China inapanga kujenga bwawa la umeme kubwa zaidi

Sahihi
 
Kwetu wangesema imepitwa na wakati
 
Naona India inapiga kelele maana maana linajengwa karibu na mpaka wake halafu wanadai atafanya maji kuwa kidogo wakati wakulijaza.
Kama lile lingine walidai limetilt dunia kwa nyuzi kadhaa. Hili litaifanyaje
 
Naona India ina maana maana linajengwa karibu na mpaka wake halafu wanadai atafanya maji kuwa kidogo wakati wakulijaza.
Kama lile lingine walidai limetilt dunia kwa nyuzi kadhaa. Hili litaifanyaje
Sijui itakuwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…