China dampo medical equipment

Hakuna mwenye uthibitiaho huo kama ni vifaa hivyo vilivyotumika china ndo hivyohovyo vilivyopelekwa ulaya
 
Trump awaahidi Europe kuwapatia vipumulizi (mashine za kusaidia kupumua), wakati huo huo US haijajitosheleza kwa vifaa vya kupimia maambukizi ya corona, sembuse vipumulizi.

 
Naelewa mkuu haukua nalengo hilo nahata mm sikua nalengo hilo ila niliweka tu kama angalizo si una elewa watu tunatofautiana ufahamu MKUU
Sent using My COVID-19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…