China Kufadhili Ujenzi SGR Mwanza -Isaka

Hao hao china si ndio hutoa nguo za ccm?
Kuna gazeti limeandika china kugawa mitungi ya gesi ya majumbani kuunga juhudi za SSH.
 
China walikubali kujengela reli yote ya kati, mpaka kigoma, mwanza, mwanza, rwanda na burundi, hii ilikuwa awamu ya nne, awamu ya tano akaja JPM akaanza kuvuruga, anaenda kukopa kwenye vikoba ajenge reli kwa riba ya kibiashara, na mkopo kuanza kulipwa baada ya mwaka. Hovyo kabisa
 
Tanzania na mchi nyingi afrika kiujumla, ni kama demu mzuri mwenye msambwanda lakini kichwani hana akili, sehmu za siri zinateseka, kuja kutahamaki meno kaifikia watoto 6, kila mtoto na baba yake, na pande zote zishatumika.

Ni kama tumelaanika vile, kutwa kuomba misaada, lakini viongozi hawana jitihada zozote zile, matumizi yao hayaendani na shida za tanzania.
 
Sina Imani na serikali yangu
 
Mbona waTz mnataka kucheza na akili zetu sana nyie?

Sijui mwaka jana ama mwaka juzi ule, Nchemba alitutangazia kutiliana sahihi kuingia mikataba ya ubia na Italy kuendeleza ujenzi huo.

Leo tena kawa mChina!

Ina maana fedha za Mtaliano zilipigwa au zilifanya kazi gani?

Mwakani tena tutasikia habari za SGR hiyo hiyo Mwanza-Isaka kukopewa fedha eneo jingine.

Sasa awamu ya kujenga vipande vingine vilivyoainishwa katika kuunganisha EAC, ya Burundi na DRC itakuja kufanyika kweli!

Huu mwemdo wa konokono katika ujenzi wa miradi baada ya kifo chaJPM unabarikiwa na nani?

Na kama imeshindikana kwanini msilitangazie taifa tukaondoa mind set zetu katika jambo hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…