China dampo medical equipment

China dampo medical equipment

Wazungu walishatanguliza dharau kwa wachina tangu mwanzo kwahyo huo ni mwendelezo Wa kejeli dhidi ya taifa la uchina lakini ukweli ni kwamba vifaa hivyo hivyo ndo vimewasaidia wachina katika janga hili ndoja wakianza kudondoka kama kuku ndo watatia akili

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mwenye uthibitiaho huo kama ni vifaa hivyo vilivyotumika china ndo hivyohovyo vilivyopelekwa ulaya
 
Trump awaahidi Europe kuwapatia vipumulizi (mashine za kusaidia kupumua), wakati huo huo US haijajitosheleza kwa vifaa vya kupimia maambukizi ya corona, sembuse vipumulizi.

2020-04-02 19.39.09.jpg
 
Naelewa mkuu haukua nalengo hilo nahata mm sikua nalengo hilo ila niliweka tu kama angalizo si una elewa watu tunatofautiana ufahamu MKUU
Asante mkuu Kwa comment ya mahubili na bila Shaka nimekuelewa vizuri na hata hivyo hata Mimi sikuwa na lengo la kudhihaki biashara ya bodaboda, ilikuwa ni Ile Hali ya kujiuliza tu kwamba, Kwa nini mzungu hanunui pikipiki ya mchina?

Ni hivyo tu kiongozi

Sent using My COVID-19
 
Back
Top Bottom