Jibu ni kuwa NASI ni waliomkaba kule pangoni.
Ila kamwe hawataki kulisema.
Toka enzi za Adam na Eva Malaika wa Mungu akimtokea Nabii huwa anajitambulisha kwanza na anasema usiogope.
Yaani analeta ujumbe kwa amani kabisa.
Muhammadi kabla ya kupewa ujumbe wa "Soma" alikabwa kiugomvi kabisa na kujeruhiwa hadi kuumwa homa kali. Na hadi anaondoka mkabaji hakujitambulisha.
Mungu hakuwahi kutuma ujumbe kwa stahili hii katika Torati, Zaburi wala Injiri.
Lakini baadae walikuja kujitambulisha waliomkaba na kumtuma muhammadi. Leo nawasema hapa.
Ni Majini. Ambao wakaweka na sura yao kabisa kwenye Qurani.
Jini mkuu ndiye aliyemkaba Muhammadi na kumtuma kwa watu huku Mungu wakimtaja kama shahidi.
Ukitazama kwa ndani hii hoja ina mashiko.
Majini ni waislamu tena kabla ya Muhammadi na Waislamu wanakubali hii hoja.
Ukisoma kitabu cha "Maisha ya Mtume Muhammadi" utaona alivyo toka kule pangoni alikuwa katika hali ya Kupagawa na Majini hadi akapungwa na Waraqa ndio akatulizana.
Yalichofanya Majini kwakuwa yanalijua sana neno la Mungu, yakaokota maneno machache sana kwenye Tarati, Zabuli na Injiri yakachanganya na mengi ya kwao na kukanusha
Misingi ya Imani ya Mungu iliyotangwaza na Yesu Kristo.
1."Mateso na Kifo cha Yesu Kristo"
Na
2."Ubatizo"
Yesu anasema pamoja na kusikia neno lake lakini ni lazima mtu azaliwe mara ya pili iwe kwa maji au moto. "abatizwe"
Jini Allah kakanusha.
Yesu anasema ni lazima Mwana wa adamu akamatwe, ateswe, asulubiwe, afe, azikwe, afufuke siku ya tatu na kupaa kwa baba yake Mbinguni.
Jini Allah kakanusha
Ukisoma kwa umakini kitabu cha Qurani.
Jini Allah anajitambulisha kama
"Mola Mlezi" au "Mola"
Mungu, wanamtambulisha kama Mwenyezi Mungu kama kawaida
Ndio maana kwenye Qurani Allah kutumii kabisa nafsi ya kwanza umoja ya Mungu anaogopa na kuikwepa.
Kama
"Mimi ni Mungu wa Ibrahimu" "wenu" "wako"
"Naapa kwa nafsi yangu"
"Nasema nitawabariki" nk.
Ndio maana kama alivyosema mchangiaji fulani, ni vigumu sana ktk Qurani kujua wapi anazungumza Allah, Muhammadi au Majini.
Hii ni mbinu ambayo Allah anatumia kujificha ili asigundulike utambulisho wake.
Allah katumia mbinu za hali ya juu za kujiweka katika hadhi ya Mungu wakati sio, uovu wote anaoufanya Muhammadi anamtetea kwa nguvu zote.
Hivyo NASI ni Majini.
Hii hoja sio ya chuki ni ya mjadala moto. (hot debate)
cc
spensa_e,