STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
Kweli maana mlisema US Hawata Athirika Na Corona Ila sasa hv mna anza kuteseka Huu Nizaidi Yaukweli Kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji14]
Kale kababu hakana akili kanatakiwa kagungwe kamba maana hakajielewibhata kiduchu.....TRAMP ALIFANYA KOSA KUBWA SANA ALIPOONA ANASHINDWA KIBIASHARA NAKUANZA KUIWEKEA VIKWAZO HUAWEI, YAANI NI KAMA KAJINYONGA
Sent using Jamii Forums mobile app
6G bila Quantum technology ni ndoto.. mpaka sasa aliyefanikiwa kufumbua fumbo gumu kuhusu Hesabu hii ni Google peke yake. Hivyo US aki- trigger kwenye 6G atashinda vita mapema kuliko unavyofikiri.
Hata ukizungumza suhala 5G China anatumia propaganda, rushwa na siasa chafu kupenyeza utawala wa Huawei. Ukija kwenye speed na technology inayotumika China huwezi ilinganisha na mfumo wa 5G unaotumiwa na Verizon ya America. Mfumo wa Verizon ni millimeter spectrum wenye Kasi zaidi duniani..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa naona umechafukwa kabisa na US Supremeny kwenye technology.. kwa Sasa mchina anaonekana mzuri kwa sababu anataka ku- dominate ila akifanikiwa lengo lake lazima ageuke mtawala mwenye masharti kibao.. hii ni kanuni ya utawala popote pale dunianiSwali ni nani anaetaka kutumia Verizon?? Ulaya, Asia na Africa karibuni nchi zote duniani zinatumia technology rahisi (HUAWEI) bila ya masharti ya kijinga kama ya huyo marekani, Verizon yake atatumia mwenyewe apambane na Corona kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea point sana chukua kifaa Cha Nokia au Samsung, alafu linganisha na Huawei Kuna utofauti mkubwa sana kiuboraSpeed ya china ni kubwa mno ikija kwenye swala la development, tatizo lao ni moja tu, wnatengeneza haraka ila vitu vyao havina quality ukilinganisha na western countries au nchi nyingine zilizopo ukanda moja kama South Korea.
Mfano 5G wao wana kampuni moja tu wanayoitegemea ya Huawei, tower zao zinafanya kazi ndiyo ila sio advanced ukilinganisha na wanazotengeneza Samsung. Waliwahi tu kutoa kitu cheap ila doesn’t mean its the most efficient. So wachina nawakubali ila wajitahidi sana kufanya vitu quality sio kukurupua tu ili waonekane wa kwanza
6G inafanywa research nchi nyingi sio China tu, I assure you nchi zote kubwa wana research centre zishaanza kuangalia whats beyond 5G na wengine wanajaribu hata different technology ya kutransmit data, China wametangaza tu kuonekana wapo juu ila they know. In tech sidhani kama they come close to US hata kidogo
Moja ya vitu unavyoviweza ni ushabiki, jamaa amekujibu ki-professional we umemjibu kishabikiSwali ni nani anaetaka kutumia Verizon?? Ulaya, Asia na Africa karibuni nchi zote duniani zinatumia technology rahisi (HUAWEI) bila ya masharti ya kijinga kama ya huyo marekani, Verizon yake atatumia mwenyewe apambane na Corona kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye technologia mchina hamuwezi mmarekani Hilo liko wazi hata wachina wanajua6G bila Quantum technology ni ndoto.. mpaka sasa aliyefanikiwa kufumbua fumbo gumu kuhusu Hesabu hii ni Google peke yake. Hivyo US aki- trigger kwenye 6G atashinda vita mapema kuliko unavyofikiri.
Hata ukizungumza suhala 5G China anatumia propaganda, rushwa na siasa chafu kupenyeza utawala wa Huawei. Ukija kwenye speed na technology inayotumika China huwezi ilinganisha na mfumo wa 5G unaotumiwa na Verizon ya America. Mfumo wa Verizon ni millimeter spectrum wenye Kasi zaidi duniani..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi waafrika tumewahi kugundua nini recently chenye faida kwa dunia ya sasa ?
China is certainly not joking with the advancement in all aspects of human development. For while America and Europe are yet to fully come to terms with the deployment of the 5G technology, and Africa still confused about the safety, and the propaganda about 5G, China has moves to researching into the 6G technology, in an effort to find a higher and faster than 5G cellular service.
To achieved this expectation, the Chinese government has set up two offices to research into and develop 6G. The country's Ministry of Science and Technology announced this on Wednesday, which has now kicked off the competition and race for the next generation faster than 5G cellular data service. Currently 5G is the highest and fastest cellular data service in use, which are still limited to very few countries, as many countries are yet to deploy the technology.
The two offices set up by the Chinese government,to achieve this goal are made up of, government agencies, with the responsibility of handling relevant policymaking. And the other is made up of 37 experts drawn from colleges, research academies and enterprises, who will help the policymakers with useful devices.
While the 6G technology is still at its exploratory stage globally, as acknowledged by Wang Xi, vice-minister of science and technology, when addressing a gathering on Sunday, He noted that the ministry will work with all relevant sections and departments to bring out a plan for 6G development, and work towards successes regarding its basic theories, key technologies and standards.
This latest development, no doubt is a great advancement for humans. But for the past weeks, there have been debate over the harmfulness or otherwise of the 5G technology. Experts in the field has said there is no evidence yet, that 5G is destructive to humans. But, there are none experts who have taking it upon themselves to propagate the narrative that 5G is dangerous.
Some even claimed, the coronavirus is a product of the 5G technology. Unfortunately, none of these propagandists have provides any variable proof of their claim, nor referenced any research outcome validating their claim.
Other have alluded that the 5G is a preparation for the new world other and the eventually one world government prophesied in the bible. Sadly, this discredited narrative about 5G has led to some group of individuals destroying 5G telecommunication installation in places like China and the UK.
With this official move by China to research into 6G, other developed nations will now hasten their 5G deployment and join the race into the development of 6G technology.
Kusafiri kwakutumia UNGOOHivi waafrika tumewahi kugundua nini recently chenye faida kwa dunia ya sasa ?
Kumeleta faida ipi chanya kwenye jamii ?Kusafiri kwakutumia UNGOO
Sent using My COVID-19
China anatengeneza bidhaa kwa mujibu wa hali/uchumi za watumiaji.Speed ya china ni kubwa mno ikija kwenye swala la development, tatizo lao ni moja tu, wnatengeneza haraka ila vitu vyao havina quality ukilinganisha na western countries au nchi nyingine zilizopo ukanda moja kama South Korea.
China anatengeneza bidhaa kwa mujibu wa hali/uchumi za watumiaji.
Bidhaa anazotengeneza kwa ajili ya soko la Ulaya ni tofauti kabisa na anazotengeneza kwa ajili ya soko la Afrika ikiwemo Kariakoo.