vifaa hivyo hivyo ndio vimewasaidia wachina, hawa wazungu waache wafe kwa madharau yao
We Umejuaje ndio vifaa hivyo hivyo ??vifaa hivyo hivyo ndio vimewasaidia wachina, hawa wazungu waache wafe kwa madharau yao
si watengeneze vya kwao?We Umejuaje ndio vifaa hivyo hivyo ??
Kuna mambo mengine yatakuhitaji ufikilie mbali zaidi
Kama ni benefits kwao wachina kuuza vifaa feki utajuaje ??
wanajimwambafy wakati wenzao vimewasaidiaNa pia hawa wazungu si watengeneze wenyewe? Si wameendelea hawa ama vipi?
Hii ni dhararu boss Mahitaji ya vifaa yameongeza than Normalsi watengeneze vya kwao?
Chanzo chabari yako ni @VkingSpain na Uholanzi wamerudisha China vifaa vya kupambana na Corona virus Kama vile testing equipment , face mask na magauni ya kujikinga , Vifaa hivi vimerudishwa sababu viko chini ya viwango vya kimataifa.
Taarifa hii ni muendelezo wa kashfa ya China katika mlipuko wa Corona.Tanzania imepokea msaada wa vifaa vya kupambana na corana toka kwa Jack Ma boss wa Aibaba.
Nizuri TBS wakadhibitisha ubora wa vifaa hivi kabla ya kuvisambaza kwenye mahospital yetu
Wewe umejuaje ni hivyo hivyo walikuwa wanavitumia.Wazungu walishatanguliza dharau kwa wachina tangu mwanzo kwahyo huo ni mwendelezo Wa kejeli dhidi ya taifa la uchina lakini ukweli ni kwamba vifaa hivyo hivyo ndo vimewasaidia wachina katika janga hili ndoja wakianza kudondoka kama kuku ndo watatia akili
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tunafanya boda boda sababu yadhiki zetu ama maisha magumu tunafanya boda boda kwaajili yakujikwamua ama kujikimu kimaishaTangu Wachina walete bodaboda zao hizi sjawai ona mzungu kazinunua, huku mitaani zinamaliza wabongo utazani zina mizimu ya kichina, ajali kila iitwapo leo,
Wachina basi tu, Ila vitu vyao vingi hovyo sana
Spain na Uholanzi wamerudisha China vifaa vya kupambana na Corona virus Kama vile testing equipment , face mask na magauni ya kujikinga , Vifaa hivi vimerudishwa sababu viko chini ya viwango vya kimataifa.
Taarifa hii ni muendelezo wa kashfa ya China katika mlipuko wa Corona.Tanzania imepokea msaada wa vifaa vya kupambana na corana toka kwa Jack Ma boss wa Aibaba.
Nizuri TBS wakadhibitisha ubora wa vifaa hivi kabla ya kuvisambaza kwenye mahospital yetu
Kwakoment yang sina lengo lakudhihaki wanaofanya kazi yaboda boda Sisi tunafanya boda boda sababu yadhiki zetu ama maisha magumu tunafanya boda boda kwaajili yakujikwamua ama kujikimu kimaisha
Tunafanya boda kama zilivyo kazi nyengine na kuhusiana na maswala mazima ya ajali ajali sio wao wanaozipanga ama kuzitengeneza zinatokana na eidha uendeshaji mbovu wa madereva husika ama miundo mbinu mibovu yasehemu husika ama sheria mbovu zabarabarani zasehemu husika
Hv ulishawahi kukaa chini ukajiuliza madhara yanayotokana na midaada ya ARVs na Makondom
Yaani waafrika tutakufa kama kuku miaka inavyozidi kwenda huko mbeleni kisa tu kuwaona mazungu kama malaika wakat huo huo wengne tunawaona kama mashetani
Nb:wazungu wachina ama watu weupe kwaujumla wao wote washenzi tu sema wanatofautiana viwango vyaushenzi wao tuuu.
Sent using My COVID-19
Hivyo vifaa vilivyo kus rejected Western Countries baada ya muda vitaletwa Developing Countries na tupampigia makofi Mchina kuwa ni mtu wa msaada.