China inapanga kujenga bwawa la umeme kubwa zaidi

China inapanga kujenga bwawa la umeme kubwa zaidi

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Serikali ya China inapanga kujenga bwawa la umeme lengine kubwa zaidi duniani mara tatu la sasa Three gorges dam lenye uwezo wa kuzalisha Megawatts 22,500 MW lilipo Yangtze River, Hubei province.
200723000418-01-world-hydropower-dams-restricted.jpg
hq720 (2).jpg

Three Gorges Dam

Bwawa hilo jipya litakalo jengwa Yarlung Tsangpo river ndani ya Tibet litakuwa na uwezo wa kuzalisha umeme mara tatu ya bwawa la Three gorges litakuwa na uwezo wa kuzalisha 300 bilion kWh.

Serikali ya China imetenga budget ya dollar $127 Bln ambazo ni sawa na zaidi ya trillion 300 kwa fedha za kitanzania.

Ujenzi wa bwawa hili ni moja ya mipango ya serikali ya China ya kuondoa kiwango kikubwa cha uzalishaji wa gesi ukaa 2060.
 
Mabeberu kimoyo moyo wanasema bwawa linaharibu mazingira.

Ila mchina alivyo jeuri wanamuogopa
 
Wakati huo vichaa wa awamu ya sita ya watanzania walikuwa wanauponda mradi wa magufuli wa JNHEPP
 
Wakati huo vichaa wa awamu ya sita ya watanzania walikuwa wanauponda mradi wa magufuli wa JNHEPP

Hao waliokuwa wanauponda huo mradi walikuwa wanafaidika na shida ya umeme. Kampuni za gesi za mabeberu zilikuwa zinawapa rushwa
 
Serikali ya China inapanga kujenga bwawa la umeme lengine kubwa zaidi duniani mara tatu la sasa Three gorges dam lenye uwezo wa kuzalisha Megawatts 22,500 MW lilipo Yangtze River, Hubei province.
View attachment 3189569View attachment 3189570
Three Gorges Dam

Bwawa hilo jipya litakalo jengwa Yarlung Tsangpo river ndani ya Tibet litakuwa na uwezo wa kuzalisha umeme mara tatu ya bwawa la Three gorges litakuwa na uwezo wa kuzalisha 300 bilion kWh.

Serikali ya China imetenga budget ya dollar $127 Bln ambazo ni sawa na zaidi ya trillion 300 kwa fedha za kitanzania.

Ujenzi wa bwawa hili ni moja ya mipango ya serikali ya China ya kuondoa kiwango kikubwa cha uzalishaji wa gesi ukaa 2060.
Kwani hawa hela wanapata wapi wenzetu mbona hawakopi?
 
Kwani hawa hela wanapata wapi wenzetu mbona hawakopi?
China ni taifa namba mbili kiuchumi duniani.

Uchumi wake ni dollar trillion 18 wakati Tanzania dollar bilion 80
 
naendelea kuukubali uthubutu wa china.
Factors zote za ukamilishaji wa bwawa hilo wanazo.
  1. Wana uwezo wa kifedha kutekeleza mradi huo
  2. Wana uwezo wa kiteknolojia. Imethibitishwa kwa kukamlisha mradi wa three gorges
  3. Wana uwezo wa rasilimali watu, wana wasomi wengi sana kwenye fani za uzalishaji umeme wa nguvu ya maji
  4. Wana mahitaji ya umeme huo, ili waondokane na matumizi ya makaa ya mawe
 
Kwani hawa hela wanapata wapi wenzetu mbona hawakopi?

Hela unawapelekea wewe hapo na mimi.

Jitazame hapo ulipokaa unatumia vitu vingapi made in china

Kuanzia nguo ulizovaa, simu, vyombo vya nyumbani kwako.. na vifaa vya electronics vyote unavyomiliki kama Tv, friji etc

Ukiona neno made in china ujue wewe umewapa hela pia za kujenga bwawa lao
 
Back
Top Bottom