Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Usilolijua sawa na ucku wa giza
hlf m nashangaa sanaa M sijawahi kuona misikitini kuna mapepo lkn kila siku makanisani ety wanakemea mapepo sasa ebu jiulize hua mnayatoa wapi hyo mashetani yenu usipende kufuata mkumbo tuu

Kuchafuliwa Uislamu lzma waislamu waseme mna ata ww apo ukisingiziwa uongo tuu utalaani mpk basi ili uombwe radhi sasa kma dini yko inachafuliwa ndo ukae kimya we vipi ww jitafakari vzr kijana wa KIKAFIRI

hlf KAFIRI sio tusi wala nn yni asiekua muislamu yyte yule ni KAFIRI kwaio msinune tukikuiteni ivo
Mi nachafuaje Uislamu sasa.
Au unataka kumkanusha Mtume na Allah kuwa Majini sio waislamu wenzenu tena ?
Kama huyaoni sio tatizo kwakuwa hayaonekani na macho ya watu wengine.
Ila wenzako wanayaona waulize.

Kusema Uislamu ni dini ya Majini sio kashfa hiyo.
Sura ya Majini ipo ndani ya Qurani kuthibitisha.

Au kama hujui basi leo ujue hivyo kwamba Jini Subiani na wenzake wanatubu msikitini.
Mwulize Shehe au Imamu wako atakueleza kiundani.

Kinachotakiwa wewe nenda kaulize utaambiwa hivyo hivyo hata ukitaka kuonyeshwa watakuonyesha.

Sina shida ya kuchafua dini ya watu. Ila nasema ukweli na kweli tupu.
Msikiti ndio Nyumba ya Ibada ya Waislamu binadamu na Waislamu wa Kijini.
Tena Mtume anasema ni Ndugu zenu kabisa.
Wewe ni nani hadi ukanushe undugu nao.
Utake usitake ukweli ndio huo.
Kama hujui basi wewe utakuwa KAFIRI tu.
Kasome Surat Jinn ujiridhishe wacha UKAFIRI.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mi nachafuaje Uislamu sasa.
Au unataka kumkanusha Mtume na Allah kuwa Majini sio waislamu wenzenu tena ?
Kama huyaoni sio tatizo kwakuwa hayaonekani na macho ya watu wengine.
Ila wenzako wanayaona waulize.

Kusema Uislamu ni dini ya Majini sio kashfa hiyo.
Sura ya Majini ipo ndani ya Qurani kuthibitisha.

Au kama hujui basi leo ujue hivyo kwamba Jini Subiani na wenzake wanatubu msikitini.
Mwulize Shehe au Imamu wako atakueleza kiundani.

Kinachotakiwa wewe nenda kaulize utaambiwa hivyo hivyo hata ukitaka kuonyeshwa watakuonyesha.

Sina shida ya kuchafua dini ya watu. Ila nasema ukweli na kweli tupu.
Msikiti ndio Nyumba ya Ibada ya Waislamu binadamu na Waislamu wa Kijini.
Tena Mtume anasema ni Ndugu zenu kabisa.
Wewe ni nani hadi ukanushe,
La wewe utakuwa KAFIRI tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Majini ni viumbe kama viumbe wengine kma unavoona kuna binadamu waharibifu na wazuri basi na Majini yapo ivo ivo

wapi mm nilikataa kua Majini kua sio waislamu? wapo waislamu na wapo makafiri kama wewe
 
Hivyo vitabu vya historia nitajie nitavitafta
Kamata kwanza hizi,
Screenshot_20211212-164301.jpg
Screenshot_20211212-164043.jpg
Screenshot_20211212-163737.jpg
Screenshot_20211212-162937.jpg
Screenshot_20211212-162823.jpg
 
By vulcanic Yahwew alikua akifahamika kama stormy god, associated with fire, matetemeko, milima,,
Ndo maana utaona, habari za moses kukutana na kichaka kinawaka moto, moses kupanda mlimani kwenda kuonana na yahwew au habari za matetemeko, mafuriko ya noah au maangamizi kwa moto ya sodom na gomorrow,
Au utaona yesu akisnda kuworship mlimani,, au utaona watu wakijenga ghorofa kutaka kumfikia mungu yuko juu,
Kisha utaona habari ya mungu yu juu, as in mlimani na baadae mbinguni,, etc..
Baba mkwe wa moses, mzee jethro ndo alikua kuhani wa yahwew, na karibu na midian, palikua na mlima wa huyo mungu yahwew na ndo huko Jethro alienda kuwabatiza katika iman, wazee wa kiisrael na pia Aron,, (kutoka 18:1-20)
 
By vulcanic Yahwew alikua akifahamika kama stormy god, associated with fire, matetemeko, milima,,
Ndo maana utaona, habari za moses kukutana na kichaka kinawaka moto, moses kupanda mlimani kwenda kuonana na yahwew au habari za matetemeko, mafuriko ya noah au maangamizi kwa moto ya sodom na gomorrow,
Au utaona yesu akisnda kuworship mlimani,, au utaona watu wakijenga ghorofa kutaka kumfikia mungu yuko juu,
Kisha utaona habari ya mungu yu juu, as in mlimani na baadae mbinguni,, etc..
Baba mkwe wa moses, mzee jethro ndo alikua kuhani wa yahwew, na karibu na midian, palikua na mlima wa huyo mungu yahwew na ndo huko Jethro alienda kuwabatiza katika iman, wazee wa kiisrael na pia Aron,, (kutoka 18:1-20)
Majina ya vitabu mkuu vya historia.
 
Majini ni viumbe kama viumbe wengine kma unavoona kuna binadamu waharibifu na wazuri basi na Majini yapo ivo ivo

wapi mm nilikataa kua Majini kua sio waislamu? wapo waislamu na wapo makafiri kama wewe
Asante sana kwa kuthibitisha hoja yangu.
Nadhani sasa hivi tunaenda pamoja.
Hii imetosha
 
Majina ya vitabu mkuu vya historia.
We jamaa wa ajabu sana, yaani karne hii unataka nikutajie vitabu. Nimekupa keyword kibao za kukusaidia kuanzisha research mwenyewe , wewe unataka vitabu, nimekupa machapisho ya wasomi kabisa hadi wa Cambridge, nikakuscreenshot hadi magazeti yanayoeleweka yakichambua articles kuhusu hili suala,, bado huelewi tu?..
Kwani uko kidato cha ngapi? [emoji16]
Anyway ntakuletea list ya vitabu milioni moja usome
 
kwaio we ulikua untka kusemaje?
Napenda kuwapongeza tu kwa kushiriki dini moja na Majini, na sina cha kuongeza.
Mi binafsi imani yangu inaeleza kuto kuwa na shirika na Majini kwa swala lolote lile.
Yaani hakuna Jini lenye tabia njema. Na ni ma adui wa binadamu kwakuwa ni jamii ya Ibirisi, pepo wachafu walio laaniwa na Mwenyezi Mungu.
Na huwa wanatumika na binadamu katika mambo ya ushirikina.

Zamani Wazee wangu walinikataza kabisa hata kushika Qurani.
Wakiniasa kuwa ni kitabu cha Majini.
Leo nakushukuru kwa kunithibitishia hilo.
Sina cha kuongeza hapo.
 
Napenda kuwapongeza tu kwa kushiriki dini moja na Majini, na sina cha kuongeza.
Mi binafsi imani yangu inaeleza kuto kuwa na shirika na Majini kwa swala lolote lile.
Yaani hakuna Jini lenye tabia njema. Na ni ma adui wa binadamu kwakuwa ni jamii ya Ibirisi, pepo wachafu walio laaniwa na Mwenyezi Mungu.
Na huwa wanatumika na binadamu katika mambo ya ushirikina.

Zamani Wazee wangu walinikataza kabisa hata kushika Qurani.
Wakiniasa kuwa ni kitabu cha Majini.
Leo nakushukuru kwa kunithibitishia hilo.
Sina cha kuongeza hapo.
Sikushangai kwakua ushalishwa imani potofu toka udogoni mwako na mtoto akiambiwa kitu na wazee wake hukishika hrka sana ata kma cha uongo.

katika Uislamu hatuishi katwambia mzee, tunaishi kwa kufuata sheria na misingi ya kiislamu sisi haturithi mambo bali tunasoma na kufuata lililokua la kweli na kuacha lililokua la Uongo.
 
We jamaa wa ajabu sana, yaani karne hii unataka nikutajie vitabu. Nimekupa keyword kibao za kukusaidia kuanzisha research mwenyewe , wewe unataka vitabu, nimekupa machapisho ya wasomi kabisa hadi wa Cambridge, nikakuscreenshot hadi magazeti yanayoeleweka yakichambua articles kuhusu hili suala,, bado huelewi tu?..
Kwani uko kidato cha ngapi? [emoji16]
Anyway ntakuletea list ya vitabu milioni moja usome
We ndo wa ajabu nimeomba title ya vitabu ulivodai umesoma unanifungulia blogs
umekosa zaidi ya hicho kimoja.
Umedai umesoma vitabu vya historia kibao vipi title tu umekosa.
 
We jamaa wa ajabu sana, yaani karne hii unataka nikutajie vitabu. Nimekupa keyword kibao za kukusaidia kuanzisha research mwenyewe , wewe unataka vitabu, nimekupa machapisho ya wasomi kabisa hadi wa Cambridge, nikakuscreenshot hadi magazeti yanayoeleweka yakichambua articles kuhusu hili suala,, bado huelewi tu?..
Kwani uko kidato cha ngapi? [emoji16]
Anyway ntakuletea list ya vitabu milioni moja usome
Umesema umesoma vitabu vingi lakini nakuomba majina yake unascreenshot gazet uko sawa kweli!?
Kutaja title ya vitabu ni kazi mpaka uscreenshot magazeti?
Acha kujimwambafai sema huna hizo title acha maneno mengi.
kama ni msomaji wa vitabu huwezi ombwa title ya kitabu tu ukaanza excuse kibao hivo utakuwa
unasoma magezeti tu.
Na zihitaji hizo title million ulizosema umesoma kama ni kweli.
 
Sikushangai kwakua ushalishwa imani potofu toka udogoni mwako na mtoto akiambiwa kitu na wazee wake hukishika hrka sana ata kma cha uongo.

katika Uislamu hatuishi katwambia mzee, tunaishi kwa kufuata sheria na misingi ya kiislamu sisi haturithi mambo bali tunasoma na kufuata lililokua la kweli na kuacha lililokua la Uongo.
Kwani ni uongo upi niliousema.
Kila nilichosema umekubali sawa sawa tu na kauli ya Wazee wangu.

Uislamu ni dini ya Majini
Ni kweli.
Qurani ni kitabu cha Majini
Ni kweli.
Uongo wangu uko wapi hapo ?
 
Kwani ni uongo upi niliousema.
Kila nilichosema umekubali sawa sawa tu na kauli ya Wazee wangu.

Uislamu ni dini ya Majini
Ni kweli.
Qurani ni kitabu cha Majini
Ni kweli.
Uongo wangu uko wapi hapo ?
[emoji706][emoji706][emoji706]

Nikishamuona mtu huyu kua ni mjinga na hataki kutoka kwenye ujinga alonao hua namuacha tuu aendelee na ujinga wake
 
[emoji706][emoji706][emoji706]

Nikishamuona mtu huyu kua ni mjinga na hataki kutoka kwenye ujinga alonao hua namuacha tuu aendelee na ujinga wake
Binafsi nimejifunza mambo mengi sana ya manufaa toka katika maoni ya wajinga.
Ikimsikiliza mjinga kwa umakini na kutulia na kutafakari utapata kitu cha maana sana.
Wengi wanaojiona werevu wanapenda kusikia na kuambiwa mambo yanayo waflahisha tu.

Sisi Wajinga tunapenda kuchambua mambo magumu sana.
Hot Debate
 
Hili unataka nikujibu mara ngapi ? Soma post namba 998.

Naona kama hauko kimjadala bali ni kupoteza muda.
Nakuuliza tena kwa sababu umetoa majibu mawili yanayopingana.

Kwamba karata tatu ni uchawi, halafu ukasema ni triki tu si uchawi.

Inaonekana hata wewe mwenyewe hujui umesimamia wapi, unajipinga mwenyewe.

Sasa mimi nawezaje kujadiliana na mtu ambaye hata yeye mwenyewe hajui kasimamia wapi?
 
Kwamba karata tatu ni uchawi, halafu ukasema ni triki tu si uchawi.
Hakuna popote nilipo sema maneno haya kwamba ni triki tu si uchawi. Soma vizuri nilichokiandika.
Inaonekana hata wewe mwenyewe hujui umesimamia wapi, unajipinga mwenyewe.
Mimi najua ninesimamia wapi ndiyo maana maneno yangu hayajigongi.

Hapa hata nikikwambia onyesha kwa kunukuu nilichokiandika wapi yamepingana maneno yangu hutaweza.
Sasa mimi nawezaje kujadiliana na mtu ambaye hata yeye mwenyewe hajui kasimamia wapi?
Huu uongo mwingine inaonekana husomi ninachokiandika na ukakielewa.
 
Hakuna popote nilipo sema maneno haya kwamba ni triki tu si uchawi. Soma vizuri nilichokiandika.

Mimi najua ninesimamia wapi ndiyo maana maneno yangu hayajigongi.

Hapa hata nikikwambia onyesha kwa kunukuu nilichokiandika wapi yamepingana maneno yangu hutaweza.

Huu uongo mwingine inaonekana husomi ninachokiandika na ukakielewa.
Wewe ni mvivu wa tabia na mzembe mwenye ajizi, unaandika "Soma vizuri nilichokiandika" bila kusema ulichokiandika wapi, post namba ngapi, nukuu gani.

Ni kama ngumbaru aliyepewa internet iliyopangiliwa kwa hyperlinks, numbered posts, quotes, halafu anaandika kijumlajumla tu bila kutumia nyenzo za kujadiliana kwa tija.

Ndiyo maana naona sio tu hatuelewani, bali pia hatuwezi kuelewana.

You are an innumerate with little to no comprehension skills.
 
Wewe ni mvivu wa tabia na mzembe mwenye ajizi, unaandika "Soma vizuri nilichokiandika" bila kusema ulichokiandika wapi, post namba ngapi, nukuu gani.

Ni kama ngumbaru aliyepewa internet iliyopangiliwa kwa hyperlinks, numbered posts, quotes, halafu anaandika kijumlajumla tu bila kutumia nyenzo za kujadiliana kwa tija.

Ndiyo maana naona sio tu hatuelewani, bali pia hatuwezi kuelewana.

You are an innumerate with little to no comprehension skills.
Kwahiyo unanukuu fyongokwa lengo la kunipotezea muda,hii ndiyo maana yake,kama ungekuwa unajijua kwa namna gani una uwezo mdogo wa kunukuu maneno hata kwa maana,basi hili kwako ni aula zaidi uwe unanukuu namba ya post,ili uepukane na makosa ya kiufahamu kama unayoyafanya humu.

Hiki nilichokiandika katika post # 1239, laiti kama ungekielewa usinge endelea kuandika ujinga unai dhihirisha ufahamu wako mdogo na usahaulifu wako.

Hapa hata nikikwambia onyesha kwa kunukuu nilichokiandika wapi yamepingana maneno yangu hutaweza.

Aisee nimejaaliwa kumbukumbu nzuri sana na Mola wangu.
 
Back
Top Bottom