CHINA: Marekani iwajibike kwa kueneza UKIMWI Duniani na seasonal flue mwaka 2009 maana chimbuko la H1N1 na UKIMWI ni Marekani

It is up to Everyone. Stop buying anything that comes out of CHINA. Only people can boycott them by NOT buying their crap and putting pressure on companies that do by putting them out of business.
 
Hawa mabeberu wanakata tawi walilolikalia kwa tamaa za u-superpower, ona sasa dunia inasambaratika tunakosa wote
 
Truth be told; China walifanya uzembe kwenye ku-handle hili tatizo. Wangekuwa wawazi tangu mwanzo huenda hali isingeharibika kiasi hiki.
 

Na ndo maana mwanzoni nilianza kwa Kusema "Atleast" Marekani inafanya Kitu Kufidia kosa Lao. Atleast. Unaona kabisa they are doing something kama kutoa pole for what they did.

Na ni msaada ndio, kwani mkuu US ingeamua kuignore kutotoa Hizo Arv Bure na elimu juu ya ukimwi waafrika wangefanya Nini? Tungejipanga tungeenda Kuwapiga? Tungeishia kulalamika tu. Kumbuka hizo ela ni kodi za wa wamarekani. Ni wameamua tu.
 
Mchina hamfahamu Mmarekani vizuri. Marekani ataacha historia mbaya sana kwa China ,muda utasema
 
It is up to Everyone. Stop buying anything that comes out of CHINA. Only people can boycott them by NOT buying their crap and putting pressure on companies that do by putting them out of business.
Hizi ni dalili kuwa umevalia chupi "made in china".
 
USA anapora kila mahali na kuchochea vita ili aibe rasilimali hasa madini, gesi asilia na mafuta. Na Afrika ndiye muathirika mkuu wa huu wizi na mauaji.

Tatizo la binadamu mweusi ni msahaulifu na mjinga.
 
Mzee hizo Points ni za darasa la tano huko kipindi hicho akili haijakua ndo points tulizokuwa tunatumia kuonekana Bright mbele ya umma.

Hata Tanzania mkiwa Superpower Mtafanya The Same Anayofanya Marekani and Maybe Even Worse. Ni nature ya Dunia ilivyo. "Survival Of the Fittest". Kwani waafrika wenyewe kwa wenyewe hamuibiani? Rwanda anafanya Fitna Gani pale Uganda? Sasa ukiwa wa hovyo hovyo utatengeneza Chuki ya Bure uumwe vidonda vya tumbo kumbe ndo mfumo wa Dunia.





USA anapora kila mahali na kuchochea vita ili aibe rasilimali hasa madini, gesi asilia na mafuta. Na Afrika ndiye muathirika mkuu wa huu wizi na mauaji.

Tatizo la binadamu mweusi ni msahaulifu na mjinga.
 
Aisee hizi sasa ndio faida za Corona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…