Chimbuko na Upotofu wa kanisa la Waadventista Wasabato

Chimbuko na Upotofu wa kanisa la Waadventista Wasabato


The 1844 AD date, as the end of the 2,300 years mentioned in the book of Daniel is a wrong date.

The accurate date (of the end of the 2,300 years) is 1798 AD.

And whatever the accurate date is, 'unto 2,300 days then shall the sanctuary be cleansed', means, after 2,300 days, have passed, the church in the earth shall then be cleansed from the errors of the little horn that polluted the sanctuary of strength (that polluted the church).

The beginning dates of the 70 weeks prophecy (490 years prophecy) and the 2,300 days prophecy (2,300 years prophecy), mentioned in the book of Daniel, are not the same, they are different.

The years, 2,300, 1335, 1,290 and 1,260, all end on 1798 AD. But they all begin on different years.


503 BC + 2300 + 1 (as there is no 0 BC or 0 AD) = 1798 AD

Unto 2,300 years, then shall the sanctuary be cleansed (the church in earth shall be cleansed from the pollutions of the little horn).

The 2,300 days (2,300 years) prophecy (of the book of daniel) begins at 503 BC, this is 16 years after the decree of Darius in 519 BC. This is also 34 years after the decree of Cyrus in 537 BC.

503 BC is also 12 years after the Jews finished building the temple in 515 BC.

503 BC is also 499 years before the birth of the Lord Jesus Christ. The Lord Jesus Christ was born in 4 BC.

The 2,300 years begins in 503 BC and ends in 1798 AD.

In 503 BC, Darius (via his cousin Artaphernes, who was the Persian empire's governor of Ionia) sent 200 ships to attack Naxos. He cooperates with Aristagoras, the Melesian, the governor of Meletus.

In 502 BC, Aristagoras the Melesian, rebels against Darius.

According to Ussher's "The Annals of the World", this is the beginning of the conflict between the Persians and the Greeks, that eventually led to the destruction of the Persian empire.


Daniel's 70 week prophecy (490 year prophecy) starts at 457 BC, with the decree of king Artaxerxes to Ezra. And ends in 34 AD, with the stoning of Stephen.

The 2,300 years end in
1798 AD. After 1798 AD, the church in the earth shall be cleansed from the pollutions of the little horn.

The little horn which polluted the sanctuary of strength, meaning it polluted the church in the earth, and thought to change the times and the laws, and took away the perpetual covenant, and set up the abomination that maketh desolate.

The church in the earth shall be cleansed from the religious errors of the papacy. It shall also be clear to the church in the earth that the seventh day is the legitimate sabbath day, and not the first day of the week.

And that the 10 commandments were not changed even in the new testament era. The seventh day starts from sunset Friday and ends at sunset Saturday. Sunday is not the sabbath day.

Also the papal states were abolished (by the French empire of Napoleon) in 1809 AD, and the temporal power of the pope was abolished in 1809 AD.

433 AD + 30 + 1335 = 1798 AD

463 AD + 1335 = 1798 AD

433 AD, Sixtus III was pope. He supported the decision of the first council of Ephesus (which ended in July 431). The council declared that 'the virgin Mary is the mother of God'.

After 30 years

463 AD, Hilarius was pope, he continued the policy of his successor pope Leo I, of enhancing the primacy of the bishop of Rome within the church.

When Leo I was pope, he claimed to be the bishop of the universal church, that is the bishop of the entire church in the world, the primacy of the bishop of rome within the church is enhanced).

508 AD + 30 years = 538 AD

538 AD + 1260 years = 1798 AD

The 1335 years start at 463 AD and ends in 1798 AD.

1335 may reflect redemption. The redemption money was 1365 shekels (Numbers 3:49-51).

433 AD is 1365 years before 1798 AD.


1365 years are not directly mentioned in the book of Daniel, but they show that there will be redemption after they have ended. 1365 shekels was the redemption money in the book of numbers. 30 + 1335 = 1365. 1335 days (1335 years) are directly mentioned in the book of Daniel.



475/476 AD (the collapse of the Western Roman empire into 10 kingdoms, 10 horns).

33 years later

508 AD (Symmachus was pope, the primacy of the papacy in temporal affairs enhanced, Clovis' baptism, Clovis defeats Alarac).

30 years later

538 AD (Vigilius was pope, begins the 1,260 years of papal supremacy).

1,260 years later

1798 ad (the 1,260 years of papal supremacy end, with the capture of the pope, by the French general Berthier, the papacy receives a deadly wound).


The papal wound starts to heal consistently from 1929, until today.

Thus the 1844 AD date, as the end of the 2,300 years mentioned in the book of Daniel is a wrong date.

The accurate date (of the end of the 2,300 years) is 1798 AD.

And, 'unto 2,300 days then shall the sanctuary be cleansed', means, after 2,300 years have passed, the church in the earth shall then be cleansed from the errors of the little horn that polluted the sanctuary of strength (that is, that polluted the church).

It does not mean the end of the world.

It does not mean the beginning of the 'investigative judgment'.

And it does not mean the Lord Jesus Christ moving into the most holy place in heaven.

The Lord Jesus Christ moved into the most holy place in heaven, after his ressurection and ascension, in 31 AD. AND NOT IN 1844 AD.
CHUKIZO LA UHARIBIFU NI UTENDAJI WA MAMLAKA YA KIBINADAMU KUPINGA AMRI NA MAMLAKA YA MUNGU
Unabii wa utendaji wa Chukizo la uharibifu lililonenwa na nabii Danieli umeandikwa katika Danieli 7, 8 na 9. Ni vipindi vitabu tofauti tofauti vya kihistoria ambavyo kanisa la Mungu lingelikabiliwa ma mateso yanayofanywa na mamlaka inayompinga Kristo.
1. Katika Danieli 7:25, kumetajwa unabii wa Wakati, Nyakati mbili na nusu wakati. Kipindi hiki kimerudiwa katika Ufun 12:14, sawa na miaka ya unabii 1,260, katika Ufun 12:6, au miezi 42 katika Ufun 13:5,6.
2. Katika Danieli 8:13,14, kumeelezwa unabii wa kipindi kirefu ndani historia ya Biblia, ambacho ni siku 2,300, ndipo huduma ya kutakasa patakatifu ianze.
3. Katika Danieli 9:22-27, kuna unabii wa wiki au majuma sabini, au miaka 490, ambapo mwishoni mwa wiki ya sitini na mbili, Masihi, yaani, Kristo angelikatiliwa mbali. Kipindi hiki kinahusisha ujio wa Kristo mara ya kwanza ili aifanye kazi ya upatanisho na kufa kifo cha msalaba. Kizazi cha mwisho cha unabii huo kingelikabiliwa na mateso ya kuharibiwa kwa mji wa Yerusalemu pamoja na hekalu, kama ilivyorudiwa na Yesu katika Marko 13:1-3, na injili ya Math 24 na Luka 21. Hii ndiyo awamu ya kwanza ya utendaji wa Chukizo la Uharibifu uliofanyika mwishoni mwa miaka 60BK , mji wa Yerusalemu ulipozungukwa na majeshi ya kipangani na kuwatesa na kuwauwa wote ambao hawakuzingatia masharti ya kujiponya yaliyoelezwa na Yesu katika Injili hizo. Katika Marko msisitizo wa masharti hayo umewekwa katika Marko 13:14-20.

KATIKA VIPINDI HIVI VITATU VYA UNABII WATU WAAMINIFU KWA MUNGU WANGELITESWA NA MPINGWA KWA NAMNA TOFAUTI TOFAUTI
1.Mateso haya ndiyo yamehusisha neno DHIKI KUU. Urefu wa MATESO ni tofauti kutegemeana na kipindi.

2.Unabii wa Chukizo la Uharibifu wa awamu ya pili ni ule wa ujulikanao kama, Wakati, nyakati mbili na nusu wakati mara mbili, au siku 1,260. Awamu hii ilitekelezwa na ufalme wa kirumi kwa kuungana na uongozi wa kabisa Katika, (lililojulikama zama hizo kwa jina la Roman Catholic-RC). Kwa pamoja serikali ya kirumi na uongozi wa kanisa hilo walitesa watu wa Mungu kwa kipindi cha miaka 1,260, kuanzia 538 hadi 1798AD. Lengo lilikuwa ni kuwazuia watu wasimwabudimu Mungu mwingine isipokuwa anayehubiriwa na kanisa hilo, siku ya inada ikiwa ni Jumapili.

3.Kwa mujibu wa unabii wa 2Wathes 2:1-5, na wa Ufunuo 13:11-18, tukio hili la MPINGA KRISTO, litajirudia miaka michache isiyozidi KIZAZI KIMOJA, kabla ya marejeo ya Kristo. Katika kipindi hiki cha mwisho, CHUKIZO LA UHARIBIFU litatekelezwa kwa kutumia UKENGEUFU, au MABADILIKO YA MAAGIZO YA AMRI ZA MUNGU. Mtekelezaji ameitwa, MTU WA KUASI, MWANA WA UHARIBIFU; AJIFANYAYE MUNGU, KWA KUKETI KATIKA HEKALU LA MUNGU ILI AABUDIWE YEYE BADALA YA MUNGU. Lengo litafanana na unabii wa siku 1,260. Wapingaji wa Amri zake watawekewa SHINIKIZO LA UCHUMI NA KUTAKIWA KUMWABUDU HUYO MNYAMA, AU NAMBA YAKE, ILIYO YA KIBINADAMU, (Ufun 13:15-18). Wenye kupinga watatezswa kwa kupitia DHIKI KUU AMBAYO HAIJAPATA KUTOKEA YA AINA YAKE, (Marko 13:20-23). Mwenye kujifunza unabii wa Daniel 7, 8 na 9, kwa kuulinganisha na jinsi unavyofunuliwa katika Ufunuo 10-13, atagundua kuwa utekelezaji wa CHUKIZO LA UHARIBIFU umegawanyika katika awamu kuu mbili; awamu ya pili ikiwa inajirudia kihistoria mara mbili. Wakati AWAMU YA PILI, (Sehemu ya 1), NI KIPINDI KIREFU CHA MIAKA 1,260, Sehemu yake ya pili haikupewa muda mrefu wa kiunabii. Kipindi kilichotajwa ni, tukio la ndani kizazi kimoja kisichomaliza muda wake,(Marko 13:19-23), kipindi ambacho kitahusisha ishara na maajabu mengi ya uongo kiasi cha kuwafanganya wengi wadhanie kuwa ni utendaji wa Mungu. Ijapokuwa kipindi cha marejeo ya Kristo, Biblia haitaji mwaka wala siku wala saa, kilichotajwa ni Kizazi kisichotakiwa kupita.

4.AMRI YA JUMAPILI NA ULAZIMISHAJI WA WATU KUMWABUDU MUNGU KATIKA SIKU YA KWANZA YA JUMA, NA VITISHO WA KUWAUWA WAASI WA AMRI HIYO, HAYO NI VIASHIRIA VYENYE KUFUNUA UTIMIAJI WA MWANZO WA KIZAZI CHA MWISHO. KIZAZI CHA MWISHO KILICHOTABIRIWA NA YESU KUWA HAKITAPITA KITATAMBULIWA NA WENYE KUFUATILIA VIASHIRIA VYA MATUKIO YALIYOELEZWA KATIKA VITABU HIVYO VYA BIBLIA. WASIOJIFUNZA UNABII WA BIBLIA KWA MAOMBI MENGI ILI WAELEWE UTIMIAJI WA UNABII HUU WATAKUTWA GIZANI.

TWAISHI KIPINDI GANI KWA SASA?
Mikakati inayoendeshwa na Serikali nyingi za dunia, unawaandaa watu kuishi kwa vitambulisho au Kadi maalumu, ambavyo vimelenga kuhakiki matumizi ya mali za raia wake. Pole pole kutatangazwa mambo ambayo yataweka shinikizo la uchumi.

Kwa mujibu wa agizo la Yesu la Injili ni lazima ihubiriwe kwanza kwa mataifa yote ndipo ule mwisho utakapokuja, ( Marko 13:10), walio waaminifu kwa Yesu watatumia mali zao kwa faida ya wokovu wao na wa wenzao, wakijihusisha katika kuihubiri injili, wakitumia fursa zitakazokuwa zinatumiwa na Mungu. Wenye moyo wa ubinafsi watakuwa wagumu kukubaliana na dhana ya kuwa tunakaribia kizazi cha mwisho. Wataitafsiri Biblia kwa namna iliyo tofauti ili kuwabakiza wengi gizani. Fedha zitageuzwa kuwa miradi muhimu ya walio watumishi ndani ya Kanisa, sawa na ilivyokuwa zama za Yesu na mitume. Kumhubiri Yesu kama Mwokozi wa ulimwengu kutapuuzwa. Vipaumbele vitawekwa kwenye mali kwa jina la mibaraka. Kuwauwa walio waaminifu kwa Mungu kutafanywa kwa kuwatuhumu kuwa wanajifanya kuwa watu wa Mungu, wakati kupitia kwa uongo wa wahubiri hao ulimwengu unapitia mambo magumu. Viongozi wa dini watashiriki kupiga kura ya kuwataka wahubiri waaminifu wauawe kuliko taifa lote kuangamizwa. Uamuzi wa aina hii ulifanywa na Kuhani Mkuu ili kuidhinisha kifo cha Yesu. Hivyo Serikali za dunia zinapokazana kuweka michakato mipya ya uendeshaji wa kutawala watu na mali zao, watajikuta wakiwa na maridhiano na viongozi wa kidini. Hivyo tunapoyaona mambo yanayozidi kutushangaza, twatakiwa kujua kuwa muda siyo mrefu masharti mapya na yenye kuunganisha watu na mapenzi ya kidunia yatazidi kuonekana ni ya kawaida. Chukizo la uharibifu litaingizwa taratibu kwa werevu, kabila ya sheria ngumu kutekelezwa.

UNAJIANDAAJE KWA MAREJEO YA KRISTO MUDA SIO MREFU?
Warumi 13:11-14, pamoja na Waef 5:1-8, pamoja na Marko 13:32-37, na aya zingine nyingi zimetujulisha jinsi ya kuishi tukimgojea Yeye. Kila mmoja anategemewa amwamini na kumtii hata kama itabidi kifo cha kimwili kimpate. Atafarijiwa na kauli ya Ufun 14:13, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa, naam asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao kwa kuwa matendo yao yafuatana nao. Naomba Mungu anisaidie kuufikia mwisho wa Pambano kuu nikiwa mshindi, endapo ataniruhusu kulishiriki tukio la Chukizo la uharibifu lililo mbele yetu. Mshirikishe mwenzako ujumbe huu muhimu.(Muhtasari na Mch E.Kasika, 0764 151 346).
 
Watu hawa huniheshimu kwa midomo; Ila mioyo yao iko mbali nami.
Mathayo 15:8

9 Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu.
Mathayo 15:9


MAAGIZO YA WANADAMU NI YAPI?????

Hakuna sehemu Biblia inaruhusu haya.


1. Ibada za Sanamu.

2 Bikra maria kuwaombea.

3. MATUMIZI ya Rozali.

4. Kunywa pombe na Kuvuta sigara.

6. KUBADIRI majora na nyakati.

7. Majibu nk

ENDELEA KUJIVUNIA SANA KUWA MKATOLIKI.
Naongezea
8. Pia wana kasumba ya kwenda kutubu dhambi zao kwa padri
 
CHUKIZO LA UHARIBIFU NI UTENDAJI WA MAMLAKA YA KIBINADAMU KUPINGA AMRI NA MAMLAKA YA MUNGU
Unabii wa utendaji wa Chukizo la uharibifu lililonenwa na nabii Danieli umeandikwa katika Danieli 7, 8 na 9. Ni vipindi vitabu tofauti tofauti vya kihistoria ambavyo kanisa la Mungu lingelikabiliwa ma mateso yanayofanywa na mamlaka inayompinga Kristo.
1. Katika Danieli 7:25, kumetajwa unabii wa Wakati, Nyakati mbili na nusu wakati. Kipindi hiki kimerudiwa katika Ufun 12:14, sawa na miaka ya unabii 1,260, katika Ufun 12:6, au miezi 42 katika Ufun 13:5,6.
2. Katika Danieli 8:13,14, kumeelezwa unabii wa kipindi kirefu ndani historia ya Biblia, ambacho ni siku 2,300, ndipo huduma ya kutakasa patakatifu ianze.
3. Katika Danieli 9:22-27, kuna unabii wa wiki au majuma sabini, au miaka 490, ambapo mwishoni mwa wiki ya sitini na mbili, Masihi, yaani, Kristo angelikatiliwa mbali. Kipindi hiki kinahusisha ujio wa Kristo mara ya kwanza ili aifanye kazi ya upatanisho na kufa kifo cha msalaba. Kizazi cha mwisho cha unabii huo kingelikabiliwa na mateso ya kuharibiwa kwa mji wa Yerusalemu pamoja na hekalu, kama ilivyorudiwa na Yesu katika Marko 13:1-3, na injili ya Math 24 na Luka 21. Hii ndiyo awamu ya kwanza ya utendaji wa Chukizo la Uharibifu uliofanyika mwishoni mwa miaka 60BK , mji wa Yerusalemu ulipozungukwa na majeshi ya kipangani na kuwatesa na kuwauwa wote ambao hawakuzingatia masharti ya kujiponya yaliyoelezwa na Yesu katika Injili hizo. Katika Marko msisitizo wa masharti hayo umewekwa katika Marko 13:14-20.

KATIKA VIPINDI HIVI VITATU VYA UNABII WATU WAAMINIFU KWA MUNGU WANGELITESWA NA MPINGWA KWA NAMNA TOFAUTI TOFAUTI
1.Mateso haya ndiyo yamehusisha neno DHIKI KUU. Urefu wa MATESO ni tofauti kutegemeana na kipindi.

2.Unabii wa Chukizo la Uharibifu wa awamu ya pili ni ule wa ujulikanao kama, Wakati, nyakati mbili na nusu wakati mara mbili, au siku 1,260. Awamu hii ilitekelezwa na ufalme wa kirumi kwa kuungana na uongozi wa kabisa Katika, (lililojulikama zama hizo kwa jina la Roman Catholic-RC). Kwa pamoja serikali ya kirumi na uongozi wa kanisa hilo walitesa watu wa Mungu kwa kipindi cha miaka 1,260, kuanzia 538 hadi 1798AD. Lengo lilikuwa ni kuwazuia watu wasimwabudimu Mungu mwingine isipokuwa anayehubiriwa na kanisa hilo, siku ya inada ikiwa ni Jumapili.

3.Kwa mujibu wa unabii wa 2Wathes 2:1-5, na wa Ufunuo 13:11-18, tukio hili la MPINGA KRISTO, litajirudia miaka michache isiyozidi KIZAZI KIMOJA, kabla ya marejeo ya Kristo. Katika kipindi hiki cha mwisho, CHUKIZO LA UHARIBIFU litatekelezwa kwa kutumia UKENGEUFU, au MABADILIKO YA MAAGIZO YA AMRI ZA MUNGU. Mtekelezaji ameitwa, MTU WA KUASI, MWANA WA UHARIBIFU; AJIFANYAYE MUNGU, KWA KUKETI KATIKA HEKALU LA MUNGU ILI AABUDIWE YEYE BADALA YA MUNGU. Lengo litafanana na unabii wa siku 1,260. Wapingaji wa Amri zake watawekewa SHINIKIZO LA UCHUMI NA KUTAKIWA KUMWABUDU HUYO MNYAMA, AU NAMBA YAKE, ILIYO YA KIBINADAMU, (Ufun 13:15-18). Wenye kupinga watatezswa kwa kupitia DHIKI KUU AMBAYO HAIJAPATA KUTOKEA YA AINA YAKE, (Marko 13:20-23). Mwenye kujifunza unabii wa Daniel 7, 8 na 9, kwa kuulinganisha na jinsi unavyofunuliwa katika Ufunuo 10-13, atagundua kuwa utekelezaji wa CHUKIZO LA UHARIBIFU umegawanyika katika awamu kuu mbili; awamu ya pili ikiwa inajirudia kihistoria mara mbili. Wakati AWAMU YA PILI, (Sehemu ya 1), NI KIPINDI KIREFU CHA MIAKA 1,260, Sehemu yake ya pili haikupewa muda mrefu wa kiunabii. Kipindi kilichotajwa ni, tukio la ndani kizazi kimoja kisichomaliza muda wake,(Marko 13:19-23), kipindi ambacho kitahusisha ishara na maajabu mengi ya uongo kiasi cha kuwafanganya wengi wadhanie kuwa ni utendaji wa Mungu. Ijapokuwa kipindi cha marejeo ya Kristo, Biblia haitaji mwaka wala siku wala saa, kilichotajwa ni Kizazi kisichotakiwa kupita.

4.AMRI YA JUMAPILI NA ULAZIMISHAJI WA WATU KUMWABUDU MUNGU KATIKA SIKU YA KWANZA YA JUMA, NA VITISHO WA KUWAUWA WAASI WA AMRI HIYO, HAYO NI VIASHIRIA VYENYE KUFUNUA UTIMIAJI WA MWANZO WA KIZAZI CHA MWISHO. KIZAZI CHA MWISHO KILICHOTABIRIWA NA YESU KUWA HAKITAPITA KITATAMBULIWA NA WENYE KUFUATILIA VIASHIRIA VYA MATUKIO YALIYOELEZWA KATIKA VITABU HIVYO VYA BIBLIA. WASIOJIFUNZA UNABII WA BIBLIA KWA MAOMBI MENGI ILI WAELEWE UTIMIAJI WA UNABII HUU WATAKUTWA GIZANI.

TWAISHI KIPINDI GANI KWA SASA?
Mikakati inayoendeshwa na Serikali nyingi za dunia, unawaandaa watu kuishi kwa vitambulisho au Kadi maalumu, ambavyo vimelenga kuhakiki matumizi ya mali za raia wake. Pole pole kutatangazwa mambo ambayo yataweka shinikizo la uchumi.

Kwa mujibu wa agizo la Yesu la Injili ni lazima ihubiriwe kwanza kwa mataifa yote ndipo ule mwisho utakapokuja, ( Marko 13:10), walio waaminifu kwa Yesu watatumia mali zao kwa faida ya wokovu wao na wa wenzao, wakijihusisha katika kuihubiri injili, wakitumia fursa zitakazokuwa zinatumiwa na Mungu. Wenye moyo wa ubinafsi watakuwa wagumu kukubaliana na dhana ya kuwa tunakaribia kizazi cha mwisho. Wataitafsiri Biblia kwa namna iliyo tofauti ili kuwabakiza wengi gizani. Fedha zitageuzwa kuwa miradi muhimu ya walio watumishi ndani ya Kanisa, sawa na ilivyokuwa zama za Yesu na mitume. Kumhubiri Yesu kama Mwokozi wa ulimwengu kutapuuzwa. Vipaumbele vitawekwa kwenye mali kwa jina la mibaraka. Kuwauwa walio waaminifu kwa Mungu kutafanywa kwa kuwatuhumu kuwa wanajifanya kuwa watu wa Mungu, wakati kupitia kwa uongo wa wahubiri hao ulimwengu unapitia mambo magumu. Viongozi wa dini watashiriki kupiga kura ya kuwataka wahubiri waaminifu wauawe kuliko taifa lote kuangamizwa. Uamuzi wa aina hii ulifanywa na Kuhani Mkuu ili kuidhinisha kifo cha Yesu. Hivyo Serikali za dunia zinapokazana kuweka michakato mipya ya uendeshaji wa kutawala watu na mali zao, watajikuta wakiwa na maridhiano na viongozi wa kidini. Hivyo tunapoyaona mambo yanayozidi kutushangaza, twatakiwa kujua kuwa muda siyo mrefu masharti mapya na yenye kuunganisha watu na mapenzi ya kidunia yatazidi kuonekana ni ya kawaida. Chukizo la uharibifu litaingizwa taratibu kwa werevu, kabila ya sheria ngumu kutekelezwa.

UNAJIANDAAJE KWA MAREJEO YA KRISTO MUDA SIO MREFU?
Warumi 13:11-14, pamoja na Waef 5:1-8, pamoja na Marko 13:32-37, na aya zingine nyingi zimetujulisha jinsi ya kuishi tukimgojea Yeye. Kila mmoja anategemewa amwamini na kumtii hata kama itabidi kifo cha kimwili kimpate. Atafarijiwa na kauli ya Ufun 14:13, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa, naam asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao kwa kuwa matendo yao yafuatana nao. Naomba Mungu anisaidie kuufikia mwisho wa Pambano kuu nikiwa mshindi, endapo ataniruhusu kulishiriki tukio la Chukizo la uharibifu lililo mbele yetu. Mshirikishe mwenzako ujumbe huu muhimu.(Muhtasari na Mch E.Kasika, 0764 151 346).
Umesoma vizur hyo Daniel 9:23 na kuendelea?,kwa hyo masihi atakayekatiliwa mbali n Yesu?,eemb acheni kukaririshana
 
CHUKIZO LA UHARIBIFU NI UTENDAJI WA MAMLAKA YA KIBINADAMU KUPINGA AMRI NA MAMLAKA YA MUNGU
Unabii wa utendaji wa Chukizo la uharibifu lililonenwa na nabii Danieli umeandikwa katika Danieli 7, 8 na 9. Ni vipindi vitabu tofauti tofauti vya kihistoria ambavyo kanisa la Mungu lingelikabiliwa ma mateso yanayofanywa na mamlaka inayompinga Kristo.
1. Katika Danieli 7:25, kumetajwa unabii wa Wakati, Nyakati mbili na nusu wakati. Kipindi hiki kimerudiwa katika Ufun 12:14, sawa na miaka ya unabii 1,260, katika Ufun 12:6, au miezi 42 katika Ufun 13:5,6.
2. Katika Danieli 8:13,14, kumeelezwa unabii wa kipindi kirefu ndani historia ya Biblia, ambacho ni siku 2,300, ndipo huduma ya kutakasa patakatifu ianze.
3. Katika Danieli 9:22-27, kuna unabii wa wiki au majuma sabini, au miaka 490, ambapo mwishoni mwa wiki ya sitini na mbili, Masihi, yaani, Kristo angelikatiliwa mbali. Kipindi hiki kinahusisha ujio wa Kristo mara ya kwanza ili aifanye kazi ya upatanisho na kufa kifo cha msalaba. Kizazi cha mwisho cha unabii huo kingelikabiliwa na mateso ya kuharibiwa kwa mji wa Yerusalemu pamoja na hekalu, kama ilivyorudiwa na Yesu katika Marko 13:1-3, na injili ya Math 24 na Luka 21. Hii ndiyo awamu ya kwanza ya utendaji wa Chukizo la Uharibifu uliofanyika mwishoni mwa miaka 60BK , mji wa Yerusalemu ulipozungukwa na majeshi ya kipangani na kuwatesa na kuwauwa wote ambao hawakuzingatia masharti ya kujiponya yaliyoelezwa na Yesu katika Injili hizo. Katika Marko msisitizo wa masharti hayo umewekwa katika Marko 13:14-20.

KATIKA VIPINDI HIVI VITATU VYA UNABII WATU WAAMINIFU KWA MUNGU WANGELITESWA NA MPINGWA KWA NAMNA TOFAUTI TOFAUTI
1.Mateso haya ndiyo yamehusisha neno DHIKI KUU. Urefu wa MATESO ni tofauti kutegemeana na kipindi.

2.Unabii wa Chukizo la Uharibifu wa awamu ya pili ni ule wa ujulikanao kama, Wakati, nyakati mbili na nusu wakati mara mbili, au siku 1,260. Awamu hii ilitekelezwa na ufalme wa kirumi kwa kuungana na uongozi wa kabisa Katika, (lililojulikama zama hizo kwa jina la Roman Catholic-RC). Kwa pamoja serikali ya kirumi na uongozi wa kanisa hilo walitesa watu wa Mungu kwa kipindi cha miaka 1,260, kuanzia 538 hadi 1798AD. Lengo lilikuwa ni kuwazuia watu wasimwabudimu Mungu mwingine isipokuwa anayehubiriwa na kanisa hilo, siku ya inada ikiwa ni Jumapili.

3.Kwa mujibu wa unabii wa 2Wathes 2:1-5, na wa Ufunuo 13:11-18, tukio hili la MPINGA KRISTO, litajirudia miaka michache isiyozidi KIZAZI KIMOJA, kabla ya marejeo ya Kristo. Katika kipindi hiki cha mwisho, CHUKIZO LA UHARIBIFU litatekelezwa kwa kutumia UKENGEUFU, au MABADILIKO YA MAAGIZO YA AMRI ZA MUNGU. Mtekelezaji ameitwa, MTU WA KUASI, MWANA WA UHARIBIFU; AJIFANYAYE MUNGU, KWA KUKETI KATIKA HEKALU LA MUNGU ILI AABUDIWE YEYE BADALA YA MUNGU. Lengo litafanana na unabii wa siku 1,260. Wapingaji wa Amri zake watawekewa SHINIKIZO LA UCHUMI NA KUTAKIWA KUMWABUDU HUYO MNYAMA, AU NAMBA YAKE, ILIYO YA KIBINADAMU, (Ufun 13:15-18). Wenye kupinga watatezswa kwa kupitia DHIKI KUU AMBAYO HAIJAPATA KUTOKEA YA AINA YAKE, (Marko 13:20-23). Mwenye kujifunza unabii wa Daniel 7, 8 na 9, kwa kuulinganisha na jinsi unavyofunuliwa katika Ufunuo 10-13, atagundua kuwa utekelezaji wa CHUKIZO LA UHARIBIFU umegawanyika katika awamu kuu mbili; awamu ya pili ikiwa inajirudia kihistoria mara mbili. Wakati AWAMU YA PILI, (Sehemu ya 1), NI KIPINDI KIREFU CHA MIAKA 1,260, Sehemu yake ya pili haikupewa muda mrefu wa kiunabii. Kipindi kilichotajwa ni, tukio la ndani kizazi kimoja kisichomaliza muda wake,(Marko 13:19-23), kipindi ambacho kitahusisha ishara na maajabu mengi ya uongo kiasi cha kuwafanganya wengi wadhanie kuwa ni utendaji wa Mungu. Ijapokuwa kipindi cha marejeo ya Kristo, Biblia haitaji mwaka wala siku wala saa, kilichotajwa ni Kizazi kisichotakiwa kupita.

4.AMRI YA JUMAPILI NA ULAZIMISHAJI WA WATU KUMWABUDU MUNGU KATIKA SIKU YA KWANZA YA JUMA, NA VITISHO WA KUWAUWA WAASI WA AMRI HIYO, HAYO NI VIASHIRIA VYENYE KUFUNUA UTIMIAJI WA MWANZO WA KIZAZI CHA MWISHO. KIZAZI CHA MWISHO KILICHOTABIRIWA NA YESU KUWA HAKITAPITA KITATAMBULIWA NA WENYE KUFUATILIA VIASHIRIA VYA MATUKIO YALIYOELEZWA KATIKA VITABU HIVYO VYA BIBLIA. WASIOJIFUNZA UNABII WA BIBLIA KWA MAOMBI MENGI ILI WAELEWE UTIMIAJI WA UNABII HUU WATAKUTWA GIZANI.

TWAISHI KIPINDI GANI KWA SASA?
Mikakati inayoendeshwa na Serikali nyingi za dunia, unawaandaa watu kuishi kwa vitambulisho au Kadi maalumu, ambavyo vimelenga kuhakiki matumizi ya mali za raia wake. Pole pole kutatangazwa mambo ambayo yataweka shinikizo la uchumi.

Kwa mujibu wa agizo la Yesu la Injili ni lazima ihubiriwe kwanza kwa mataifa yote ndipo ule mwisho utakapokuja, ( Marko 13:10), walio waaminifu kwa Yesu watatumia mali zao kwa faida ya wokovu wao na wa wenzao, wakijihusisha katika kuihubiri injili, wakitumia fursa zitakazokuwa zinatumiwa na Mungu. Wenye moyo wa ubinafsi watakuwa wagumu kukubaliana na dhana ya kuwa tunakaribia kizazi cha mwisho. Wataitafsiri Biblia kwa namna iliyo tofauti ili kuwabakiza wengi gizani. Fedha zitageuzwa kuwa miradi muhimu ya walio watumishi ndani ya Kanisa, sawa na ilivyokuwa zama za Yesu na mitume. Kumhubiri Yesu kama Mwokozi wa ulimwengu kutapuuzwa. Vipaumbele vitawekwa kwenye mali kwa jina la mibaraka. Kuwauwa walio waaminifu kwa Mungu kutafanywa kwa kuwatuhumu kuwa wanajifanya kuwa watu wa Mungu, wakati kupitia kwa uongo wa wahubiri hao ulimwengu unapitia mambo magumu. Viongozi wa dini watashiriki kupiga kura ya kuwataka wahubiri waaminifu wauawe kuliko taifa lote kuangamizwa. Uamuzi wa aina hii ulifanywa na Kuhani Mkuu ili kuidhinisha kifo cha Yesu. Hivyo Serikali za dunia zinapokazana kuweka michakato mipya ya uendeshaji wa kutawala watu na mali zao, watajikuta wakiwa na maridhiano na viongozi wa kidini. Hivyo tunapoyaona mambo yanayozidi kutushangaza, twatakiwa kujua kuwa muda siyo mrefu masharti mapya na yenye kuunganisha watu na mapenzi ya kidunia yatazidi kuonekana ni ya kawaida. Chukizo la uharibifu litaingizwa taratibu kwa werevu, kabila ya sheria ngumu kutekelezwa.

UNAJIANDAAJE KWA MAREJEO YA KRISTO MUDA SIO MREFU?
Warumi 13:11-14, pamoja na Waef 5:1-8, pamoja na Marko 13:32-37, na aya zingine nyingi zimetujulisha jinsi ya kuishi tukimgojea Yeye. Kila mmoja anategemewa amwamini na kumtii hata kama itabidi kifo cha kimwili kimpate. Atafarijiwa na kauli ya Ufun 14:13, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa, naam asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao kwa kuwa matendo yao yafuatana nao. Naomba Mungu anisaidie kuufikia mwisho wa Pambano kuu nikiwa mshindi, endapo ataniruhusu kulishiriki tukio la Chukizo la uharibifu lililo mbele yetu. Mshirikishe mwenzako ujumbe huu muhimu.(Muhtasari na Mch E.Kasika, 0764 151 346).
Unamjua masihi aliyekatiliwa mbali?,na katka dhana ya masihi kupitia agano la kale unaweza leta ushahid unaoonyesha kuwa masihi atakuja mara ya pili?,na pia masihi inamaanisha nin?,je n divine person Kam mnavyoclaim or n kiongozi wa kidunia Kam Koreshi?
 
CHUKIZO LA UHARIBIFU NI UTENDAJI WA MAMLAKA YA KIBINADAMU KUPINGA AMRI NA MAMLAKA YA MUNGU
Unabii wa utendaji wa Chukizo la uharibifu lililonenwa na nabii Danieli umeandikwa katika Danieli 7, 8 na 9. Ni vipindi vitabu tofauti tofauti vya kihistoria ambavyo kanisa la Mungu lingelikabiliwa ma mateso yanayofanywa na mamlaka inayompinga Kristo.
1. Katika Danieli 7:25, kumetajwa unabii wa Wakati, Nyakati mbili na nusu wakati. Kipindi hiki kimerudiwa katika Ufun 12:14, sawa na miaka ya unabii 1,260, katika Ufun 12:6, au miezi 42 katika Ufun 13:5,6.
2. Katika Danieli 8:13,14, kumeelezwa unabii wa kipindi kirefu ndani historia ya Biblia, ambacho ni siku 2,300, ndipo huduma ya kutakasa patakatifu ianze.
3. Katika Danieli 9:22-27, kuna unabii wa wiki au majuma sabini, au miaka 490, ambapo mwishoni mwa wiki ya sitini na mbili, Masihi, yaani, Kristo angelikatiliwa mbali. Kipindi hiki kinahusisha ujio wa Kristo mara ya kwanza ili aifanye kazi ya upatanisho na kufa kifo cha msalaba. Kizazi cha mwisho cha unabii huo kingelikabiliwa na mateso ya kuharibiwa kwa mji wa Yerusalemu pamoja na hekalu, kama ilivyorudiwa na Yesu katika Marko 13:1-3, na injili ya Math 24 na Luka 21. Hii ndiyo awamu ya kwanza ya utendaji wa Chukizo la Uharibifu uliofanyika mwishoni mwa miaka 60BK , mji wa Yerusalemu ulipozungukwa na majeshi ya kipangani na kuwatesa na kuwauwa wote ambao hawakuzingatia masharti ya kujiponya yaliyoelezwa na Yesu katika Injili hizo. Katika Marko msisitizo wa masharti hayo umewekwa katika Marko 13:14-20.

KATIKA VIPINDI HIVI VITATU VYA UNABII WATU WAAMINIFU KWA MUNGU WANGELITESWA NA MPINGWA KWA NAMNA TOFAUTI TOFAUTI
1.Mateso haya ndiyo yamehusisha neno DHIKI KUU. Urefu wa MATESO ni tofauti kutegemeana na kipindi.

2.Unabii wa Chukizo la Uharibifu wa awamu ya pili ni ule wa ujulikanao kama, Wakati, nyakati mbili na nusu wakati mara mbili, au siku 1,260. Awamu hii ilitekelezwa na ufalme wa kirumi kwa kuungana na uongozi wa kabisa Katika, (lililojulikama zama hizo kwa jina la Roman Catholic-RC). Kwa pamoja serikali ya kirumi na uongozi wa kanisa hilo walitesa watu wa Mungu kwa kipindi cha miaka 1,260, kuanzia 538 hadi 1798AD. Lengo lilikuwa ni kuwazuia watu wasimwabudimu Mungu mwingine isipokuwa anayehubiriwa na kanisa hilo, siku ya inada ikiwa ni Jumapili.

3.Kwa mujibu wa unabii wa 2Wathes 2:1-5, na wa Ufunuo 13:11-18, tukio hili la MPINGA KRISTO, litajirudia miaka michache isiyozidi KIZAZI KIMOJA, kabla ya marejeo ya Kristo. Katika kipindi hiki cha mwisho, CHUKIZO LA UHARIBIFU litatekelezwa kwa kutumia UKENGEUFU, au MABADILIKO YA MAAGIZO YA AMRI ZA MUNGU. Mtekelezaji ameitwa, MTU WA KUASI, MWANA WA UHARIBIFU; AJIFANYAYE MUNGU, KWA KUKETI KATIKA HEKALU LA MUNGU ILI AABUDIWE YEYE BADALA YA MUNGU. Lengo litafanana na unabii wa siku 1,260. Wapingaji wa Amri zake watawekewa SHINIKIZO LA UCHUMI NA KUTAKIWA KUMWABUDU HUYO MNYAMA, AU NAMBA YAKE, ILIYO YA KIBINADAMU, (Ufun 13:15-18). Wenye kupinga watatezswa kwa kupitia DHIKI KUU AMBAYO HAIJAPATA KUTOKEA YA AINA YAKE, (Marko 13:20-23). Mwenye kujifunza unabii wa Daniel 7, 8 na 9, kwa kuulinganisha na jinsi unavyofunuliwa katika Ufunuo 10-13, atagundua kuwa utekelezaji wa CHUKIZO LA UHARIBIFU umegawanyika katika awamu kuu mbili; awamu ya pili ikiwa inajirudia kihistoria mara mbili. Wakati AWAMU YA PILI, (Sehemu ya 1), NI KIPINDI KIREFU CHA MIAKA 1,260, Sehemu yake ya pili haikupewa muda mrefu wa kiunabii. Kipindi kilichotajwa ni, tukio la ndani kizazi kimoja kisichomaliza muda wake,(Marko 13:19-23), kipindi ambacho kitahusisha ishara na maajabu mengi ya uongo kiasi cha kuwafanganya wengi wadhanie kuwa ni utendaji wa Mungu. Ijapokuwa kipindi cha marejeo ya Kristo, Biblia haitaji mwaka wala siku wala saa, kilichotajwa ni Kizazi kisichotakiwa kupita.

4.AMRI YA JUMAPILI NA ULAZIMISHAJI WA WATU KUMWABUDU MUNGU KATIKA SIKU YA KWANZA YA JUMA, NA VITISHO WA KUWAUWA WAASI WA AMRI HIYO, HAYO NI VIASHIRIA VYENYE KUFUNUA UTIMIAJI WA MWANZO WA KIZAZI CHA MWISHO. KIZAZI CHA MWISHO KILICHOTABIRIWA NA YESU KUWA HAKITAPITA KITATAMBULIWA NA WENYE KUFUATILIA VIASHIRIA VYA MATUKIO YALIYOELEZWA KATIKA VITABU HIVYO VYA BIBLIA. WASIOJIFUNZA UNABII WA BIBLIA KWA MAOMBI MENGI ILI WAELEWE UTIMIAJI WA UNABII HUU WATAKUTWA GIZANI.

TWAISHI KIPINDI GANI KWA SASA?
Mikakati inayoendeshwa na Serikali nyingi za dunia, unawaandaa watu kuishi kwa vitambulisho au Kadi maalumu, ambavyo vimelenga kuhakiki matumizi ya mali za raia wake. Pole pole kutatangazwa mambo ambayo yataweka shinikizo la uchumi.

Kwa mujibu wa agizo la Yesu la Injili ni lazima ihubiriwe kwanza kwa mataifa yote ndipo ule mwisho utakapokuja, ( Marko 13:10), walio waaminifu kwa Yesu watatumia mali zao kwa faida ya wokovu wao na wa wenzao, wakijihusisha katika kuihubiri injili, wakitumia fursa zitakazokuwa zinatumiwa na Mungu. Wenye moyo wa ubinafsi watakuwa wagumu kukubaliana na dhana ya kuwa tunakaribia kizazi cha mwisho. Wataitafsiri Biblia kwa namna iliyo tofauti ili kuwabakiza wengi gizani. Fedha zitageuzwa kuwa miradi muhimu ya walio watumishi ndani ya Kanisa, sawa na ilivyokuwa zama za Yesu na mitume. Kumhubiri Yesu kama Mwokozi wa ulimwengu kutapuuzwa. Vipaumbele vitawekwa kwenye mali kwa jina la mibaraka. Kuwauwa walio waaminifu kwa Mungu kutafanywa kwa kuwatuhumu kuwa wanajifanya kuwa watu wa Mungu, wakati kupitia kwa uongo wa wahubiri hao ulimwengu unapitia mambo magumu. Viongozi wa dini watashiriki kupiga kura ya kuwataka wahubiri waaminifu wauawe kuliko taifa lote kuangamizwa. Uamuzi wa aina hii ulifanywa na Kuhani Mkuu ili kuidhinisha kifo cha Yesu. Hivyo Serikali za dunia zinapokazana kuweka michakato mipya ya uendeshaji wa kutawala watu na mali zao, watajikuta wakiwa na maridhiano na viongozi wa kidini. Hivyo tunapoyaona mambo yanayozidi kutushangaza, twatakiwa kujua kuwa muda siyo mrefu masharti mapya na yenye kuunganisha watu na mapenzi ya kidunia yatazidi kuonekana ni ya kawaida. Chukizo la uharibifu litaingizwa taratibu kwa werevu, kabila ya sheria ngumu kutekelezwa.

UNAJIANDAAJE KWA MAREJEO YA KRISTO MUDA SIO MREFU?
Warumi 13:11-14, pamoja na Waef 5:1-8, pamoja na Marko 13:32-37, na aya zingine nyingi zimetujulisha jinsi ya kuishi tukimgojea Yeye. Kila mmoja anategemewa amwamini na kumtii hata kama itabidi kifo cha kimwili kimpate. Atafarijiwa na kauli ya Ufun 14:13, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa, naam asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao kwa kuwa matendo yao yafuatana nao. Naomba Mungu anisaidie kuufikia mwisho wa Pambano kuu nikiwa mshindi, endapo ataniruhusu kulishiriki tukio la Chukizo la uharibifu lililo mbele yetu. Mshirikishe mwenzako ujumbe huu muhimu.(Muhtasari na Mch E.Kasika, 0764 151 346).
Unaijua vizur historia ya wayahudi dhid ya tawala za kigeni?,na kwa nini Yerusalem iliangamizwa mwaka 70A D?
 
CHUKIZO LA UHARIBIFU NI UTENDAJI WA MAMLAKA YA KIBINADAMU KUPINGA AMRI NA MAMLAKA YA MUNGU
Unabii wa utendaji wa Chukizo la uharibifu lililonenwa na nabii Danieli umeandikwa katika Danieli 7, 8 na 9. Ni vipindi vitabu tofauti tofauti vya kihistoria ambavyo kanisa la Mungu lingelikabiliwa ma mateso yanayofanywa na mamlaka inayompinga Kristo.
1. Katika Danieli 7:25, kumetajwa unabii wa Wakati, Nyakati mbili na nusu wakati. Kipindi hiki kimerudiwa katika Ufun 12:14, sawa na miaka ya unabii 1,260, katika Ufun 12:6, au miezi 42 katika Ufun 13:5,6.
2. Katika Danieli 8:13,14, kumeelezwa unabii wa kipindi kirefu ndani historia ya Biblia, ambacho ni siku 2,300, ndipo huduma ya kutakasa patakatifu ianze.
3. Katika Danieli 9:22-27, kuna unabii wa wiki au majuma sabini, au miaka 490, ambapo mwishoni mwa wiki ya sitini na mbili, Masihi, yaani, Kristo angelikatiliwa mbali. Kipindi hiki kinahusisha ujio wa Kristo mara ya kwanza ili aifanye kazi ya upatanisho na kufa kifo cha msalaba. Kizazi cha mwisho cha unabii huo kingelikabiliwa na mateso ya kuharibiwa kwa mji wa Yerusalemu pamoja na hekalu, kama ilivyorudiwa na Yesu katika Marko 13:1-3, na injili ya Math 24 na Luka 21. Hii ndiyo awamu ya kwanza ya utendaji wa Chukizo la Uharibifu uliofanyika mwishoni mwa miaka 60BK , mji wa Yerusalemu ulipozungukwa na majeshi ya kipangani na kuwatesa na kuwauwa wote ambao hawakuzingatia masharti ya kujiponya yaliyoelezwa na Yesu katika Injili hizo. Katika Marko msisitizo wa masharti hayo umewekwa katika Marko 13:14-20.

KATIKA VIPINDI HIVI VITATU VYA UNABII WATU WAAMINIFU KWA MUNGU WANGELITESWA NA MPINGWA KWA NAMNA TOFAUTI TOFAUTI
1.Mateso haya ndiyo yamehusisha neno DHIKI KUU. Urefu wa MATESO ni tofauti kutegemeana na kipindi.

2.Unabii wa Chukizo la Uharibifu wa awamu ya pili ni ule wa ujulikanao kama, Wakati, nyakati mbili na nusu wakati mara mbili, au siku 1,260. Awamu hii ilitekelezwa na ufalme wa kirumi kwa kuungana na uongozi wa kabisa Katika, (lililojulikama zama hizo kwa jina la Roman Catholic-RC). Kwa pamoja serikali ya kirumi na uongozi wa kanisa hilo walitesa watu wa Mungu kwa kipindi cha miaka 1,260, kuanzia 538 hadi 1798AD. Lengo lilikuwa ni kuwazuia watu wasimwabudimu Mungu mwingine isipokuwa anayehubiriwa na kanisa hilo, siku ya inada ikiwa ni Jumapili.

3.Kwa mujibu wa unabii wa 2Wathes 2:1-5, na wa Ufunuo 13:11-18, tukio hili la MPINGA KRISTO, litajirudia miaka michache isiyozidi KIZAZI KIMOJA, kabla ya marejeo ya Kristo. Katika kipindi hiki cha mwisho, CHUKIZO LA UHARIBIFU litatekelezwa kwa kutumia UKENGEUFU, au MABADILIKO YA MAAGIZO YA AMRI ZA MUNGU. Mtekelezaji ameitwa, MTU WA KUASI, MWANA WA UHARIBIFU; AJIFANYAYE MUNGU, KWA KUKETI KATIKA HEKALU LA MUNGU ILI AABUDIWE YEYE BADALA YA MUNGU. Lengo litafanana na unabii wa siku 1,260. Wapingaji wa Amri zake watawekewa SHINIKIZO LA UCHUMI NA KUTAKIWA KUMWABUDU HUYO MNYAMA, AU NAMBA YAKE, ILIYO YA KIBINADAMU, (Ufun 13:15-18). Wenye kupinga watatezswa kwa kupitia DHIKI KUU AMBAYO HAIJAPATA KUTOKEA YA AINA YAKE, (Marko 13:20-23). Mwenye kujifunza unabii wa Daniel 7, 8 na 9, kwa kuulinganisha na jinsi unavyofunuliwa katika Ufunuo 10-13, atagundua kuwa utekelezaji wa CHUKIZO LA UHARIBIFU umegawanyika katika awamu kuu mbili; awamu ya pili ikiwa inajirudia kihistoria mara mbili. Wakati AWAMU YA PILI, (Sehemu ya 1), NI KIPINDI KIREFU CHA MIAKA 1,260, Sehemu yake ya pili haikupewa muda mrefu wa kiunabii. Kipindi kilichotajwa ni, tukio la ndani kizazi kimoja kisichomaliza muda wake,(Marko 13:19-23), kipindi ambacho kitahusisha ishara na maajabu mengi ya uongo kiasi cha kuwafanganya wengi wadhanie kuwa ni utendaji wa Mungu. Ijapokuwa kipindi cha marejeo ya Kristo, Biblia haitaji mwaka wala siku wala saa, kilichotajwa ni Kizazi kisichotakiwa kupita.

4.AMRI YA JUMAPILI NA ULAZIMISHAJI WA WATU KUMWABUDU MUNGU KATIKA SIKU YA KWANZA YA JUMA, NA VITISHO WA KUWAUWA WAASI WA AMRI HIYO, HAYO NI VIASHIRIA VYENYE KUFUNUA UTIMIAJI WA MWANZO WA KIZAZI CHA MWISHO. KIZAZI CHA MWISHO KILICHOTABIRIWA NA YESU KUWA HAKITAPITA KITATAMBULIWA NA WENYE KUFUATILIA VIASHIRIA VYA MATUKIO YALIYOELEZWA KATIKA VITABU HIVYO VYA BIBLIA. WASIOJIFUNZA UNABII WA BIBLIA KWA MAOMBI MENGI ILI WAELEWE UTIMIAJI WA UNABII HUU WATAKUTWA GIZANI.

TWAISHI KIPINDI GANI KWA SASA?
Mikakati inayoendeshwa na Serikali nyingi za dunia, unawaandaa watu kuishi kwa vitambulisho au Kadi maalumu, ambavyo vimelenga kuhakiki matumizi ya mali za raia wake. Pole pole kutatangazwa mambo ambayo yataweka shinikizo la uchumi.

Kwa mujibu wa agizo la Yesu la Injili ni lazima ihubiriwe kwanza kwa mataifa yote ndipo ule mwisho utakapokuja, ( Marko 13:10), walio waaminifu kwa Yesu watatumia mali zao kwa faida ya wokovu wao na wa wenzao, wakijihusisha katika kuihubiri injili, wakitumia fursa zitakazokuwa zinatumiwa na Mungu. Wenye moyo wa ubinafsi watakuwa wagumu kukubaliana na dhana ya kuwa tunakaribia kizazi cha mwisho. Wataitafsiri Biblia kwa namna iliyo tofauti ili kuwabakiza wengi gizani. Fedha zitageuzwa kuwa miradi muhimu ya walio watumishi ndani ya Kanisa, sawa na ilivyokuwa zama za Yesu na mitume. Kumhubiri Yesu kama Mwokozi wa ulimwengu kutapuuzwa. Vipaumbele vitawekwa kwenye mali kwa jina la mibaraka. Kuwauwa walio waaminifu kwa Mungu kutafanywa kwa kuwatuhumu kuwa wanajifanya kuwa watu wa Mungu, wakati kupitia kwa uongo wa wahubiri hao ulimwengu unapitia mambo magumu. Viongozi wa dini watashiriki kupiga kura ya kuwataka wahubiri waaminifu wauawe kuliko taifa lote kuangamizwa. Uamuzi wa aina hii ulifanywa na Kuhani Mkuu ili kuidhinisha kifo cha Yesu. Hivyo Serikali za dunia zinapokazana kuweka michakato mipya ya uendeshaji wa kutawala watu na mali zao, watajikuta wakiwa na maridhiano na viongozi wa kidini. Hivyo tunapoyaona mambo yanayozidi kutushangaza, twatakiwa kujua kuwa muda siyo mrefu masharti mapya na yenye kuunganisha watu na mapenzi ya kidunia yatazidi kuonekana ni ya kawaida. Chukizo la uharibifu litaingizwa taratibu kwa werevu, kabila ya sheria ngumu kutekelezwa.

UNAJIANDAAJE KWA MAREJEO YA KRISTO MUDA SIO MREFU?
Warumi 13:11-14, pamoja na Waef 5:1-8, pamoja na Marko 13:32-37, na aya zingine nyingi zimetujulisha jinsi ya kuishi tukimgojea Yeye. Kila mmoja anategemewa amwamini na kumtii hata kama itabidi kifo cha kimwili kimpate. Atafarijiwa na kauli ya Ufun 14:13, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa, naam asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao kwa kuwa matendo yao yafuatana nao. Naomba Mungu anisaidie kuufikia mwisho wa Pambano kuu nikiwa mshindi, endapo ataniruhusu kulishiriki tukio la Chukizo la uharibifu lililo mbele yetu. Mshirikishe mwenzako ujumbe huu muhimu.(Muhtasari na Mch E.Kasika, 0764 151 346).
Nenda kasome historia ya Wayahudi kwanza,Soma jinsi utawala wa Kiyahud wa Kimakabayo ulivyokatiliwa mbali na Rome,Soma vita ya Wayahudi na Warumi toka 66AD -73AD (Juma moja),ambapo the son of man (Titus) made a covenant with many people.
 
Nenda kasome historia ya Wayahudi kwanza,Soma jinsi utawala wa Kiyahud wa Kimakabayo ulivyokatiliwa mbali na Rome,Soma vita ya Wayahudi na Warumi toka 66AD -73AD (Juma moja),ambapo the son of man (Titus) made a covenant with many people.
Kasome biblia 2Wathesalonike 2:1----6 sambamba na Ufunuo 13:11---15
 
Unamjua masihi aliyekatiliwa mbali?,na katka dhana ya masihi kupitia agano la kale unaweza leta ushahid unaoonyesha kuwa masihi atakuja mara ya pili?,na pia masihi inamaanisha nin?,je n divine person Kam mnavyoclaim or n kiongozi wa kidunia Kam Koreshi?
Hoja Yako ni ipi! Daniel 8:25
 
Umesoma vizur hyo Daniel 9:23 na kuendelea?,kwa hyo masihi atakayekatiliwa mbali n Yesu?,eemb acheni kukaririshana
Fungu la biblia linajibiwa kwa fungu, leta fungu,
Umepotosha watu Ili ukusanye sadaka, na huna mbingu za kuwapeleka, unajiita nabiii
 
Nenda kasome historia ya Wayahudi kwanza,Soma jinsi utawala wa Kiyahud wa Kimakabayo ulivyokatiliwa mbali na Rome,Soma vita ya Wayahudi na Warumi toka 66AD -73AD (Juma moja),ambapo the son of man (Titus) made a covenant with many people.
Unajiita mchungaji, Nipe ufafanuzi was mafungu haha:-

2 Wathesalonike 2
9 yule ambaye kuja kwake ni kwa mfano wa kutenda kwake Shetani, kwa uwezo wote, na ishara na ajabu za uongo;

10 na katika madanganyo yote ya udhalimu kwa hao wanaopotea; kwa sababu hawakukubali kuipenda ile kweli, wapate kuokolewa.
 
Fungu la biblia linajibiwa kwa fungu, leta fungu,
Umepotosha watu Ili ukusanye sadaka, na huna mbingu za kuwapeleka, unajiita nabiii
I am neither a Christian nor a muslim, namshukur God of my ancestors kwamba mm sio mjinga tena,mm nmekuuliza unamjua huyo masihi aliyekatiliwa mbali?,
 
Unajiita mchungaji, Nipe ufafanuzi was mafungu haha:-

2 Wathesalonike 2
9 yule ambaye kuja kwake ni kwa mfano wa kutenda kwake Shetani, kwa uwezo wote, na ishara na ajabu za uongo;

10 na katika madanganyo yote ya udhalimu kwa hao wanaopotea; kwa sababu hawakukubali kuipenda ile kweli, wapate kuokolewa.
Mimi sio mchungaji, nmekuuliza swali unaniletea ngojera na vifungu vya kukaririshana hiv?,hyo 2 wathesalonike aliandika Nan?
 
Hujajibu swali asee?
Rumi ya kipagani Miguu ya Chuma 168 BC – 476 AD Daniel 2:40

Falme zilizogawanyika nyayo za chuma na udongo 476 AD 538 AD Daniel 2:41; 7:24

iii) Utawala wa Kipapa Nyayo za Chuma na Udongo:-
538 AD 1798 AD Daniel 7:24 Ufunuo 13:11-16.

iv) Falme zilizogawanyika-nyayo za chuma na udongo 1798 AD Amri
ya Jumapili Ufunuo 13:11-16

Falme hizi kumi zilitawala kuanzia mwaka 476 AD 538 AD wakati ambapo alitokea Mfalme Constantino wa Rumi akiwa mpagani akiabudu jua siku ya Jumapili akaamini kuwa Mkristo. Wakristo wote wa wakati huo walikuwa wakiabudu siku ya Sabato (Jumamosi) Hivyo mara tu baada ya mfalme Constantino kuamini kuwa mkristo waumini na viongozi wa Kikristo walimheshimu Constantino kuliko kumheshimu Yesu kwa kwenda kumbatiza Constantino kwa maji ya kunyunyizia kichwani na hivyo huo ulikuwa ubatizo wa kwanza wa kunyunyizia maji kichwani. Kumbuka kuwa Yesu alitoa kielelezo kwa kubatizwa kwa kuzamishwa katika maji mengi kule katika mto wa Yordani ili asije mtu mwingine akaleta ubatizo tofauti. Ndipo alipoona kuwa ameheshimiwa, Mfalme Constantino alitoa pendekezo ya kwamba, `alikuwa anaabudu jua siku ya Jumapili (Sun-day) na warumi wengi. Hivyo aliliomba kanisa la Kikristo libadili siku ya kuabudu, badala ya Sabato (Jumamosi) iwe Jumapili; bila kuelewa ya kwamba anatimiza unabii wa Danieli 7:25. . Naye ataazimu kubadili majira na sheria na Isaya 34:4-6; 19-20 Dunia inaomboleza inazimia, ulimwengu unadhoofika unazimia;.. kwa maana wameziasi sheria, wameibadili amri, wamelivunja agano la milele Kutoka 31:16 Kwa ajili ya hayo wana wa Israeli wataishika Sabato, kuiangalia sana hiyo Sabato katika vizazi vyao vyote ni agano la milele.

Wakristo wengine walikataa kuibadili amri ya nne katika amri kumi za Mungu. Hivyo Mfalme Constantino aliingilia kati kulitawala kanisa ili kuwaadhibu wapinzani. Watu zaid ya millioni hamsini waliuawa na utawala huo kati ya mwaka 538 AD -1798 AD. Mfalme Constantino alidai ya kwamba wapumzike siku ya Jumapili lakini huku wakimwamini Yesu badala ya kuliamini jua, huku akidai ya kwamba ili Warumi wote wawe wakristo. Na hivyo kanisa la Kikristo likabadilika jina na kuitwa kanisa Katoliki la Kirumi (Roman Catholic Church). Neno Katoliki maana yake wote Na hivyo jina Kanisa Katoliki la Kirumi maana yake Kanisa la Warumi wote. Sasa ,leo mimi nashangaa kuona watu wengi ulimwenguni wanajiunga na kanisa la Warumi wote japokuwa wao sio Warumi. Hata mimi nilikuwamo humo lakini baada ya kugundua nilitafuta kanisa la Mungu sio la Warumi. Kwa vile Constantino sasa alikuwa na Kofia mbili akitawala Serikali na Kanisa; jina la utawala (Tittle) likabadilika badala ya kuitwa mfalme akaiitwa Papa. Na hivyo wengine waliofuata baada yake yeye walirithi jina hilo hadi mwaka 1798 wakati jeshi la Wafaransa chini ya jenerali Berthier liliingia Roma kumchukua mateka aliyekuwa Papa wakati huo Papa Pius VI na akafa uhamishoni Ufaransa katika mwaka 1799 Agosti Time Running Out Uk. 76. Biblia inasema Nikaona kimoja cha vichwa vyake kama kwamba kimetiwa jeraha la mauti, na pigo lake la mauti likapona Ufunuo 13:3 Jeraha lilipona mwaka 1929 wakati Mussolini aliposaini mkataba na

v) Upapa katika kivuli cha Uprotestanti na Marekani:-
Nyayo za chuma na udongo Amri ya Jumapili kuja kwa Yesu mara ya pili au mwisho wa dunia Ufunuo 17:18.

Upapa ulitawala kuanzia wakati wa Mfalme Constantino ambayo ilikuwa 538 AD hadi 1798 AD wakati Papa Pius VI Alitekwa na majeshi ya kifaransa na kuuawa kule Ufaransa. Katika muda huo wote watu waliokuwa wakijitokeza kutunza Sabato ambayo ni amri ya nne katika amri kumi za Mungu walikuwa wakiuawa katika zile nchi zote zilizokuwa? nyakati hizo ambazo tumeziona hapo juu. Hata Papa John Paulo wa II
tuliye naye sasa, amekiri wazi katika vyombo vya habari ya kwamba kwa kweli kanisa Katoliki liliua watu hapo zamani.

Hivyo kuanzia 1798 hadi leo ni utawala wa mgawanyiko na kisha wakati wowote kuanzia sasa Jumapili itaingizwa tena kama ilivyokuwa wakati wa Constantino lakini sasa wahusika watakuwa wengine
 
Umesoma vizur hyo Daniel 9:23 na kuendelea?,kwa hyo masihi atakayekatiliwa mbali n Yesu?,eemb acheni kukaririshana
Rumi ya kipagani Miguu ya Chuma 168 BC – 476 AD Daniel 2:40

Falme zilizogawanyika nyayo za chuma na udongo 476 AD 538 AD Daniel 2:41; 7:24

iii) Utawala wa Kipapa Nyayo za Chuma na Udongo:-
538 AD 1798 AD Daniel 7:24 Ufunuo 13:11-16.

iv) Falme zilizogawanyika-nyayo za chuma na udongo 1798 AD Amri
ya Jumapili Ufunuo 13:11-16

Falme hizi kumi zilitawala kuanzia mwaka 476 AD 538 AD wakati ambapo alitokea Mfalme Constantino wa Rumi akiwa mpagani akiabudu jua siku ya Jumapili akaamini kuwa Mkristo. Wakristo wote wa wakati huo walikuwa wakiabudu siku ya Sabato (Jumamosi) Hivyo mara tu baada ya mfalme Constantino kuamini kuwa mkristo waumini na viongozi wa Kikristo walimheshimu Constantino kuliko kumheshimu Yesu kwa kwenda kumbatiza Constantino kwa maji ya kunyunyizia kichwani na hivyo huo ulikuwa ubatizo wa kwanza wa kunyunyizia maji kichwani. Kumbuka kuwa Yesu alitoa kielelezo kwa kubatizwa kwa kuzamishwa katika maji mengi kule katika mto wa Yordani ili asije mtu mwingine akaleta ubatizo tofauti. Ndipo alipoona kuwa ameheshimiwa, Mfalme Constantino alitoa pendekezo ya kwamba, `alikuwa anaabudu jua siku ya Jumapili (Sun-day) na warumi wengi. Hivyo aliliomba kanisa la Kikristo libadili siku ya kuabudu, badala ya Sabato (Jumamosi) iwe Jumapili; bila kuelewa ya kwamba anatimiza unabii wa Danieli 7:25. . Naye ataazimu kubadili majira na sheria na Isaya 34:4-6; 19-20 Dunia inaomboleza inazimia, ulimwengu unadhoofika unazimia;.. kwa maana wameziasi sheria, wameibadili amri, wamelivunja agano la milele Kutoka 31:16 Kwa ajili ya hayo wana wa Israeli wataishika Sabato, kuiangalia sana hiyo Sabato katika vizazi vyao vyote ni agano la milele.

Wakristo wengine walikataa kuibadili amri ya nne katika amri kumi za Mungu. Hivyo Mfalme Constantino aliingilia kati kulitawala kanisa ili kuwaadhibu wapinzani. Watu zaid ya millioni hamsini waliuawa na utawala huo kati ya mwaka 538 AD -1798 AD. Mfalme Constantino alidai ya kwamba wapumzike siku ya Jumapili lakini huku wakimwamini Yesu badala ya kuliamini jua, huku akidai ya kwamba ili Warumi wote wawe wakristo. Na hivyo kanisa la Kikristo likabadilika jina na kuitwa kanisa Katoliki la Kirumi (Roman Catholic Church). Neno Katoliki maana yake wote Na hivyo jina Kanisa Katoliki la Kirumi maana yake Kanisa la Warumi wote. Sasa ,leo mimi nashangaa kuona watu wengi ulimwenguni wanajiunga na kanisa la Warumi wote japokuwa wao sio Warumi. Hata mimi nilikuwamo humo lakini baada ya kugundua nilitafuta kanisa la Mungu sio la Warumi. Kwa vile Constantino sasa alikuwa na Kofia mbili akitawala Serikali na Kanisa; jina la utawala (Tittle) likabadilika badala ya kuitwa mfalme akaiitwa Papa. Na hivyo wengine waliofuata baada yake yeye walirithi jina hilo hadi mwaka 1798 wakati jeshi la Wafaransa chini ya jenerali Berthier liliingia Roma kumchukua mateka aliyekuwa Papa wakati huo Papa Pius VI na akafa uhamishoni Ufaransa katika mwaka 1799 Agosti Time Running Out Uk. 76. Biblia inasema Nikaona kimoja cha vichwa vyake kama kwamba kimetiwa jeraha la mauti, na pigo lake la mauti likapona Ufunuo 13:3 Jeraha lilipona mwaka 1929 wakati Mussolini aliposaini mkataba na

v) Upapa katika kivuli cha Uprotestanti na Marekani:-
Nyayo za chuma na udongo Amri ya Jumapili kuja kwa Yesu mara ya pili au mwisho wa dunia Ufunuo 17:18.

Upapa ulitawala kuanzia wakati wa Mfalme Constantino ambayo ilikuwa 538 AD hadi 1798 AD wakati Papa Pius VI Alitekwa na majeshi ya kifaransa na kuuawa kule Ufaransa. Katika muda huo wote watu waliokuwa wakijitokeza kutunza Sabato ambayo ni amri ya nne katika amri kumi za Mungu walikuwa wakiuawa katika zile nchi zote zilizokuwa? nyakati hizo ambazo tumeziona hapo juu. Hata Papa John Paulo wa II
tuliye naye sasa, amekiri wazi katika vyombo vya habari ya kwamba kwa kweli kanisa Katoliki liliua watu hapo zamani.

Hivyo kuanzia 1798 hadi leo ni utawala wa mgawanyiko na kisha wakati wowote kuanzia sasa Jumapili itaingizwa tena kama ilivyokuwa wakati wa Constantino lakini sasa wahusika watakuwa wengine
 
Back
Top Bottom