pandagichiza JF-Expert Member Joined Jul 9, 2013 Posts 5,248 Reaction score 3,663 Feb 3, 2024 #21 Ndio ilivyo katika mambo ya teknolojia. Hata gari ya Toyota kwa mfano, siyo kila kitu katengeza yeye
sam2000 JF-Expert Member Joined Aug 11, 2011 Posts 528 Reaction score 337 Feb 3, 2024 #22 pandagichiza said: Ndio ilivyo katika mambo ya teknolojia. Hata gari ya Toyota kwa mfano, siyo kila kitu katengeza yeye Click to expand... Jamaa kambilia tu kupost bila kutumia ubongo kidogo tu kufikiri. Hii dunia hakuna nchi hata moja ambayo vifaa vyote ni vyao. Fungua tu hata karedio kidogo uone OEMs walivyojaa humo. Uskute jamaa ana Iphone kabisa lakini check hii, amemuona USA hapo?
pandagichiza said: Ndio ilivyo katika mambo ya teknolojia. Hata gari ya Toyota kwa mfano, siyo kila kitu katengeza yeye Click to expand... Jamaa kambilia tu kupost bila kutumia ubongo kidogo tu kufikiri. Hii dunia hakuna nchi hata moja ambayo vifaa vyote ni vyao. Fungua tu hata karedio kidogo uone OEMs walivyojaa humo. Uskute jamaa ana Iphone kabisa lakini check hii, amemuona USA hapo?