China life tight sana

China life tight sana

Halafu wajingawajinga watakuambia mpinzsni wa chins ni USA hahaha
Umasikini upo kote kote hata US. Hii video tazama huyo dada anasema hadi diaper anaitumia mara mbili mbili yani akiitumia huku ikachafuka anaigeuza.
View: https://m.youtube.com/watch?v=5i45h76ioHY&pp=ygUVUG9vciBwZW9wbGUgaW4gdGhlIFVT
Hawa wanategemea watu wawape misaada ya chakula.
Ni nchi chache kama sana kama Bahrain ambapo ndipo hakuna umasikini wa hivi wa watu kukosa basic needs. With over a billion people ni ngumu sana masikini kukosa china compared to US ambaye ana population ya 200 milion + lakini bado pia ana masikini
 
Umasikini upo kote kote hata US. Hii video tazama huyo dada anasema hadi diaper anaitumia mara mbili mbili yani akiitumia huku ikachafuka anaigeuza.
View: https://m.youtube.com/watch?v=5i45h76ioHY&pp=ygUVUG9vciBwZW9wbGUgaW4gdGhlIFVT
Hawa wanategemea watu wawape misaada ya chakula.
Ni nchi chache kama sana kama Bahrain ambapo ndipo hakuna umasikini wa hivi wa watu kukosa basic needs. With over a billion people ni ngumu sana masikini kukosa china compared to US ambaye ana population ya 200 milion + lakini bado pia ana masikini

The US population is slightly over 330 million people so please be informed accordingly.
 
The difference is too huge. Kwa nini isiwe 300 milion+ basi ilete sense.
As long as ni 200+ hata 300 imo tu. Sikuwa na speciric figure but the last time I checked years ago walikuwa around 250+ ndio maana nikatumia 200+
 
Halafu wajingawajinga watakuambia mpinzsni wa chins ni USA hahaha
Wewe ndie mjinga zaidi. Umeandika nini sasa ?
20230731_234928.jpg
 
Umaskini upo kila sehemu ya dunia hii.

Kuna maisha watanzania wanaishi huwezi vumilia hata kwa dakika moja.

Kwa hiyo tufahamu hivyo.
 
Back
Top Bottom