China evil plan for Africa revealed

Mtumieni huo ujumbe asome afunguke macho maana kavaa miwani 😁
Utamsikia akisema waache waseme ili tufanye ili waone sasa tutaona mikataba ya kuiza nchi. Mimi nadhani mikataba yote iweinatangazwa na kyfafanuliwa kwa wananchi ili tujue huo mkataba wa nini na kwa mantiki ipi.
 
Wachina wanahangaika bila sababu za msingi, wao tukae nao chini tuelewane kuwa hii Afrika iwe sehemu ya China kimaandishi na hawa marais wetu wawe wagavana au wakuu wa mikoa yao tuishi kwa amani bila kuviziana kama wezi...
Mawazo hovyo Africa ikiruhusu hyo ni kwamba weusi wataisha duniani
 
Tukae nao chini tushirikiane kuiongoza afrika wakoloni weusi wameshindwa kabisa kutuletea maendeleo.
Tuwape wachina afrika kwa makubaliano ya nusu nusu
 
Mtu yeyote anadhani china ni watu wazuri basi azidi kusali. Aone kitakacho tokea. Hawa ni watu hatari sana tusipo wadhibiti na kuweka mipaka.
Wamekaririshwa Afrika na na madikteta na sio wananchi
 
Viongozi wetu wengi wao ni njaa tu,wanachoangalia wapate kitu,hayo mengine hawajali..sisi watu weusi ni watu waajabu sana.
 
We absolutely speechless! Totally paralyzed by this article…
 
China ndiye rafiki pekee wa afrika,Mwandishi wa posting hii atakuwa ni mabeberu,wanatulisha chuki,ili tuwachukie western hawana urafiki wa kweli,TUSIHADAIKE,AFRICA TUNAGOMBANIWA,LAKINI WESTERN HATAKI KUWEKEZA,YEYE AMEJAA GHUBU NA WIVU,PESA ZAKE ZA KUCHUNGULIA NDIO AKUPE.
 
Umewaza kama ninavyowaza,ila kinachonishangaza ni viongoz wetu hawaoni mfano hapa Tanga kwenye ujenzi wa bandari kunawachina wengi wamekuja na hawana vibali vya kufanya kazi achilia vya kuishi kinachoshangaza zaidi maofisa wa uhamiaji hawaruhusiwi kuja kukakagua hata wakija wanaishia nje hawaruhudiwi kuingia ndani.Hili jambo linafikirisha mara mbili yaani mgeni aje kwako kisha akupangie ww wap kwa kufika na wapi usifike na serikali iko kimya kama hakuna kunachoendelea
 
Wachina wanahangaika bila sababu za msingi, wao tukae nao chini tuelewane kuwa hii Afrika iwe sehemu ya China kimaandishi na hawa marais wetu wawe wagavana au wakuu wa mikoa yao tuishi kwa amani bila kuviziana kama wezi...
Pumbavu
 
By the year 2050, according to the metrics of continental geopolitical ethnography, Africa will become a Chinese continent. African leaders, instead of setting up a "sinking fund" are just happy to revel in their own batty[emoji2827]
 
KINACHO WATIA UPOFU VIONGOZI WA AFRIKA NI HONGO, UBINAFSI NA UROHO WA MADARAKA.......KWA KIFUPI MBAYA WA AFRIKA NI VIONGOZI WAO WENYEWE........MCHINA ANATUMIA UDHAIFU WA VIONGOZI WETU KUFANYA ANAYOYAFANYA......TUNGEKUWA NA VIONGOZI IMARA, WAZALENDO WALA TUSINGEFIKIA HUKU TUNAPOELEKEA......
 
Huyu mama amelegeza masharti kwa wawekezaji na hii itasababisha kuingiza watu chungu nzima hili tatizo.
Asisingiziwe Rais, wawekezaji waje kama wote ila wachina wakaziwe.Wengi wa wachina waliingia kipindi cha Mwendazake.
 
Umeona population ilivo mkuu Kati ya china na Tanzania
Hatuna watu wanaofikiri tungeitumia population ya China kuzalisha chakula tungekuwa mbali sana badala ya kuboresha kilimo wako bize na Mbowe ambae kesi yake haina tija kwa taifa
 
Good observations,but i think year 2050 is too early for them to do all those shits
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…