China kuchukua bandari ya Mombasa kufidia Deni lao kwa Serikali ya Kenya

China kuchukua bandari ya Mombasa kufidia Deni lao kwa Serikali ya Kenya

Nmekuambia sikujibu utakavyo, unajibiwa kama ilivyo, jibu mnalo tangu mlipoanzisha hizi hoja 2018 na haiji siku tubadilishe, tutaendelea kuteleza kwa SGR huku mkilialia.
Hii SGR yenu mnatumia umeme kuendesha train au mafuta ya diesel?
 
Hiyo ndo habari ya mjini tulikuwa tunasikia tuu huko zambia wachina wameshika airport kwaajili ya deni sasa limemkuta jirani. Tuwe makini na wakopeshaji hawa wanaoganga njaa kama uchina.
View attachment 1948738View attachment 1948739


Mpunguze propaganda za kijanja, Umepiga screenshot kichwa cha habari kutoka BD- Business Daily (gazeti la kuaminika na kutambulika) ikionyesha kwamba Kenya inapanga kuchukua loan ya IMF ambayo iko na interest ndogo kulipa loan ya China. Taarifa hio ya BD haijataja lolote kuhusu bandari ya Mombasa, imeongelea tu deni la kutoka China linafaaa kulipwa mwaka huu..



Alafu ukaenda ukachukua screenshot ya pilikutoka blogsite ya Kenya-post na kuipachika hapo chini yake




Kwa kifupi hii blogsite ilichukua taarifa ya BD na kuongezea chumvi lakini ukweli ni kwamba hakuna mipango yoyote kutoka China kuhusu bandari ya Mombasa .......
Kenya imelipa madeni takriban $8 Billion mwaka huu wa 2021, tulichokua tunaomba kutoka China ni kwamba deni lao la $500 million lisukumwe mbele kwa miezi sita ili tutumie hizo hela kuregesha uchumi mahali sawa.... lakini China wamesema hilo haliwezekani manake tayari walikua washaturuhusu tuskume hilo deni kwa miezi sita pale janga la corona lilipoingia Kenya, so lazima tulipe on time bila kukosa.... Hii ndo maana Kenya imeamua njia moja wepo ni kutumia hela za IMF kumlipa mchina.........

Kwa kifupi ondoa mambo ya bandari ya Mombasa... Bandari ya Mombasa iko na wenyewe.
 
Mkamuombe msamaha David Ndii. Maana siyo kwa matusi yale aliyotupiwa.
 
Waangalie sana bagamoyo
Tatizo la viongozi wetu wa kiafrika au hapa Tanzania ndiyo hawa wakina zitto na genge lake wanaopigania bandari ya bagamoyo ijengwe na Chinese kwa makubaliano ya kihafidhina.
 
Yaani mkopo mwingine toka IMF ili kuwalipa hawa wavimba macho!!! 😳😳😳
😄🤣😂
Ndo nashangaa..
Kwa nini tangu mwanzo Kenya hawakukopa iMF?
Muda si mrefu Kenya inaeza kuwa koloni kamili la hao wachina!!!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
There is a say which says "Lisemwalo lipo kama halipo laja" akili ya kuambiwa changanya na ya kwako.

Miaka kadhaa sasa mkisema hicho hicho huku tukiendelea kupunguza deni na kuteleza kwa SGR wakati kwenu hata hamjui SGR ni kitu gani.
 
Mpunguze propaganda za kijanja, Umepiga screenshot kichwa cha habari kutoka BD- Business Daily (gazeti la kuaminika na kutambulika) ikionyesha kwamba Kenya inapanga kuchukua loan ya IMF ambayo iko na interest ndogo kulipa loan ya China. Taarifa hio ya BD haijataja lolote kuhusu bandari ya Mombasa, imeongelea tu deni la kutoka China linafaaa kulipwa mwaka huu..



Alafu ukaenda ukachukua screenshot ya pilikutoka blogsite ya Kenya-post na kuipachika hapo chini yake




Kwa kifupi hii blogsite ilichukua taarifa ya BD na kuongezea chumvi lakini ukweli ni kwamba hakuna mipango yoyote kutoka China kuhusu bandari ya Mombasa .......
Kenya imelipa madeni takriban $8 Billion mwaka huu wa 2021, tulichokua tunaomba kutoka China ni kwamba deni lao la $500 million lisukumwe mbele kwa miezi sita ili tutumie hizo hela kuregesha uchumi mahali sawa.... lakini China wamesema hilo haliwezekani manake tayari walikua washaturuhusu tuskume hilo deni kwa miezi sita pale janga la corona lilipoingia Kenya, so lazima tulipe on time bila kukosa.... Hii ndo maana Kenya imeamua njia moja wepo ni kutumia hela za IMF kumlipa mchina.........

Kwa kifupi ondoa mambo ya bandari ya Mombasa... Bandari ya Mombasa iko na wenyewe.

Huu uzi umepungua kasi, walikua wamekuja na kiherehere kama zile nyuzi zingine wamekua wakifungua tangu 2018 zinazohusu hii bandari kuchukuliwa na Mchina.
 
Majirani wanalaana ,wanachukua loan badala ya kuwekeza kwenye miradi ya kurudisha pesa, wao wanakula.

Ngoja chinese wawanyooshe hiyo bandari ikichukuliwa hao sura ngumu kwisha habari yao
 
[https://pbs]

Tanzania Updates

@TanzaniaUpdates

EAC DEBT PROFILE: #Tanzania enjoys a low level of both internal and external overall debt distress. Kenya leads the region with high-level debt distress, followed by Rwanda & Uganda. Tanzania's debt servicing cost to export ratio has not crossed the IMF and WB threshold of 21%
 
Tatizo si uchina Bali vichwa boga tunaowakabidhi madaraka.juzi kuna kichwa water mmoja alikanusha kuwa wachina hawana nia ya kutupiga
 
Hawa waliondika Hii mikataba walibobea au walirubuniwa?

Jpm alionyesha viongozi wa africa namna ya kuingia mikataba hata Viongozi wa Kenya wamepata somo .
 
Back
Top Bottom