni maagizo toka kwa Allah. Ndiyo maana ukiangalia aya ya mwisho kushuka ipo katika sura ya pili tena namba 278 kama sijakosea. Kwanini hujiuliza isingekuwa ipo katika sura 114 ambayo ni sura ya mwisho katika Qur'aan hii inaonyesha wazi ya kuwa suala hili alilimaliza Mtume mwenyewe.
  • Usijibu kwa hasira , tuliza akili soma maswali jibu, unachukua mda kujibu alafu unaandika maneno mengi point zero
  • Allah anasema muhmmad hana muujiza ni muonyaji tu alafu hapo hapo alishapasua mwezi? ndio maana mwanzoni nilikuuliza kuhusu aya iliyotangulia na iliyofuta kwa jinsi muhammad alivyo pewa na allah
  • Pia unatumia takia kudanganya umma hapa jibu nani alizipanga upya surah , maana kama allah alitangulia kupasua mwezi ndio surah zingine zikafuatwa ilitakiwa iwe kama ilivyo
  • Pia una kiporo cha aya za unyonyeshaji, issue ya msingi muhammad ndio alikuwa anapokea ujumbe, kafa kaacha unyonyeshaji kwa mtu mzima ni mara tano , leo hii aya hakuna why?
 
  • Usijibu kwa hasira , tuliza akili soma maswali jibu, unachukua mda kujibu alafu unaandika maneno mengi point zero
  • Allah anasema muhmmad hana muujiza ni muonyaji tu alafu hapo hapo alishapasua mwezi? ndio maana mwanzoni nilikuuliza kuhusu aya iliyotangulia na iliyofuta kwa jinsi muhammad alivyo pewa na allah
  • Pia unatumia takia kudanganya umma hapa jibu nani alizipanga upya surah , maana kama allah alitangulia kupasua mwezi ndio surah zingine zikafuatwa ilitakiwa iwe kama ilivyo
  • Pia una kiporo cha aya za unyonyeshaji, issue ya msingi muhammad ndio alikuwa anapokea ujumbe, kafa kaacha unyonyeshaji kwa mtu mzima ni mara tano , leo hii aya hakuna why?
Hakuna hasira iliyo tumika hapo shida unarudia maswali niliyo kujibu tayari.

Hakuna kiporo hata kimoja kilicho bak,huwa siachi kiporo.
 
Hakuna hasira iliyo tumika hapo shida unarudia maswali niliyo kujibu tayari.

Hakuna kiporo hata kimoja kilicho bak,huwa siachi kiporo.
Hujajibu
  • Allah alaanza kupasua mwezi na wewe ukasema watu waliona
    • 54:1. Saa imekaribia, na mwezi umepasuka!
  • Tunaona badae anasema watu wanadai muujiza ata mmoja kutoka kwa muhammad , na allah anasema hivi
    • 6:37. Na makafiri washupavu wamesema: Tunataka ateremshiwe Muhammad dalili ya kuonekana kutoka kwa Mola wake Mlezi, itayo shuhudia ukweli wa huu wito wake!...
  • Bado watu wanadai, allah anawajibu
    • 2:118. Na walisema wale wasio jua kitu: Mbona Mwenyezi Mungu hasemi nasi au zikatufikia Ishara.
  • Mbele tena , bado watu wanadai dalili kutoka kwa muhammad , allah anasema muhammad ni muonyaji tu
    • 13:7 Jalal - Al-JalalaynAnd those who disbelieve say, ‘Why has not some sign been sent down upon him, upon Muhammad (s), from his Lord!’, the like of the staff and the [glowing] hand, or the she-camel. God, exalted be He, says: You are only a warner, one to threaten the disbelievers, for it is not your duty to bring forth signs
  • Huu mujiza wa mwezi kama ulionekana kwa nini Allah anaendelea kusema muhammad hana muujiza ni muonyaji tu? na kwa nini kama watu waliona bado wanauliza na wanasema muhammad hana ishara?
 
Hujajibu
  • Allah alaanza kupasua mwezi na wewe ukasema watu waliona
    • 54:1. Saa imekaribia, na mwezi umepasuka!
  • Tunaona badae anasema watu wanadai muujiza ata mmoja kutoka kwa muhammad , na allah anasema hivi
    • 6:37. Na makafiri washupavu wamesema: Tunataka ateremshiwe Muhammad dalili ya kuonekana kutoka kwa Mola wake Mlezi, itayo shuhudia ukweli wa huu wito wake!...
  • Bado watu wanadai, allah anawajibu
    • 2:118. Na walisema wale wasio jua kitu: Mbona Mwenyezi Mungu hasemi nasi au zikatufikia Ishara.
  • Mbele tena , bado watu wanadai dalili kutoka kwa muhammad , allah anasema muhammad ni muonyaji tu
    • 13:7 Jalal - Al-JalalaynAnd those who disbelieve say, ‘Why has not some sign been sent down upon him, upon Muhammad (s), from his Lord!’, the like of the staff and the [glowing] hand, or the she-camel. God, exalted be He, says: You are only a warner, one to threaten the disbelievers, for it is not your duty to bring forth signs
  • Huu mujiza wa mwezi kama ulionekana kwa nini Allah anaendelea kusema muhammad hana muujiza ni muonyaji tu? na kwa nini kama watu waliona bado wanauliza na wanasema muhammad hana ishara?
Labda unataka nijibu mara ngapi na wapi sijajibu ?
 
Labda unataka nijibu mara ngapi na wapi sijajibu ?
Nilishakwambia uyo mtu ni mjinga hawezi kukuelewa
Ukiwa unabishana na mjinga we mpe ushindi mna hatokuelewa bali atazidisha ujinga wake kma uyo KAFIRI apo
 
Nilishakwambia uyo mtu ni mjinga hawezi kukuelewa
Ukiwa unabishana na mjinga we mpe ushindi mna hatokuelewa bali atazidisha ujinga wake kma uyo KAFIRI apo
Unasema leo vifungu navyo weka ni vya kijinga au?
Embu soma hapa alafu useme ujinga upo wapi , kama hutaona ujinga ulipo jibu maswali , kumbuka Mubarridi kashindwa kuelezea kwa undani aya za kunyonyesha mtu mzima kwa nini hazipo kwenye Koran
  • Matendo ya kunyonyesha watu wazima yalikuwepo yalianza kwa kunyonyesha mara kumi
    • ..... A'isha umm al-muminin sent him away while he was being nursed to her sister Umm Kulthum bint Abi Bakr as-Siddiq and said, "Suckle him ten times so that he can come in to see me."Salim said, "Umm Kulthum nursed me three times and then fell ill, so that she only nursed me three times. I could not go in to see A'isha because Umm Kulthum did not finish for me the ten times." Book 30, Hadith 7
    • Sahih-Muslim 1453e:....I see in the face of Abu Hudhaifa (the signs of disgust) on account of entering of Salim (in the house), whereupon Allah’s Messenger said Suckle him. She (Sahla bint Suhail) said: He has a beard. But he (again) said: Suckle him, ....
  • Aisha anathibitisha aya kutoka kwa Allah zilikuwepo , na anasema unyonyeshaji ulishushwa na Allah kutoka mara 10 kwenda mara 5
    • Sahih Muslim 1452b
      ...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings).

    • Sahih Muslim 1452a 'A'isha (Allah be pleased with, her) reported that it had been revealed in the Holy Qur'an that ten clear sucklings make the marriage unlawful, then it was abrogated by five sucklings and Allah's Apostle (ﷺ) died and it was before that time (found) in the Holy Qur'an (and recited by the Muslims).
  • Aisha anasema zililiwa na mbuzi wakati wakiwa bize na mazishi ya muhammad, watu walikuwa wana recite
  • It was narrated that 'Aishah said: Sunan Ibn Majah 1944 “The Verse of stoning and of breastfeeding an adult ten times was revealed1, and the paper was with me under my pillow. When the Messenger of Allah died, we were preoccupied with his death, and a tame sheep came in and ate it.
  • Muhammad kafa verses za unyonyeshaji zipo , baati mbaya mbuzi kala zile verse, ila watu walikuwa wamekariri, swali langu kwa nini kwenye koran leo hii hazipo?
 
Labda unataka nijibu mara ngapi na wapi sijajibu ?
Niende taratibu naona unashindwa kuelewa nikiweka vifungu vya koran vingi
  • Allah alaanza kupasua mwezi na na watu wote mpaa makafiri washupavu waliona
    • 54:1. Saa imekaribia, na mwezi umepasuka!
  • Kwa nini badae sana bado watu wanamdai dalili?
    • 6:37. Na makafiri washupavu wamesema: Tunataka ateremshiwe Muhammad dalili ya kuonekana kutoka kwa Mola wake Mlezi, itayo shuhudia ukweli wa huu wito wake!...
  • Allah anakuja tena kwenye 13:7 , hapa ni baada ya kupasua mwezi , anasema muhammad hana dalili ni muonyaji tu kwa nini?
 
Unasema leo vifungu navyo weka ni vya kijinga au?
Embu soma hapa alafu useme ujinga upo wapi , kama hutaona ujinga ulipo jibu maswali , kumbuka Mubarridi kashindwa kuelezea kwa undani aya za kunyonyesha mtu mzima kwa nini hazipo kwenye Koran
  • Matendo ya kunyonyesha watu wazima yalikuwepo yalianza kwa kunyonyesha mara kumi
    • ..... A'isha umm al-muminin sent him away while he was being nursed to her sister Umm Kulthum bint Abi Bakr as-Siddiq and said, "Suckle him ten times so that he can come in to see me."Salim said, "Umm Kulthum nursed me three times and then fell ill, so that she only nursed me three times. I could not go in to see A'isha because Umm Kulthum did not finish for me the ten times." Book 30, Hadith 7
    • Sahih-Muslim 1453e:....I see in the face of Abu Hudhaifa (the signs of disgust) on account of entering of Salim (in the house), whereupon Allah’s Messenger said Suckle him. She (Sahla bint Suhail) said: He has a beard. But he (again) said: Suckle him, ....
  • Aisha anathibitisha aya kutoka kwa Allah zilikuwepo , na anasema unyonyeshaji ulishushwa na Allah kutoka mara 10 kwenda mara 5
    • Sahih Muslim 1452b
      ...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings).

    • Sahih Muslim 1452a 'A'isha (Allah be pleased with, her) reported that it had been revealed in the Holy Qur'an that ten clear sucklings make the marriage unlawful, then it was abrogated by five sucklings and Allah's Apostle (ﷺ) died and it was before that time (found) in the Holy Qur'an (and recited by the Muslims).
  • Aisha anasema zililiwa na mbuzi wakati wakiwa bize na mazishi ya muhammad, watu walikuwa wana recite
  • It was narrated that 'Aishah said: Sunan Ibn Majah 1944 “The Verse of stoning and of breastfeeding an adult ten times was revealed1, and the paper was with me under my pillow. When the Messenger of Allah died, we were preoccupied with his death, and a tame sheep came in and ate it.
  • Muhammad kafa verses za unyonyeshaji zipo , baati mbaya mbuzi kala zile verse, ila watu walikuwa wamekariri, swali langu kwa nini kwenye koran leo hii hazipo?
[emoji706][emoji706][emoji706]
 
Nimeshathibitisha tayari.
Hapa kweli na mimi naona hujathibitisha; Mfano unapotiliwa shaka Uraia wako wakisema Uthibitishe huwa hawataki maelezo, maneno matupu huwa wanataka Vielelezo halisi visivyo na mashaka, ambavyo ukipeleka kwenye mamlaka vinatambuliwa na mamlaka zote, kama ni pasport basi uhamiaji watatambua, kama ni Cheti cha kuzaliwa Rita watatambua pia il kujua kama ni halisi au fake. Huwezi sema kwa maneno kwamba mimi ni mtanzania imezaliwa mahali fulani ukaeleweka.
Ulichotoa wewe ni maelezo ya watu ambayo yaliandikwa na watu wa upande amabo wewe unauamini,
Binafsi huwa napata shida sana kuamini kwamba Huyo Mungu aanzishe utaratibu wa kumuamini yeye kwa kutumia Agent, Kuna ugumu gani kwa uweza wake asifanye kila mtu amjue bila kuwa controlled na maelezo ya watu wenginekuondoka mkanganyiko???
Mfano sote tunajua kwamba hakuna shule inamfundisha mtoto mchanga kunyonya (kuvuta maziwa) ni suala automatic, iweje kumjua yeye kuwe na middle man?? Yaan Islam wanamuelezea kuwa yeye ndio wa kweli na wakuabudiwa, Christian nao wanakwambia yeye ndio wa kweli na wakuabudiwa?? Sina tafiti ila sehemu kubwa ya Muslim au Christian wengi wamekuwa huko by Birth kwamba wamezaliwa katika mazingira ya wazazi wa imani hiyo, au malezi ya jamii ya imani hiyo.
 
Hapa kweli na mimi naona hujathibitisha; Mfano unapotiliwa shaka Uraia wako wakisema Uthibitishe huwa hawataki maelezo, maneno matupu huwa wanataka Vielelezo halisi visivyo na mashaka, ambavyo ukipeleka kwenye mamlaka vinatambuliwa na mamlaka zote, kama ni pasport basi uhamiaji watatambua, kama ni Cheti cha kuzaliwa Rita watatambua pia il kujua kama ni halisi au fake. Huwezi sema kwa maneno kwamba mimi ni mtanzania imezaliwa mahali fulani ukaeleweka.
Ulichotoa wewe ni maelezo ya watu ambayo yaliandikwa na watu wa upande amabo wewe unauamini,
Binafsi huwa napata shida sana kuamini kwamba Huyo Mungu aanzishe utaratibu wa kumuamini yeye kwa kutumia Agent, Kuna ugumu gani kwa uweza wake asifanye kila mtu amjue bila kuwa controlled na maelezo ya watu wenginekuondoka mkanganyiko???
Mfano sote tunajua kwamba hakuna shule inamfundisha mtoto mchanga kunyonya (kuvuta maziwa) ni suala automatic, iweje kumjua yeye kuwe na middle man?? Yaan Islam wanamuelezea kuwa yeye ndio wa kweli na wakuabudiwa, Christian nao wanakwambia yeye ndio wa kweli na wakuabudiwa?? Sina tafiti ila sehemu kubwa ya Muslim au Christian wengi wamekuwa huko by Birth kwamba wamezaliwa katika mazingira ya wazazi wa imani hiyo, au malezi ya jamii ya imani hiyo.
Sawa
 
Ulikuwa unadai Koran ni original
  • Nimethibitisha kwa kutumia maandiko yenu Koran ilikuwa inaandikwa na wakristo, na mkristo mmoja akasema muhammad hajui chochote nilicho muandikia
  • Koran imechanganya historia kubwa ikiwa inadai isa ndio Yesu Yani mpaka jina haijulikani Muhammad katoa wapi
  • Koran imeandikwa kutoka kwa Hafs , Hafs alikuwepo miaka 200 baada ya marehemu Muhammad
  • Koran ilipangwa surah zake upya baada ya Muhammad ,maana waliona matukio hayaendi kwa mtiririko , mfano niliweka kupasua mwezi na badae Allah anasema tena Muhammad hana muujiza
  • Surah mbili kubwa kunyofolewa kwenye Koran , ya kupiga mawe na kunyonyesha mtu mzima, hii tumeona muhammad alipo kufa surah zililiwa na mbuzi na badae zikatolewa,
 
Ulikuwa unadai Koran ni original
  • Nimethibitisha kwa kutumia maandiko yenu Koran ilikuwa inaandikwa na wakristo, na mkristo mmoja akasema muhammad hajui chochote nilicho muandikia
  • Koran imechanganya historia kubwa ikiwa inadai isa ndio Yesu Yani mpaka jina haijulikani Muhammad katoa wapi
  • Koran imeandikwa kutoka kwa Hafs , Hafs alikuwepo miaka 200 baada ya marehemu Muhammad
  • Koran ilipangwa surah zake upya baada ya Muhammad ,maana waliona matukio hayaendi kwa mtiririko , mfano niliweka kupasua mwezi na badae Allah anasema tena Muhammad hana muujiza
  • Surah mbili kubwa kunyofolewa kwenye Koran , ya kupiga mawe na kunyonyesha mtu mzima, hii tumeona muhammad alipo kufa surah zililiwa na mbuzi na badae zikatolewa,
Hivi kwanini wewe ni MUONGO ?

Nakuna ulichothibitisha hapo hata kimoja na ukiweza kufanya mimi naacha kutumia hii ID.
 
Hivi kwanini wewe ni MUONGO ?

Nakuna ulichothibitisha hapo hata kimoja na ukiweza kufanya mimi naacha kutumia hii ID.
Unaposema mimi muongo ,inamaanisha unathibitisha maandiko yenu ni uongo

Nianze na point ya kwanza
Koran iliandikwa na wakristo
Kuna mkristo ambae alikuwa anaitwa waraka ,alimsaidia Sana Muhammad na yeye ndie alimwambia yule Alie mkaba pangoni ni jibril, huyu jamaa alipo kufa Muhammad akawa kichaa na kutaka kujiua mara kadhaa
.....But after a few days Waraqa died and the Divine Inspiration was also paused for a while and the Prophet (ﷺ) became so sad as we have heard that he intended several times to throw himself from the tops of high mountains and every time he went up the top of a mountain in order to throw himself down,....Sahih al-Bukhari 6982

Badae akapatikana mkristo mwingine akawa anamuandikia, mkristo huyu alivyo ona anaandika vitu na Muhammad hajui alicho andika akaachana na muhammad akarudi kuwa zake mkristo safi , badae Muhammad na Allah waakamtoa uhai na ikawa kila akizikwa Muhammad na Allah wanaenda kumfukua hapo ndio ujue hasira walizo kuwa nazo juu yake kwa kutoa siri
Narrated Anas:
There was a Christian who embraced Islam and read Surat-al-Baqara and Al-`Imran, and he used to write (the revelations) for the Prophet. Later on he returned to Christianity again and he used to say: "Muhammad knows nothing but what I have written for him....
Sahih bukhari 3617

Point ya kwanza , pangua hoja
 
Hii statement "Katika Uislam, malkia jibril ni anatambulika kama mzimu mtakatifu ambao Mungu kupitia yeye Mungu anawasiliana na wanadamu.". Mzimu ni miongoni mwa mashetani. Tena biblia inasema malaika wa giza wanaweza kujibadilisha kuwa kama wa nuru ( ili waweze kudanganya watu). Huyu malaika Jabril ambaye unasema ni malaika basi ni agent wa Shetani. Aisee wahi kwa Yesu kabla hujachelewa ili uokolewe. Ile damu iliyomwagika msalabani itakusafisha, na kukulinda dhidi ya hayo majini na mizimu.
 
Hii statement "Katika Uislam, malkia jibril ni anatambulika kama mzimu mtakatifu ambao Mungu kupitia yeye Mungu anawasiliana na wanadamu.". Mzimu ni miongoni mwa mashetani. Tena biblia inasema malaika wa giza wanaweza kujibadilisha kuwa kama wa nuru ( ili waweze kudanganya watu). Huyu malaika Jabril ambaye unasema ni malaika basi ni agent wa Shetani. Aisee wahi kwa Yesu kabla hujachelewa ili uokolewe. Ile damu iliyomwagika msalabani itakusafisha, na kukulinda dhidi ya hayo majini na mizimu.
Wapi katika Uislamu inasema malaika jibril ni kma mzimu?
 
Wapi katika Uislamu inasema malaika jibril ni kma mzimu?
Waislamu lazima mtulie na kutafakari kidogo.

Hivi kusali pamoja na Majini nyie mnalichukuliaje hili ?

Yaani Jini Makata limetoka kutesa binadamu wasio na hatia huko linakuja kutubu msikitini.

Hivi hamna ujasiri wa kutuliza akili na kutafakari japo kidogo.

Yaani Majini yote mnayoyasikia na vitendo vya kikatili yanayofanya kama Jini Popobawa, Ijumaa mnaswali nayo Misikitini na wala hamsituki.

Na mnaambiwa myaite eti Ndugu zenu wa Kijini.

Nanyinyi mnakubali tu kwakuwa kasema Mwarabu.

Kwakweli mimi binafsi nawaonea huruma sana sana yaani.
 
Waislamu lazima mtulie na kutafakari kidogo.

Hivi kusali pamoja na Majini nyie mnalichukuliaje hili ?

Yaani Jini Makata limetoka kutesa binadamu wasio na hatia huko linakuja kutubu msikitini.

Hivi hamna ujasiri wa kutuiza akili na kutafakari japo kidogo.

Yaani Majini yote mnayoyasikia na vitendo vya kikatili yanayofanya kama Jini Popobawa, Ijumaa mnaswali nayo Misikitini na wala hamsituki.

Na mnaambiwa myaite eti Ndugu zenu wa Kijini.

Nanyinyi mnakubali tu kwakuwa kasema Mwarabu.

Kwakweli mimi binafsi nawaonea huruma sana sana yaani.
Acha kudhihirisha ujinga wako hpa
ivi makanisani na misikitini wapi kuna kua na ibada za mapepo?

Nijibu ilo swali kwanza hlf ndo uongee ujinga wako
 
Waislamu lazima mtulie na kutafakari kidogo.

Hivi kusali pamoja na Majini nyie mnalichukuliaje hili ?

Yaani Jini Makata limetoka kutesa binadamu wasio na hatia huko linakuja kutubu msikitini.

Hivi hamna ujasiri wa kutuiza akili na kutafakari japo kidogo.

Yaani Majini yote mnayoyasikia na vitendo vya kikatili yanayofanya kama Jini Popobawa, Ijumaa mnaswali nayo Misikitini na wala hamsituki.

Na mnaambiwa myaite eti Ndugu zenu wa Kijini.

Nanyinyi mnakubali tu kwakuwa kasema Mwarabu.

Kwakweli mimi binafsi nawaonea huruma sana sana yaani.
hlf mm nimeuliza swali apo usilte porojo kma huwezi kujibu nyamaza kimya
 
Back
Top Bottom