MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Ndio jibu la hoja iliyopo mezani?
Hii hoja huwa mko nayo tangu 2018 na jibu letu ni hilo hilo, tutaendelea kuwacheka mpaka mchoke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio jibu la hoja iliyopo mezani?
HahaaaaaaaaaaaaBut Kenya is a powerhouse of Africa, with huge gdp, they also speak English.
Mkuu wala china hawachukui kimabavu bali ni upuuzi wa viongoziMkuu,jibu hoja, hilo gazeti hayo maneno tumeyaandika sisi?
Acha viroja na hasira,jibu hoja mbona kama unapanic broo?
Unafikiri mwerevu kama mimi naweza kufurahia mali ya mwafrika imilikiwe na asiye mwafrika kimabavu kama wanavyotaka kufanya hao wachina?
Mikataba inayoingiwa na hawa viongozi nashindwa kuelewa walifungwa macho wasione maandishi au upuuzi wa kupewa chochote ili wawauze wananchi,ngozi nyeusi ina shida kubwa mnoMkuu wala china hawachukui kimabavu bali ni upuuzi wa viongozi
Habari imesukumiziwa na blog mzee,usipuuzie habari hizi mkuuKwa hilo gazeti umeona wameandika anything kuhusu bandari ya Mombasa kuchukuliwa? vilaza kwa ubora wao
Bado hujajibu swali langu ndugu,rejea swali langu halafu uje tena kunijibu.Swali haliwezi kujibiwa unavyotaka wewe, unajibiwa kama lilivyo, nimefanya kukukumbushia tu kwamba mumejaza server za watu na hizi story lakini sisi tunaendelea kupiga hela za SGR na deni linaendelea kupungua....
Nyie huko miaka kadhaa sasa tangu muambiwe mtaanza kutumia SGR na mpaka leo bado Mturuki anachimba mahandaki huko keshajichukulia hela mpaka basi.
Ona mnavyotesa wasafiri jameni...bibi na ndala anahangaika kupitia dirishani, maisha ya dhiki sana hayo.
![]()
Bado hujajibu swali langu ndugu,rejea swali langu halafu uje tena kunijibu.
Hivi ndiyo elimu ya kenya mnayoisifu kuwa ni bora ndio hii hata kujibu swali uliloulizwa tu imekuwa mtihani,kweli??
Telling the truth is not a crimeHehehe nawacheka sana mnavyohangaika kusubiri tushindwe, mumefungua nyuzi humu za Mchina kuchukua bandari tangu 2018....hehehe hadi raha.
Sisi tunateleza kwa SGR na sasa imeungwa hadi mjini kati, kwenu huko Mturuki bado anachimba mahandaki, hata kasafu ka Dar-Moro mlikua muanze kutumia miaka kadhaa imepita bado ni stori.
Nyie huko ndio tumezoea vituko vya mindege yenu kukamatwa kisa mumeshindwa kulipa hela ya watu...
Sawa,kafie mbele basiNmekuambia sikujibu utakavyo, unajibiwa kama ilivyo, jibu mnalo tangu mlipoanzisha hizi hoja 2018 na haiji siku tubadilishe, tutaendelea kuteleza kwa SGR huku mkilialia.
Mweleze KikweteWatchina sio Taifa la kubeza kwani ni wababe haswa na wakiamua hakuna wa kuwafanya kitu
Hawakukurupuka na tatizo ni viongozi waroho wanaoingizwa mkenge kwa tamaa zao
China anahodhi mpaka sehemu kubwa ya bahari huko kwao na wanamuogopa haswa majirani zake
Sisi tunakaa kumsema eti vitu fake wakati sisi ndio tunaishi maisha fake
Africa itabebwa na China kama tusipoangalia
Telling the truth is not a crime
Mweleze Kikwete
There is a say which says "Lisemwalo lipo kama halipo laja" akili ya kuambiwa changanya na ya kwako.Hizi hapa nyuzi huwa mnafungua kuhusu bandari yetu kuchukuliwa na Wachina, mlianza kuandika 2018, mkaandika 2019 sasa naona mumekurupuka tena mwaka huu, ila SGR yetu inapiga hela na deni tunaendelea kupunguza....
Bandari ya Mombasa kuchukuliwa na China? Mtego wa mchina umenasa
Kama ilivyo kwa Zambia kukubali kuachia uwanja wake mkubwa wa taifa kwa kushindwa kulipa deni, Kenya pia inaweza kuingia mtego huu kwa kushindwa kulipa deni lake na haki-mufilisi inaangalia bandari kubwa ya Mombasa kuwa chini ya China Has Kenya too fallen for China's debt trap?www.jamiiforums.com
Benki ya Exim ya China kuichukua bandari ya Mombasa endapo Kenya itashindwa kurejesha mkopo iliochukua ili kujenga reli ya kisasa (SGR)
Benki ya Exim ya China huenda ikaichukua Bandari ya Mombasa, endapo #Kenya itashindwa kurejesha mkopo iliochukua ili kujenga reli ya kisasa (SGR). Kenya ilikopa TZS trilioni 7.2 kwa ajili ya reli hiyo mwaka 2013. ========== Chinese may take over Mombasa port: Ouko The Daily Nation SUMMARY The...www.jamiiforums.com
Unapiga hela na SGR wakati mafuta bei imepanda!!!!!Swali haliwezi kujibiwa unavyotaka wewe, unajibiwa kama lilivyo, nimefanya kukukumbushia tu kwamba mumejaza server za watu na hizi story lakini sisi tunaendelea kupiga hela za SGR na deni linaendelea kupungua....
Nyie huko miaka kadhaa sasa tangu muambiwe mtaanza kutumia SGR na mpaka leo bado Mturuki anachimba mahandaki huko keshajichukulia hela mpaka basi.
Ona mnavyotesa wasafiri jameni...bibi na ndala anahangaika kupitia dirishani, maisha ya dhiki sana hayo.
![]()
Power house on paper [emoji28][emoji28]But Kenya is a powerhouse of Africa, with huge gdp, they also speak English.