CHINA: Kama marekani wanataka vita tupo tayari kwa hiyo vita

CHINA: Kama marekani wanataka vita tupo tayari kwa hiyo vita

Swali langu kwako ulitaka wachina wafanye nini kuhusu ziara ya Pelosi Taiwan ?
unajzma data au siyo hukumbuki china walionya marekani pelosi asiende taiwan na akienda watafanya ktu ambacho marekani hajui, sasa pelosi alikaidi na akaenda tunataka kujua china waliahidi kufanya ktu endapo pelosi angeenda walifanya nn au waliogopa au walifanya uchawi nk twambie sasa ule mkwala ulikuwa wa ktu gani.
 
unajzma data au siyo hukumbuki china walionya marekani pelosi asiende taiwan na akienda watafanya ktu ambacho marekani hajui, sasa pelosi alikaidi na akaenda tunataka kujua china waliahidi kufanya ktu endapo pelosi angeenda walifanya nn au waliogopa au walifanya uchawi nk twambie sasa ule mkwala ulikuwa wa ktu gani.
Walisema watafanya nini ?
 
Ila ni vita ya kibiashara, uwe unasoma na kuelewa pia fatilia kinacho endelea duniani

USSR
Ni ya kibiashara ndio ila ndio mititi inavyoanzaga.
Watu wanakutafutia angle ya kukutwanga.
 
Kachongewa kinyago tena kipi mdomoni mwake kabisa anakiogopa ndio aje amtunishie misuli mchongaji wa hicho kinyago?
 
Swali langu kwako ulitaka wachina wafanye nini kuhusu ziara ya Pelosi Taiwan ?
China Alisema Ataiangusha Helicopter Ya Nancy Pelosi
Na Hakuna Lolote Lilotokea Akatua Taiwan Akatubia
Baadaye Akaondoka Zake, Najua Unajua Kila Kitu
 
China Alisema Ataiangusha Helicopter Ya Nancy Pelosi
Na Hakuna Lolote Lilotokea Akatua Taiwan Akatubia
Baadaye Akaondoka Zake, Najua Unajua Kila Kitu
Duuh! hii kitu umepatiwa wapi wewe ?
 
Yaani mchina kweli akapigane na US? Si alivuliwa nguo pale Taiwan baada ya kupiga mikwara yake kwamba Peros asiingie Taiwan la sivyo watafanya kitu ambacho US hakutegemea? Mpaka leo kimya.
Hata Ukraine mlikuwa mnasema hivyo ila leo tunaona Marekani anatumia kila mbinu kuikimbia baada ya kuona mambo ni mazito.
 
unajzma data au siyo hukumbuki china walionya marekani pelosi asiende taiwan na akienda watafanya ktu ambacho marekani hajui, sasa pelosi alikaidi na akaenda tunataka kujua china waliahidi kufanya ktu endapo pelosi angeenda walifanya nn au waliogopa au walifanya uchawi nk twambie sasa ule mkwala ulikuwa wa ktu gani.
kwan USA inahaha kwasasa , au unahisi mpk wakuoneshee ndo ujue washafanya?
 
China kajifunza vita ya Ukraine, hivyo kutokana na umbali atakuwa kawekeza sana kwenye CM,BM,ICBM,HM
 
We Trump waache ache kwanza hao utaniharibia soko langu la nyama ya chura ntawapeleka wapi sasa mimi
 
Back
Top Bottom