Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama ukubwa ndo kuandka mapupu unayoandka haya wacha nizidi kuwa mtoto aiseeUtoto unakusumbua.
unajzma data au siyo hukumbuki china walionya marekani pelosi asiende taiwan na akienda watafanya ktu ambacho marekani hajui, sasa pelosi alikaidi na akaenda tunataka kujua china waliahidi kufanya ktu endapo pelosi angeenda walifanya nn au waliogopa au walifanya uchawi nk twambie sasa ule mkwala ulikuwa wa ktu gani.Swali langu kwako ulitaka wachina wafanye nini kuhusu ziara ya Pelosi Taiwan ?
Walisema watafanya nini ?unajzma data au siyo hukumbuki china walionya marekani pelosi asiende taiwan na akienda watafanya ktu ambacho marekani hajui, sasa pelosi alikaidi na akaenda tunataka kujua china waliahidi kufanya ktu endapo pelosi angeenda walifanya nn au waliogopa au walifanya uchawi nk twambie sasa ule mkwala ulikuwa wa ktu gani.
Ni ya kibiashara ndio ila ndio mititi inavyoanzaga.Ila ni vita ya kibiashara, uwe unasoma na kuelewa pia fatilia kinacho endelea duniani
USSR
China Alisema Ataiangusha Helicopter Ya Nancy PelosiSwali langu kwako ulitaka wachina wafanye nini kuhusu ziara ya Pelosi Taiwan ?
HakikaUtoto unakusumbua.
Hata Ukraine mlikuwa mnasema hivyo ila leo tunaona Marekani anatumia kila mbinu kuikimbia baada ya kuona mambo ni mazito.Yaani mchina kweli akapigane na US? Si alivuliwa nguo pale Taiwan baada ya kupiga mikwara yake kwamba Peros asiingie Taiwan la sivyo watafanya kitu ambacho US hakutegemea? Mpaka leo kimya.
vita ni akili , kwasasa USA iko hoiAingie taiwan hapo tuone nguvu zake kijeshi otherwise ni porojo tu khs trade war bidhaa za china soko lake kubwa ni marekani kuliko hata ndani ya china yenyewe.
kwan USA inahaha kwasasa , au unahisi mpk wakuoneshee ndo ujue washafanya?unajzma data au siyo hukumbuki china walionya marekani pelosi asiende taiwan na akienda watafanya ktu ambacho marekani hajui, sasa pelosi alikaidi na akaenda tunataka kujua china waliahidi kufanya ktu endapo pelosi angeenda walifanya nn au waliogopa au walifanya uchawi nk twambie sasa ule mkwala ulikuwa wa ktu gani.
If war is what the U.S. wants, be it a tariff war, a trade war or any other type of war, we’re ready to fight till the end.
View: https://x.com/ChineseEmbinUS/status/1897132043362034153?t=EuNZ0FBkTlx7WtaC44sJWg&s=19
Vita vya uchumi ni vibaya sana, nafuu mtutu wa bunduki.Kwani kimeandikwa nini hapo unajua kusoma kiingereza ?