China na Tanzania zashindwa kuafikiana kwenye ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, Ujenzi wakwama

China na Tanzania zashindwa kuafikiana kwenye ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, Ujenzi wakwama

Hatuna haja nna bandari ya Bagamoyo! Hongera Magufuli kwa hili! Hata kama gharama ingekua chini ya milioni mia za kitanzania!! Hapa Jk alikuwa anatengeneza mkeka wake wa kupumzikia! We miss you JK!
I hope utampongeza pia utaposikia tumeburuzwa mahakamani kwa kuvunja mkataba. CCM ni ile ile ya kifisadi na mashabiki wake ni mazuzu wale wale
 
I hope utampongeza pia utaposikia tumeburuzwa mahakamani kwa kuvunja mkataba. CCM ni ile ile ya kifisadi na mashabiki wake ni mazuzu wale wale
Hahahaa mkuu jasusi don't catch the stick inna wrong end! Hiyo pongezi nimeirusha kwa nyuma, with no proper target!
 
Hao Oman ni kama chambo tu kwenye huo mradi, China angekuja kutudhulumu kama kawaida yao, ingekuja kuwa chini ya hawa Whitedog wa china kwa miaka 200.......
Naona Oman walikuwa wajenge ya Zanzibar ila naona kuna ubano zaidi hapo
Wachina hata kisima cha nyumbani nisingewapa wanijengee maana malipo yakichelewa tu wanachukua nyumba yote
Hawafai na mikataba yao inatakiwa iangaliwe vizuri sana na sio kusaini tu kama tulivyozoea.
Kwa kweli serikali imejitahidi kwa hili maana bora kusema siwezi kusoma page 200 zote kuliko kusaini tu
Waswahili wengi hawapendi kusoma maandishi mengi [emoji23]
 
Naona Oman walikuwa wajenge ya Zanzibar ila naona kuna ubano zaidi hapo
Wachina hata kisima cha nyumbani nisingewapa wanijengee maana malipo yakichelewa tu wanachukua nyumba yote
Hawafai na mikataba yao inatakiwa iangaliwe vizuri sana na sio kusaini tu kama tulivyozoea.
Kwa kweli serikali imejitahidi kwa hili maana bora kusema siwezi kusoma page 200 zote kuliko kusaini tu
Waswahili wengi hawapendi kusoma maandishi mengi [emoji23]
Naskia hii mikataba walio isaini ni aibu ndiyo maana imekuwa ikifichwa, unaletewa mikataba yenye page 500 mtu anabaki akiangalia picha kama vile kusoma vichwa vya magazeti kwenye yale maandishi makubwa....
 
Naskia hii mikataba walio isaini ni aibu ndiyo maana imekuwa ikifichwa, unaletewa mikataba yenye page 500 mtu anabaki akiangalia picha kama vile kusoma vichwa vya magazeti kwenye yale maandishi makubwa....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu wamejazwa ma PhD holders kila sekta lakini hata ukiwaambia wakuambie kwa ufupi tu mikataba hiyo inasemaje hawaelewi

Ni aibu kubwa sana ukiangalia tuna wasomi bogus
 
Haya ni maamuzi machache ambayo huwa nakubaliana na serikali ya Magufuli. Huu miradi niliuponda sana enzi za JK na ningeshangaa iwapo serikali hii ya Magufuli wangekubaliana na huo utapeli.
 
Hao Oman ni kama chambo tu kwenye huo mradi, China angekuja kutudhulumu kama kawaida yao, ingekuja kuwa chini ya hawa Whitedog wa china kwa miaka 200.......
Wangedai mbuga ya Serengeti iwe dhamana. Kwa uamuzi huu viva Magufuli
 
Sijawahi kuona sababu ya kujenga bandari mpya bagamoyo. Naona ulikuwa ufujaji na matumizi mabaya ya madaraka.
Tuna vipaumbele vingi na vya msingi kama nchi. Kwa sasa tuboreshe bandari zilizopo.
 
Nilivyosikia kwenye mkataba mchina alitaka bandari ikiisha haiendeshe kwa MIAKA 50.wa msoga alikubali ila wa chato kaweka kichwa ngumu.
 
Hatuna haja nna bandari ya Bagamoyo! Hongera Magufuli kwa hili! Hata kama gharama ingekua chini ya milioni mia za kitanzania!! Hapa Jk alikuwa anatengeneza mkeka wake wa kupumzikia! We miss you JK!
Sio kweli.
Bandari ya bagamoyo ingekuwa kubwa kuliko zote. Tunahitaji bandari bagamoyo tatizo hela hatuna na wafadhili wanataka wakijenga waiendeshe miaka 50.
Kama bandari ingejengwa mji wa bagamoyo ingekuwa sanaaa. Na maendeleo yangekuwa makubwa
 
We dont know the projection on the other side of multiplier effect ya economic zone nje ya port kama railway and so forth.

Kama wachangiaji inapaswa tujue hiyo hela inawekezwa wapi na kipi mchina atashikilia, what not and what are the returns.

It might be a good deal or a bad lakini sio kwa uchambuzi wa wataalamu wa serikari hawa ni watu ambao awaelewi dreamliner kwa mwaka inatakiwa itengeneze si chini ya $20ml of gross profit annual to break even kuonyesha hela ya walipa kodi aijaenda bure. Ndege yenyewe ndio kwanza imepaki mpaka na wanafikiria iende wapi ina maana kwa mwaka ime loose hizo hela, sasa kwa fikra za hawa wenzetu ni swala ambalo alikubaliki in investment terms.

Kwa mtazamo huo wasidhani watu watatumia hela zao bila ya kuangali return of investment kama wataalamu wetu wanavyochukulia hela ya mlipa kodi poa. Kwa minajili hiyo ili mtu uwe na opinion tumeonewa kimkataba au la; walau upate preambles za mkataba.

Shart mmoja wapo lilikuwa kuto expand bandari yoyote nyungine kama Dar port , kitu ambacho mpaka sasa serikali imeshakiuka tayari maana bandari ya dar ikwenye upanuzi
 
Duh,yaani mitrilioni yote hyo wakati tuna bandari za Dar,Mtwara, na Tanga???

Bora hizo pesa zingewekezwa kwenye miundombinu ya umwagiliaji huenda zingeleta tija na matokeo chanya baada ya muda mchache tu.

Ukizingatia nchi yetu imebarikiwa kuwa na mabonde mazuri kabisa yenye rutuba.

Bora tu wameshindwa kuafikiana!
Asante sana. Bila kuisahau kuwa huu mradi ni zao la bwana ''safari za nje'' enzi zake. Hakuna nchi au shirika litakalowekeza kwenye mradi mkubwa kama huo bila kupata faida kubwa kabisa. Hizi bandari tulizonazo ziboreshwe. Kama ulivyosema nguvu kama hizi zingeelekezwa kwenye kilimo ambapo ndipo watanzania wengi wanakotegemea tungefanya jambo la maana.
 
Sio kweli.
Bandari ya bagamoyo ingekuwa kubwa kuliko zote. Tunahitaji bandari bagamoyo tatizo hela hatuna na wafadhili wanataka wakijenga waiendeshe miaka 50.
Kama bandari ingejengwa mji wa bagamoyo ingekuwa sanaaa. Na maendeleo yangekuwa makubwa
Unajenga bandari Bagamoyo unakuza kamji kadogo kisha unauwa bandari ya Dar ambayo tayari imeunganishwa na miundo mbinu muhimu yote.

Unauwa kiuchumi Dar. Wewe ni sawa na mtu anae enda kufungua mgahawa jirani na mgahawa mwingine ambao wateja wachache wanalaza vyakula.
 
Sikuwahi ona faida ya hii bandari wakati tuna bandari mwanzo wa nchi katikati na mwisho wa nchi.
 
Hilo suala la bandari ya bagamoyo halina kipaumbele kwa sasa
Washauri wa Rais mpo wapi?
 
tukimaliza SGR na Stigler's gorge tuanze kuijenga hiyo bandari taratibu wenye (tena kama kuna ulazima), kinyume na hapo tuendelee kuiboresha hii ya DSM tuliyonayo. Hoa wachini sio wa kuwaendekeza tutajikuta tumewauzia nchi!
Sioni ulazima wa hiyo barabara wakati kuna upanuzi wa barabara itakayoondoa kabisa msongamano bandarini
 
Asante sana. Bila kuisahau kuwa huu mradi ni zao la bwana ''safari za nje'' enzi zake. Hakuna nchi au shirika litakalowekeza kwenye mradi mkubwa kama huo bila kupata faida kubwa kabisa. Hizi bandari tulizonazo ziboreshwe. Kama ulivyosema nguvu kama hizi zingeelekezwa kwenye kilimo ambapo ndipo watanzania wengi wanakotegemea tungefanya jambo la maana.

Kweli kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom