Wacha kukwepa mada..jibu hoja kwa hoja sio na swali ndugu. Ni dhahiri hakuna unachojua kuhusu mkopo wa SGR. Hayo mengine yote ni hadithi.Kuna vitu vingine bora usivione. Maana ni maumivu tu. Hivi hata unajua ya kuwa kuna ghost company iliyo lease ndege KQ na nyingine inaoperate SGR!!?
Hata hivyo ni vizuri nikusambazie maarifa. Mfumo wa kujenga SGR ni ule wa BOT yaani build operate transfer. Kampuni unayotaja halina hatia kwani ni kampuni iliyosajiliwa nchini Kenya ku OPERATE reli ya sgr kabla ya ku TRANSFER kwa serikali baadaye.Kuna vitu vingine bora usivione. Maana ni maumivu tu. Hivi hata unajua ya kuwa kuna ghost company iliyo lease ndege KQ na nyingine inaoperate SGR!!?
Wacha kukwepa mada..jibu hoja kwa hoja sio na swali ndugu. Ni dhahiri hakuna unachojua kuhusu mkopo wa SGR. Hayo mengine yote ni hadithi.
Hata hivyo ni vizuri nikusambazie maarifa. Mfumo wa kujenga SGR ni ule wa BOT yaani build operate transfer. Kampuni unayotaja halina hatia kwani ni kampuni iliyosajiliwa nchini Kenya ku OPERATE reli ya sgr kabla ya ku TRANSFER kwa serikali baadaye.
Haha if you know about PPP then you should know that there are different types of models that fall under PPP ...BOT being one of them. Wewe ni msomi wa wapi wewe? Unatia aibuAhaaa haaa haaa
A person whom you are trying to argue with is a PPP expert, who has been participating in several PPP projects advisory teams for about a decade.
By the way, do you know what BOT is all about, leave alone the PPP model!!?
Ahaaa haaa haaa
A person whom you are trying to argue with is a PPP expert, who has been participating in several PPP projects advisory teams for about a decade.
By the way, do you know what BOT is all about, leave alone the PPP model!!?
Please leta data tuone masharti ya Kenya sgr,tuna ngoja.....akileta mnitagAhaaa haaa haaa
A person whom you are trying to argue with is a PPP expert, who has been participating in several PPP projects advisory teams for about a decade.
By the way, do you know what BOT is all about, leave alone the PPP model!!?
Hawezi huyu..ni machungu tu anazo. Mtu anategemea rumors na hadithi bora inaiponda Kenya. Anyway akileta nitakutag πPlease leta data tuone masharti ya Kenya sgr,tuna ngoja.....akileta mnitag
Nimeupenda mwandiko wako, hata kama sielewi ulichoandika. πππView attachment 1129913
Hehe usiwe mbishi kwa kila kitu mkuu...hata sisi tumesoma. Jielimishe
View attachment 1129913
Hehe usiwe mbishi kwa kila kitu mkuu... Jielimishe
Haha zidi kujifariji. Advisory team na hujui models za PPP? Hivi ni kina nani hao una wa advise? π π anyway, nishazima hoja yako ya kampuni inayosimamia reli ya SGR na mfumo wake. Punguza porojo.Ahaaa haaa haaa
Kwa level yako hiyo huwezi nielimisha mimi. Wewe bado sana. Mimi niko kwenye level transaction advisory team leader ya hiyo model of financing.
Hiyo uliyoweka hapo juu ni kwa ajili ya foundation level.
Kama uko kwenye level ya advisory board basi no wonder Tz gets the shorter end of the stick...bure kabisa.Ahaaa haaa haaa
Kwa level yako hiyo huwezi nielimisha mimi. Wewe bado sana. Mimi niko kwenye level transaction advisory team leader ya hiyo model of financing.
Hiyo uliyoweka hapo juu ni kwa ajili ya foundation level.
Bagamoyo itakuwa connected na SGR mwaka gani??πππππYeah Bagamoyo port itakua connected na SGR mpaka feasibility study imesha fanywa.
Uhitaji wa bandari upo ndiyo maana watu wako willing kuweka $10b leo siyo 20years to come.
Itakuwa PPP serikali inapaswa kuwa na hisa na siyo BOT. Ila mkuu kuna mtu amekushauli uingie google majibu yote yapo hawa wanaobisha humu ni Wakenya wako biased. Wewe tafuta taharifa kwa utulivu
Hivi unajua Kuna ghost ziliiba betri za ATCL na Kuna pia ghost ya SGR Tz?? πππKuna vitu vingine bora usivione. Maana ni maumivu tu. Hivi hata unajua ya kuwa kuna ghost company iliyo lease ndege KQ na nyingine inaoperate SGR!!?
Haha zidi kujifariji. Advisory team na hujui models za PPP? Hivi ni kina nani hao una wa advise? π π anyway, nishazima hoja yako ya kampuni inayosimamia reli ya SGR na mfumo wake. Punguza porojo.
Kama uko kwenye level ya advisory board basi no wonder Tz gets the shorter end of the stick...bure kabisa.
A sigh of relief...thank God you never have, Tz ingekuwa Burundi with such caliber.Ahaaa haaa haaa
I never worked with any project in Tanzania.
A sigh of relief...thank God you never have, Tz ingekuwa Burundi with such caliber.
Juu ziko Mars ama Venus??π€π€Teh teh teh tihiii
I'm working with countries which even your all jamaa have never set their feet.