China Officially launches research on 6G while America and Europe are busy with 5G..Africa is comfused..

China Officially launches research on 6G while America and Europe are busy with 5G..Africa is comfused..

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sababu sisi twasema ukweli nyinyi mwadanganya

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli maana mlisema US Hawata Athirika Na Corona Ila sasa hv mna anza kuteseka Huu Nizaidi Yaukweli Kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji14]

Mkiambiwa wa US wa Afrika Nawa US wa US Kwenyewe Mnaongozwa Na Kichaa Mnakataa

Ukweli Wenu Mliousema Kwamba Korolokwini Inatitibu corona Uliishia Wapi Tena [emoji16][emoji23][emoji23]

US Beibe [emoji23][emoji23][emoji14][emoji12]

Sent using My COVID-19
 
6G bila Quantum technology ni ndoto.. mpaka sasa aliyefanikiwa kufumbua fumbo gumu kuhusu Hesabu hii ni Google peke yake. Hivyo US aki- trigger kwenye 6G atashinda vita mapema kuliko unavyofikiri.

Hata ukizungumza suhala 5G China anatumia propaganda, rushwa na siasa chafu kupenyeza utawala wa Huawei. Ukija kwenye speed na technology inayotumika China huwezi ilinganisha na mfumo wa 5G unaotumiwa na Verizon ya America. Mfumo wa Verizon ni millimeter spectrum wenye Kasi zaidi duniani..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali ni nani anaetaka kutumia Verizon?? Ulaya, Asia na Africa karibuni nchi zote duniani zinatumia technology rahisi (HUAWEI) bila ya masharti ya kijinga kama ya huyo marekani, Verizon yake atatumia mwenyewe apambane na Corona kwanza
6G bila Quantum technology ni ndoto.. mpaka sasa aliyefanikiwa kufumbua fumbo gumu kuhusu Hesabu hii ni Google peke yake. Hivyo US aki- trigger kwenye 6G atashinda vita mapema kuliko unavyofikiri.

Hata ukizungumza suhala 5G China anatumia propaganda, rushwa na siasa chafu kupenyeza utawala wa Huawei. Ukija kwenye speed na technology inayotumika China huwezi ilinganisha na mfumo wa 5G unaotumiwa na Verizon ya America. Mfumo wa Verizon ni millimeter spectrum wenye Kasi zaidi duniani..



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Swali ni nani anaetaka kutumia Verizon?? Ulaya, Asia na Africa karibuni nchi zote duniani zinatumia technology rahisi (HUAWEI) bila ya masharti ya kijinga kama ya huyo marekani, Verizon yake atatumia mwenyewe apambane na Corona kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa naona umechafukwa kabisa na US Supremeny kwenye technology.. kwa Sasa mchina anaonekana mzuri kwa sababu anataka ku- dominate ila akifanikiwa lengo lake lazima ageuke mtawala mwenye masharti kibao.. hii ni kanuni ya utawala popote pale duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Speed ya china ni kubwa mno ikija kwenye swala la development, tatizo lao ni moja tu, wnatengeneza haraka ila vitu vyao havina quality ukilinganisha na western countries au nchi nyingine zilizopo ukanda moja kama South Korea.

Mfano 5G wao wana kampuni moja tu wanayoitegemea ya Huawei, tower zao zinafanya kazi ndiyo ila sio advanced ukilinganisha na wanazotengeneza Samsung. Waliwahi tu kutoa kitu cheap ila doesn’t mean its the most efficient. So wachina nawakubali ila wajitahidi sana kufanya vitu quality sio kukurupua tu ili waonekane wa kwanza

6G inafanywa research nchi nyingi sio China tu, I assure you nchi zote kubwa wana research centre zishaanza kuangalia whats beyond 5G na wengine wanajaribu hata different technology ya kutransmit data, China wametangaza tu kuonekana wapo juu ila they know. In tech sidhani kama they come close to US hata kidogo
Umeongea point sana chukua kifaa Cha Nokia au Samsung, alafu linganisha na Huawei Kuna utofauti mkubwa sana kiubora

Mfano watu wengi wanaamin Huawei ndo leading kwenye 5G kitu ambacho sio kweli, Huawei yeye anajivunia kwa sababu Yuko cheap na sio ubora Kama alivyo Samsung au Nokia

Ndo maana technical wamefeli kwenye magari yaan wameshimdwa kuwa dominant, 6 G ita involve Artificial intelligence eneo ambalo Western countries wako vizuri

China Hana msingi wa ubunifu anachukua version ya products ya Western countries anaitengeneza kwa ubora wa chini na in cheapest way, mwisho wa siku lazima atauza sana mfano kariakoo Kuna earphone za kichina Zina elfu 4 Hadi 3, zile hazikai Zaid ya miez minne zimesha haribika kwa mwaka unajikuta umenunua Zaid ya Mara tatu, hio ndo Chinese model
 
Swali ni nani anaetaka kutumia Verizon?? Ulaya, Asia na Africa karibuni nchi zote duniani zinatumia technology rahisi (HUAWEI) bila ya masharti ya kijinga kama ya huyo marekani, Verizon yake atatumia mwenyewe apambane na Corona kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
Moja ya vitu unavyoviweza ni ushabiki, jamaa amekujibu ki-professional we umemjibu kishabiki
 
6G bila Quantum technology ni ndoto.. mpaka sasa aliyefanikiwa kufumbua fumbo gumu kuhusu Hesabu hii ni Google peke yake. Hivyo US aki- trigger kwenye 6G atashinda vita mapema kuliko unavyofikiri.

Hata ukizungumza suhala 5G China anatumia propaganda, rushwa na siasa chafu kupenyeza utawala wa Huawei. Ukija kwenye speed na technology inayotumika China huwezi ilinganisha na mfumo wa 5G unaotumiwa na Verizon ya America. Mfumo wa Verizon ni millimeter spectrum wenye Kasi zaidi duniani..



Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye technologia mchina hamuwezi mmarekani Hilo liko wazi hata wachina wanajua
 
910bb402db80525f547b492fae299a17


China is certainly not joking with the advancement in all aspects of human development. For while America and Europe are yet to fully come to terms with the deployment of the 5G technology, and Africa still confused about the safety, and the propaganda about 5G, China has moves to researching into the 6G technology, in an effort to find a higher and faster than 5G cellular service.

To achieved this expectation, the Chinese government has set up two offices to research into and develop 6G. The country's Ministry of Science and Technology announced this on Wednesday, which has now kicked off the competition and race for the next generation faster than 5G cellular data service. Currently 5G is the highest and fastest cellular data service in use, which are still limited to very few countries, as many countries are yet to deploy the technology.

The two offices set up by the Chinese government,to achieve this goal are made up of, government agencies, with the responsibility of handling relevant policymaking. And the other is made up of 37 experts drawn from colleges, research academies and enterprises, who will help the policymakers with useful devices.

067de2c43e70dbfd384e7a76e4ff27d4


While the 6G technology is still at its exploratory stage globally, as acknowledged by Wang Xi, vice-minister of science and technology, when addressing a gathering on Sunday, He noted that the ministry will work with all relevant sections and departments to bring out a plan for 6G development, and work towards successes regarding its basic theories, key technologies and standards.

This latest development, no doubt is a great advancement for humans. But for the past weeks, there have been debate over the harmfulness or otherwise of the 5G technology. Experts in the field has said there is no evidence yet, that 5G is destructive to humans. But, there are none experts who have taking it upon themselves to propagate the narrative that 5G is dangerous.

Some even claimed, the coronavirus is a product of the 5G technology. Unfortunately, none of these propagandists have provides any variable proof of their claim, nor referenced any research outcome validating their claim.

Other have alluded that the 5G is a preparation for the new world other and the eventually one world government prophesied in the bible. Sadly, this discredited narrative about 5G has led to some group of individuals destroying 5G telecommunication installation in places like China and the UK.

With this official move by China to research into 6G, other developed nations will now hasten their 5G deployment and join the race into the development of 6G technology.
Hivi waafrika tumewahi kugundua nini recently chenye faida kwa dunia ya sasa ?
 
Speed ya china ni kubwa mno ikija kwenye swala la development, tatizo lao ni moja tu, wnatengeneza haraka ila vitu vyao havina quality ukilinganisha na western countries au nchi nyingine zilizopo ukanda moja kama South Korea.
China anatengeneza bidhaa kwa mujibu wa hali/uchumi za watumiaji.

Bidhaa anazotengeneza kwa ajili ya soko la Ulaya ni tofauti kabisa na anazotengeneza kwa ajili ya soko la Afrika ikiwemo Kariakoo.
 
China anatengeneza bidhaa kwa mujibu wa hali/uchumi za watumiaji.

Bidhaa anazotengeneza kwa ajili ya soko la Ulaya ni tofauti kabisa na anazotengeneza kwa ajili ya soko la Afrika ikiwemo Kariakoo.

Si kweli, hata anazotengeneza kwa soko la ulaya ni low quality ukilinganisha na product za nchi nyingine. Hiyo story mliaminishwa tu ila hua si ya kweli. Wachina wana low quality products no matter the market, vitu vingi wanaigaiga au kuiba, kufanya research wao wengewe wakaja na kitu very high quality hata kwa gharama ya juu haijawahi tokea
 
Haya mambo ya Digital Telecommunication Technology ni mambo madogo sana, huku kwa "Shithole Countries" ndio tunaviona kama vitu vya ajabu sana.

Wazungu walianza kutumia simu enzi hizo wachina bado wakiishi mapangoni.

Hayo mambo ya sijui 2,3,4,5,6 Generation Cellular Networks ni lugha tu za watu kutumia kutafuta pesa, hamna kitu hapo.

Hata wakija kutengeneza ya 20G bado tu haitakuwa,'Problem Free'. Watu hawalali wanatafuta mbinu ya kusaka pesa sisi huku kwenye bara la giza kazi ni kushangilia. Bogus kabisa.
 
Back
Top Bottom