CHINA: Kama marekani wanataka vita tupo tayari kwa hiyo vita

CHINA: Kama marekani wanataka vita tupo tayari kwa hiyo vita

Wamezungumzia aina yoyote ya vita iwe ni ya kibiashara au kuzichapa kabisa
We mchina mweusi mbona Trump kaputa mchanga tayari kwa pambano huyo china kama mwanaume kweli apute basi sio kuongea hakiwa chumbani wakati mwanaume mwenzie yupo nje anamsubiri alafu acha ufala siku siku nyingine
 
We mchina mweusi mbona Trump kaputa mchanga tayari kwa pambano huyo china kama mwanaume kweli apute basi sio kuongea hakiwa chumbani wakati mwanaume mwenzie yupo nje anamsubiri alafu acha ufala siku siku nyingine
Hakuna vita inayopiganwa bila sababu
 
Duuh! hii kitu umepatiwa wapi wewe ?
sidhan kama una akili timamu ww au pengne tupo humu tunabshana AI za mchongo toka china maana eti unajdai hujui china alionya nn khs pelosi kutua taiwan halafu mtu usiyejua hata hii taarifa ndogo bado unataka tuendelee bshana humu kweli ww na mumeo humu anayejiita xi jiping mko humu kmkakati kutetea china tu mkibanwa ndo mnajdai hamjui taarifa hiyo enyi wachina boko bunju ni nani amewaloga.
 
vita ni akili , kwasasa USA iko hoi
mwambien china aitwae taiwan kama yeye ana akili kwelikweli, ajabu ewe mchina wa mbagala unajua marekani yuko hoi kivita ila wachina wnyw hawathubutu kumgusa taiwan hata kwa kumtemea mate tu ksa analindwa na marekani.
 
kwan USA inahaha kwasasa , au unahisi mpk wakuoneshee ndo ujue washafanya?
twambie marekani anahaha na nn naona unandka mapupu tu hakuna fact marekani anahaha wkt china anaogopa kurusha hata jiwe hapo taiwan ksa huyo unayesema ana haha.
 
ok asante kwa porojo haya mwambieni aingie taiwan sasa kumbe jeshi la chini sasa ni hatari vp la marekani lenyewe bado lipo vilevile eti eeeh
Ha ha haa nakumbuka kauli kama hizi miaka mitatu iliyopita tulikua tunazisoma kua mwambieni Urusi aivamie Ukraine mtaijua USA .
Leo hii nafurahia kabisa kushuhudia Rais wa USA anatafuta amani na Urusi kupitia meza ya mazungumzo.
Ila naziheshimu sana Hollywood movies.
 
Marekani hawezi ingia vitani kisa sick https://jamii.app/JFUserGuide mmoja tu. Wamuondoa au wasubiri amalize muda wake asepe Ili maisha yaendelee
 
Ha ha haa nakumbuka kauli kama hizi miaka mitatu iliyopita tulikua tunazisoma kua mwambieni Urusi aivamie Ukraine mtaijua USA .
Leo hii nafurahia kabisa kushuhudia Rais wa USA anatafuta amani na Urusi kupitia meza ya mazungumzo.
Ila naziheshimu sana Hollywood movies.
Mh hakuna taifa lingependa kupigana na Marekani, kwanza ili iweje, elewa hivyo. Mchina hapo anafanya diplomasia za kiaina yake.

Jamaa walipo unachoweza kufanya ni resistance tu katika mambo yake ambayo unaona yanakuumiza. Vinginevyo taifa litaishia kusema kama Sadam (R.I.P) "wakivuka mstari mwekundu nawamaliza",mwishowe unakimbia kama ni kiongozi wa taifa husika.
 
Wataiwan ni Wachina waliokimbilia kwenye kisiwa hicho baada ya mapinduzi

Kwa hiyo ni ndugu zao kuwavamia kijeshi sio kipaumbele cha China, kipaumbele cha China ni peaceful re-unification

Na ndio maana China inawapinga sana separatists walioko Taiwan na wala sio raia wa Taiwan

Marekani ndiyo inataka China ingie Taiwan kivita, ndio maana haiishi chokochoko kwa China juu ya Taiwan

Umeona tofauti ya akili ya Mchina na warmonger state U.S
Hata Wayukrein ni ndugu na Warusi lakini walivamiwa, Korea kusini na Kaskazini ni ndugu lakini kila siku kinawaka
 
unajzma data au siyo hukumbuki china walionya marekani pelosi asiende taiwan na akienda watafanya ktu ambacho marekani hajui, sasa pelosi alikaidi na akaenda tunataka kujua china waliahidi kufanya ktu endapo pelosi angeenda walifanya nn au waliogopa au walifanya uchawi nk twambie sasa ule mkwala ulikuwa wa ktu gani.
Mikwala ni kitu Cha kawaida sana Kwa mataifa na wasipochukua hatua Haina maana kwamba Haina nguvu la hasha, rejea mikwara ya marekani kuvamia kijeshi dhidi ya Korea kaskazini Kwa Korea kufanya majaribio ya vyuma vyake vya ICBM, Je marekani kuvamia!?
 
Back
Top Bottom