China kuchukua bandari ya Mombasa kufidia Deni lao kwa Serikali ya Kenya

China kuchukua bandari ya Mombasa kufidia Deni lao kwa Serikali ya Kenya

vichekesho unachukua mkopo kulipa mkopo
hapo hamna cha maana zaidi wanajua watashindwa so wacontrol hyo bandari tu 😛😛😛😛africa sisi tumelongwa unapewa karatasi wao wanachukua ardhi
 
Mkuu,jibu hoja, hilo gazeti hayo maneno tumeyaandika sisi?

Acha viroja na hasira,jibu hoja mbona kama unapanic broo?

Unafikiri mwerevu kama mimi naweza kufurahia mali ya mwafrika imilikiwe na asiye mwafrika kimabavu kama wanavyotaka kufanya hao wachina?
Mkuu wala china hawachukui kimabavu bali ni upuuzi wa viongozi
 
Iimeandikwa wapi China kuchukua...blah blah, ama ni yale mnaomba ya fanyike.., Kenya sio size yenu ata mkulima anashika ndege.., [emoji23] [emoji23]
Andika vizuri ueleweke bro "ata mkulima anashika ndege" maana yake nini?
 
Mkuu wala china hawachukui kimabavu bali ni upuuzi wa viongozi
Mikataba inayoingiwa na hawa viongozi nashindwa kuelewa walifungwa macho wasione maandishi au upuuzi wa kupewa chochote ili wawauze wananchi,ngozi nyeusi ina shida kubwa mno
 
Swali haliwezi kujibiwa unavyotaka wewe, unajibiwa kama lilivyo, nimefanya kukukumbushia tu kwamba mumejaza server za watu na hizi story lakini sisi tunaendelea kupiga hela za SGR na deni linaendelea kupungua....
Nyie huko miaka kadhaa sasa tangu muambiwe mtaanza kutumia SGR na mpaka leo bado Mturuki anachimba mahandaki huko keshajichukulia hela mpaka basi.
Ona mnavyotesa wasafiri jameni...bibi na ndala anahangaika kupitia dirishani, maisha ya dhiki sana hayo.
2938414_Screenshot_20210922-210732_Instagram.jpg
Bado hujajibu swali langu ndugu,rejea swali langu halafu uje tena kunijibu.

Hivi ndiyo elimu ya kenya mnayoisifu kuwa ni bora ndio hii hata kujibu swali uliloulizwa tu imekuwa mtihani,kweli??
 
Bado hujajibu swali langu ndugu,rejea swali langu halafu uje tena kunijibu.

Hivi ndiyo elimu ya kenya mnayoisifu kuwa ni bora ndio hii hata kujibu swali uliloulizwa tu imekuwa mtihani,kweli??

Nmekuambia sikujibu utakavyo, unajibiwa kama ilivyo, jibu mnalo tangu mlipoanzisha hizi hoja 2018 na haiji siku tubadilishe, tutaendelea kuteleza kwa SGR huku mkilialia.
 
Hehehe nawacheka sana mnavyohangaika kusubiri tushindwe, mumefungua nyuzi humu za Mchina kuchukua bandari tangu 2018....hehehe hadi raha.
Sisi tunateleza kwa SGR na sasa imeungwa hadi mjini kati, kwenu huko Mturuki bado anachimba mahandaki, hata kasafu ka Dar-Moro mlikua muanze kutumia miaka kadhaa imepita bado ni stori.
Nyie huko ndio tumezoea vituko vya mindege yenu kukamatwa kisa mumeshindwa kulipa hela ya watu...
Telling the truth is not a crime
 
Watchina sio Taifa la kubeza kwani ni wababe haswa na wakiamua hakuna wa kuwafanya kitu
Hawakukurupuka na tatizo ni viongozi waroho wanaoingizwa mkenge kwa tamaa zao

China anahodhi mpaka sehemu kubwa ya bahari huko kwao na wanamuogopa haswa majirani zake
Sisi tunakaa kumsema eti vitu fake wakati sisi ndio tunaishi maisha fake

Africa itabebwa na China kama tusipoangalia
Mweleze Kikwete
 
Telling the truth is not a crime

Mbona mumepunguza kiherehere, uzi kama huu mnamo 2018 mlitiririka sana mpaka ukaenda kurasa nyingi sana, raundi hii naona mumefifia hadi sasa tupo kurasa tatu tu. Check hapa mlivyotiririka enzi hizo...kwa kweli mnateseka

 
The moment wanaachukua
Know mizigo yote ya east africa itapitia huko
Coz wa china wana contract nyingi Africa
 
Mweleze Kikwete

Yeye ataondoka duniani kama waliotangulia na sisi pia ila watakaopata shida ni Taifa la kesho

Bila kuzuia haya sasa tutabaki kulalamikia baadhi ya watu au chama

Kwa maneno hatujambo ila vitendo zero

Huko Somalia walikwenda Wacanada wakiwa na wenyeji wao kutoka Canada ila kwenda kupima na kufanya utafiti wa madini kwenye milima
Ila watoto wa Baba walienda wakachoma ndege yao moto
Hakuna mkanada wala nani aliesogea tena
Vijana walipoulizwa wakasema sisi tuna yetu na wao wanataka kuja kuiba
 
Hizi hapa nyuzi huwa mnafungua kuhusu bandari yetu kuchukuliwa na Wachina, mlianza kuandika 2018, mkaandika 2019 sasa naona mumekurupuka tena mwaka huu, ila SGR yetu inapiga hela na deni tunaendelea kupunguza....


There is a say which says "Lisemwalo lipo kama halipo laja" akili ya kuambiwa changanya na ya kwako.
 
Swali haliwezi kujibiwa unavyotaka wewe, unajibiwa kama lilivyo, nimefanya kukukumbushia tu kwamba mumejaza server za watu na hizi story lakini sisi tunaendelea kupiga hela za SGR na deni linaendelea kupungua....
Nyie huko miaka kadhaa sasa tangu muambiwe mtaanza kutumia SGR na mpaka leo bado Mturuki anachimba mahandaki huko keshajichukulia hela mpaka basi.
Ona mnavyotesa wasafiri jameni...bibi na ndala anahangaika kupitia dirishani, maisha ya dhiki sana hayo.
2938414_Screenshot_20210922-210732_Instagram.jpg
Unapiga hela na SGR wakati mafuta bei imepanda!!!!!
 
Back
Top Bottom